Watangazaji wa Habari wa ITV na TBC muwe mnavaa nguo za heshima, maumbo yenu yanatutamanisha watazamaji

Picha ziko wapi
 
Hao ITV hiyo tabia ya kusoma muhtasari halafu mtangazaji anatugeuzia makalio kwenda kuketi haifai.

Tena Odana Madai ndiye haswa awe anaketi tu anapotezea watu concentration.
Mkuu sikupingi ni ukweri kabisa,wasoma habari wa zamani tulikuwa tumawaona juu tu
Betty mkwasa
Salma nyangaza
Na wengine kibao
Ila Hawa wa saizi sijui ndo kivutio watalii tuone jinsi walivyo na maumbo
 

"Watangazaji wa Habari wa ITV na TBC muwe mnavaa nguo za heshima, maumbo yenu yanatutamanisha watazamaji"​


 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…