Tetesi: Watangazaji wa kike TBC wagoma baada ya kutakiwa kuvua Hijabu zao wakati wa kutangaza

Tetesi: Watangazaji wa kike TBC wagoma baada ya kutakiwa kuvua Hijabu zao wakati wa kutangaza

Nadhani tujifunze kuvumiliana waislam pia n watanzania , lakin waache kuogopa kivuli sijui mfumo kristo sijui nn , lakin pia tunawaomba mambo ya alshabab ,boko haram yaiahie uko uko
 
Mavazi ya kidini yavaliwe huko huko kwenye dini zenu.
Mwishoni na wanajeshi watataka uniform za kidini
Mbona hata majeshini wanavaa hijab Google jeshi la Misri uone
 
Kama ni kweli,Jana nilimwona Asha Haji katupia hijab nyekundu.Kiukweli alikua hajapendeza kabisa, na huenda kuna watu walitoa taarifa uongozi wa TBC, kwani aliifunga ka mtu ambaye hajui inafungwaje na kuvaliwaje.

Nadhani inabidi Zuhra Yunus apewe mchongo wa kuwafundisha jinsi ya kuifunga. kwani hata tai sio kila mtu anajua kuifunga.
Mkuu,usichanganye Hijab na mtandio wa rusha roho
Hijab hata mtoto wa miaka 3 anajua kuvaa,na hata mkristo anajua kuvaa.Itakuwa aliekuwalia kwenye Uislam?
 
(NIMEIKUTA SEHEMU HII MWENYE UHAKIKA ATUJULISHE ZAIDI)

TAFADHALI KWA WAISLAM NA WAPENDA HAKI TUFUATILIE HILI KUJUA UHALISIA WAKE.

Kuna taarifa kua watangazaji wa kike Waislam wa TBC TV wamegoma baada ya uongozi kuwataka kuvua hijab wanapotangaza.

Ieleweke ya kuwa wengi wao hupenda kuvaa hijab hususan katika kipindi hiki cha mfungo wa Ramadhani. Taarifa zinadai kesho asubuhi kuna kikao kujua hatma yao.

TBC TV ni chombo kinachoendeshwa kwa kodi zinazotokana na wananchi wa Tanzania ambao Waislam ni sehemu ya walipa kodi.

Ikithibiti hivyo itaonesha ni namna gani nchi zetu zinakoelekea, asiyejisitiri anaheshimika na anaejisitiri anatakiwa kuvua sitara yake..



Hijab ndo nini?? Labda ungeweka na picha ili na sisi tujue icho kivazi
 
HIVI KUNA TV INAITWA TBC? HONGERENI AMBAO BADO HUWA MNAANGALIA
 
uzi unachafuka sasa hivi ngoja nkaongeze MB nijionee
 
Kwani mikataba ya kazi waliyosaini inasemaje kuhusu mavazi katika sehemu ya kazi? Sheria ifuatwe tu.. Yeyote asionewe.
 
Sidhani kama ni kweli.
Citizen TV ya Kenya iliyo bora ukanda wa East Africa wanaachia Kina Lulu Hassan siku zote wakijimwaga
Yote kwa yote ni haki yao Kugoma kama wamelazimishwa Kukaa vichwa wazi.
Naunga mkono Maamuzi yao na Mungu awazidishie kwa kujitambua na Kutaambua Maamrisho ya Allah
 
(NIMEIKUTA SEHEMU HII MWENYE UHAKIKA ATUJULISHE ZAIDI)

TAFADHALI KWA WAISLAM NA WAPENDA HAKI TUFUATILIE HILI KUJUA UHALISIA WAKE.

Kuna taarifa kua watangazaji wa kike Waislam wa TBC TV wamegoma baada ya uongozi kuwataka kuvua hijab wanapotangaza.

Ieleweke ya kuwa wengi wao hupenda kuvaa hijab hususan katika kipindi hiki cha mfungo wa Ramadhani. Taarifa zinadai kesho asubuhi kuna kikao kujua hatma yao.

TBC TV ni chombo kinachoendeshwa kwa kodi zinazotokana na wananchi wa Tanzania ambao Waislam ni sehemu ya walipa kodi.

Ikithibiti hivyo itaonesha ni namna gani nchi zetu zinakoelekea, asiyejisitiri anaheshimika na anaejisitiri anatakiwa kuvua sitara yake..
upload_2016-6-8_16-8-28.jpeg



Kwahiyo unataka kodi zetu zionyeshe utamaduni wa waarabu ndio utafurahi.
 
TBC siyo peace tv wala TV Imaan..waende huko kama wanatamani hayo mavazi...watuondolee udini wao mashetwani hao...hata TVZ wanaweza kuhamia huko...don't bother us
Ungeandika post yako then ukaisoma vizuri kwa tafakuri jadidi kabla ya kupost usigepost kama we ni unaetumia akili. Lakini wee maskini ya Mungu... You are very far from where the wisdom is.
 
Mkuki
(NIMEIKUTA SEHEMU HII MWENYE UHAKIKA ATUJULISHE ZAIDI)

TAFADHALI KWA WAISLAM NA WAPENDA HAKI TUFUATILIE HILI KUJUA UHALISIA WAKE.

Kuna taarifa kua watangazaji wa kike Waislam wa TBC TV wamegoma baada ya uongozi kuwataka kuvua hijab wanapotangaza.

Ieleweke ya kuwa wengi wao hupenda kuvaa hijab hususan katika kipindi hiki cha mfungo wa Ramadhani. Taarifa zinadai kesho asubuhi kuna kikao kujua hatma yao.

TBC TV ni chombo kinachoendeshwa kwa kodi zinazotokana na wananchi wa Tanzania ambao Waislam ni sehemu ya walipa kodi.

Ikithibiti hivyo itaonesha ni namna gani nchi zetu zinakoelekea, asiyejisitiri anaheshimika na anaejisitiri anatakiwa kuvua sitara yake..
Mkuki kwa Nguruwe hakuna shida which means Islamic way of Banking and Islamic way of TBC broadcasting.
One should ask, Where is National way of broadcasting?
Not all TBC viewers are Islam Religious beneficient .Tax sponsored organ should be proud of her sponsors (Tanzania national culture ) and not groups or religious.
That is, there should be a neutral cultural dress code where all Tanzanians national come together.
No alshabaab dress code. Yes to Tanzanian dress code.
Common sense recommend to review all contract signed by this Religious prompted personels.
And recommend them back to religious broadcasting stations where all freedom of alshabaab dress code is celebrated by the law.
 
...Ikithibiti hivyo itaonesha ni namna gani nchi zetu zinakoelekea, asiyejisitiri anaheshimika na anaejisitiri anatakiwa kuvua sitara yake..
Wewe hapo ulipo umejisitiri kwa hijabu?
 
Juu hijab ndani BIKINI, halafu hijab haifichi Ufedhuri walikuwa wapi siku zote hizo hawajavaa hijab? Au mpaka siku za kuacha kula mchana zifike?
 
Kosa lipi kwani upo kwenye nyumba/ maadili ya dini? Kesho na walokole wakija na kuvaa majani ya migomba kuwa wameagizwa na "yesu" itakuwaje?
Hayo majani ya mgomba,ndio yameamrishwa kwenye kitabu chao cha dini,wavae?
 
Back
Top Bottom