Watangazaji wa Habari wa ITV na TBC muwe mnavaa nguo za heshima, maumbo yenu yanatutamanisha watazamaji

Watangazaji wa Habari wa ITV na TBC muwe mnavaa nguo za heshima, maumbo yenu yanatutamanisha watazamaji

Dadeki umenikumbusha mbali mkuu ,HV yule bint Yuko wapi aisee kitambo Sana sijamuona au katutwa kazi

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Sijui yuko wapi maana mimi mwenyewe nina muda mrefu sijaangalia tv, enzi hizo nipo nyumbani nimetulia tu sina ishu nyumbani nilikuwa nashinda naangalia tv hadi nikawajua akina Naga Munchetty, Martine Dennis ambaye kwa sasa yupo Aljazeera na Aaron Heslehurst aliyekuwa anatatangaza habari za biashara.
 
saa moja kamili subiri habari za biashara dah yule ukipata namba zake unipe aisee hadi wife anamsifia nikajifanya namponda😀😀😀😅😀
Hapo umecheza, mi kila pisi kali ikipita nikiwa wa wife najifanya mlokole kumzidi mtume paulo
 
Back
Top Bottom