Tetesi: Watangazaji wa kike TBC wagoma baada ya kutakiwa kuvua Hijabu zao wakati wa kutangaza

Tetesi: Watangazaji wa kike TBC wagoma baada ya kutakiwa kuvua Hijabu zao wakati wa kutangaza

Hijab ni vazi la heshima na linatakiwa livaliwe kila sku sio mwez wa ramadhan tu, wangekuwa wanavaa kila sku hao wadada wasingekutana na hayo maswahibu sasahiv coz wangekuwa wameshapata ufumbuzi mapema. Inaonekana wanavaa hvyo kwa kuogopa au kuabudu mwezi na sio stara kama ilivyoamrishwa na Mwenyezi Mungu na Mtume wake. Kwahyo mim naona hayo wanayokutana nayo ni haki yao kabisa
 
(NIMEIKUTA SEHEMU HII MWENYE UHAKIKA ATUJULISHE ZAIDI)

TAFADHALI KWA WAISLAM NA WAPENDA HAKI TUFUATILIE HILI KUJUA UHALISIA WAKE.

Kuna taarifa kua watangazaji wa kike Waislam wa TBC TV wamegoma baada ya uongozi kuwataka kuvua hijab wanapotangaza.

Ieleweke ya kuwa wengi wao hupenda kuvaa hijab hususan katika kipindi hiki cha mfungo wa Ramadhani. Taarifa zinadai kesho asubuhi kuna kikao kujua hatma yao.

TBC TV ni chombo kinachoendeshwa kwa kodi zinazotokana na wananchi wa Tanzania ambao Waislam ni sehemu ya walipa kodi.

Ikithibiti hivyo itaonesha ni namna gani nchi zetu zinakoelekea, asiyejisitiri anaheshimika na anaejisitiri anatakiwa kuvua sitara yake..
Taja watangazaji wanne wa kike waislamu ndani ya TBC
 
Afrika na nchi kama Tanzania. Watu wake watakuwa huru na wenye kupiga hatua za kimaendeleo, kuwa na maisha bora na kuwa na watu wenye furaha ktk ulimwengu huu siku
Watakapo acha vitu hivi vitatu

1. Ujinga
2. Ubaguzi
3. Ubinafsi
 
Niseme tu kuwa wakristo wa nchi kama kenya ni watu wanaojitambua sana na wanaamini katika kile wanachokiamini bila hofu ya kutishwa na vitu kama hijab.
Hawa ndugu zetu wa hapa wako very insecure,wanadhani hijabu inatishia dini yao,wakati ni vazi tu
 
(NIMEIKUTA SEHEMU HII MWENYE UHAKIKA ATUJULISHE ZAIDI)

TAFADHALI KWA WAISLAM NA WAPENDA HAKI TUFUATILIE HILI KUJUA UHALISIA WAKE.

Kuna taarifa kua watangazaji wa kike Waislam wa TBC TV wamegoma baada ya uongozi kuwataka kuvua hijab wanapotangaza.

Ieleweke ya kuwa wengi wao hupenda kuvaa hijab hususan katika kipindi hiki cha mfungo wa Ramadhani. Taarifa zinadai kesho asubuhi kuna kikao kujua hatma yao.

TBC TV ni chombo kinachoendeshwa kwa kodi zinazotokana na wananchi wa Tanzania ambao Waislam ni sehemu ya walipa kodi.

Ikithibiti hivyo itaonesha ni namna gani nchi zetu zinakoelekea, asiyejisitiri anaheshimika na anaejisitiri anatakiwa kuvua sitara yake..
Unakosea unapotaka waislamu wapewe haki yao ya kiimani kwa sababu wao ni sehemu ya walipa kodi. Uhuru wa kuabudu ni haki ya kikatiba kwa wananchi wote so ni lazima wapewe haki yao ya kiimani regardless wanalipa kodi au hawalipi.
 
Kwani TBC wapo misri
Kuna member amesema na majeshini watadai wavae ndo nikampa hyo rejea na kuna mtu kapost na picha ya police wanawake wamevaa hijab sasa shida nn? Halafu Misri herufi m inatakiwa iwe kubwa kilaza we
 
(NIMEIKUTA SEHEMU HII MWENYE UHAKIKA ATUJULISHE ZAIDI)

TAFADHALI KWA WAISLAM NA WAPENDA HAKI TUFUATILIE HILI KUJUA UHALISIA WAKE.

Kuna taarifa kua watangazaji wa kike Waislam wa TBC TV wamegoma baada ya uongozi kuwataka kuvua hijab wanapotangaza.

Ieleweke ya kuwa wengi wao hupenda kuvaa hijab hususan katika kipindi hiki cha mfungo wa Ramadhani. Taarifa zinadai kesho asubuhi kuna kikao kujua hatma yao.

TBC TV ni chombo kinachoendeshwa kwa kodi zinazotokana na wananchi wa Tanzania ambao Waislam ni sehemu ya walipa kodi.

Ikithibiti hivyo itaonesha ni namna gani nchi zetu zinakoelekea, asiyejisitiri anaheshimika na anaejisitiri anatakiwa kuvua sitara yake..
Naanza kumdharau ryoba,basi wamwambie na makamu wa rais avue
 
Hii nilikuwa nasikia tu kuna ndugu yangu anafanya kazi pale Airport Terminal 1 alikuwa kwenye training tu na kafanya vizuri na wamemkubali,ila sharti asivae hijabu aende kichwa wazi na miguo ya mapaja nje ,hii ni Tanzania nchi inaendeshwa na Taasisi fulani tu,
waislamu wanapopiga kelele kuhusu kubaguliwa kwao na serikali hii kuna watu wanaziba masikio lakini wanaujua ukweli
 
Tunapoteza muda kujadili post au vitu visivyo na tija katika maisha yetu!kwani kuvaa hijab ndo kutakufanya uonekane mtakatifu au mcha Mungu sana?tunakoelekea tutaanza kujadili masuala ya nani anahaki ya kuchinja!na nani hana haki!upuuuuzi tu!
 
Uislam ni dini safi na isiyopenda ugomvi ila maneno kama haya ndo husababisha hasira na chuki,leo nimekuambia kistaarabu acha hayo maneno yako,usiwachokoze watu ambao hataki uchokozin
Mwambie Tumefunga
 
Back
Top Bottom