Watangazaji wa kizazi hiki wanakera mpaka basi. Hivi wanaokotwa wapi hawa viumbe?

Watangazaji wa kizazi hiki wanakera mpaka basi. Hivi wanaokotwa wapi hawa viumbe?

Yaani pale inapotaikiwa kuweka kitamshi cha “r”, yeye anatamka “l”, kwa mfano mpira anatamka mpila. Ni aibu iliyoje! Na pia ni wazuri sana kwenye upotoshaji kwa mfano neno wimbo, hutamka nyimbo……..mfano: Leo nawachezea nyimbo moja ya Diamond inayoitwa Kantangaze. Ovyo kabisa!
Hili suala Jana BAKITA walikua wanalizungumzia kwenye kipindi cha Radio, wakagusia baadhi ya maneno ambayo yanatumika vibaya na waandishi wa habari,

Mfano neno :

Taradadi na Kwenda Matiti

Hayo maneno yanatumika vibaya

Taradadi ni neno la kiarabu linalomaanisha kua na wasiwasi juu ya Jambo fulani

Kwenda matiti ni neno la kibantu lenye maanaa ya kuishia/kwisha

Utakuta mtangazaji anatangaza anasema :

Muda ume taradadi

Badala ya kusema

Muda umeenda matiti

Vijana wengi kwenye tasnia ya Habari hususani hawa chipukizi hawana Kamusi ya Kiswahili Sanifu hilo nalo ni tatizo na hawakisomi Kiswahili wakakijua vizuri kabla hawajaingia kwenye uandishi wa habari mwisho wa siku wanatulisha madudu,
 
Hii inaletwa na Kuwepo kwa mitandao ya kijamii. Karibu habari zote unazipata mitandaoni, Hata ukisema usikilize radio ama tv ni kama kurudia yale yale.
maana simu zinajitosheleza video picha , sauti na maelezo kiujumla.
tena unapata full data wakati kwenye redio wanajali muda zaidi
 
Habari wanaJF?

Naingia kwenye mada moja kwa moja bila kuwachosha na maneno mengi. Kwa mujibu wa utafiti binafsi nilioufanya hivi karibuni, usikilizaji wa redio na utazamaji wa TV umepungua sana miongoni mwa wafuatiliaji wa habari. Hili halijatokea kwa bahati mbaya bali ni kwa sababu ya kupungua usahihi wa taarifa na ubora wa watangazaji. Sote ni mashahidi jinsi Redio Tanzania Dar es Salaam (RTD) na Voice of Kenya (VoK) zilivyokuwa na watangazaji nguli ambao huchoki kuwasikiliza.

Watangazaji wengi wa redio na TV zinazochipukia kama uyoga hapa nchini wanakera mno kwa utangazaji wa ovyo na unaokosa weledi. Ukisiliza redio na TV, hasa hizi zinazoitwa Redio/TV za Kijamii, utahisi kichefuchefu na huwezi kuendelea kusikiliza kwa zaidi ya dakika 5! Wanachotangaza ni zaidi ya utumbo. Na kibaya zaidi, hawa makanjanja hawakupitia kabisa kwenye vyuo vya uandishi wa habari. Inasikitisha mtangazaji kutoongea Kiswahili fasaha unabaki unajiuliza: hivi huyu mtu alienda shule kweli au ameokotwa jalalani? Na kama alienda shule, je, huko alienda kujifunza ujinga au maarifa? (FaizaFoxy, 2015). Yaani hawa viumbe hawawezi kabisa kujieleza kwa Kiswahili na Kiingereza fasaha.

Zamani haikuwa rahisi mtu yeyote kujipenyeza kwenye utangazaji ikiwa hajui Kiswahili na Kiingereza fasaha. Na si hilo tu, mtangazaji anatakiwa kuwa na uhakika wa jambo analolitangaza. Juzi nilipata hasira sana niliposikia mtangazaji wa mpira akiutangazia umma kuwa mmiliki wa sasa wa Klabu ya Chelsea ni Roman Abramovich. Wanajiropokea tu ilmradi tonge liingie kinywani.

Utakuta mtu ana lafudhi mbovu na uelewa mdogo kama mbegu ya hardali lakini bado anang’ang’ania kuwa mtangazaji. Ni aibu kubwa. Yaani pale inapotaikiwa kuweka kitamshi cha “r”, yeye anatamka “l”, kwa mfano mpira anatamka mpila. Ni aibu iliyoje! Na pia ni wazuri sana kwenye upotoshaji kwa mfano neno wimbo, hutamka nyimbo……..mfano: Leo nawachezea nyimbo moja ya Diamond inayoitwa Kantangaze. Ovyo kabisa!

Kwa ujumla, nchi hii ina watangazaji wenye uelewa finyu na upeo mdogo wa utangazaji. Natoa wito kwa serikali na vyombo vinavyohusika kudhibiti maudhui ya vyombo vya habari kufanya kazi yao kikamilifu ili kuzuia upotoshaji huu unaofanywa na baadhi ya watangazi makanjanja. Aidha, kiwango cha elimu na weledi wa mtu anayefaa kuwa mtangazaji, kipitiwe upya. Watangazaji wasiokidhi vigezo wachujwe na kutupwa nje ya ulingo wa utangazaji. Tumechoshwa na upotoshaji.
siku hizi wamekuwa wanajali zaidi muonekano zaidi ya maudhui!
 
Ladha za akina Sued Mwinyi, charles Hilary , Ben kiko, tumbo risasi, siwatu luwanda, kumchaya, Stan katabalo, simba nyamaume, restituta bukoli, sarah dumba, sauda simba, sango kipozi, salim mbonde , David wakati, steven chisunga, pascal Mayalla, Abou Liongo, ahmed jongo, Abisai steven huku taste ya ngoma za mzee nyunyusa zikitangulia kabla ya habari, watangazaji wanatangaza hadi hutamani wamalize
 
Habari wanaJF?

Naingia kwenye mada moja kwa moja bila kuwachosha na maneno mengi. Kwa mujibu wa utafiti binafsi nilioufanya hivi karibuni, usikilizaji wa redio na utazamaji wa TV umepungua sana miongoni mwa wafuatiliaji wa habari. Hili halijatokea kwa bahati mbaya bali ni kwa sababu ya kupungua usahihi wa taarifa na ubora wa watangazaji. Sote ni mashahidi jinsi Redio Tanzania Dar es Salaam (RTD) na Voice of Kenya (VoK) zilivyokuwa na watangazaji nguli ambao huchoki kuwasikiliza.

Watangazaji wengi wa redio na TV zinazochipukia kama uyoga hapa nchini wanakera mno kwa utangazaji wa ovyo na unaokosa weledi. Ukisiliza redio na TV, hasa hizi zinazoitwa Redio/TV za Kijamii, utahisi kichefuchefu na huwezi kuendelea kusikiliza kwa zaidi ya dakika 5! Wanachotangaza ni zaidi ya utumbo. Na kibaya zaidi, hawa makanjanja hawakupitia kabisa kwenye vyuo vya uandishi wa habari. Inasikitisha mtangazaji kutoongea Kiswahili fasaha unabaki unajiuliza: hivi huyu mtu alienda shule kweli au ameokotwa jalalani? Na kama alienda shule, je, huko alienda kujifunza ujinga au maarifa? (FaizaFoxy, 2015). Yaani hawa viumbe hawawezi kabisa kujieleza kwa Kiswahili na Kiingereza fasaha.

Zamani haikuwa rahisi mtu yeyote kujipenyeza kwenye utangazaji ikiwa hajui Kiswahili na Kiingereza fasaha. Na si hilo tu, mtangazaji anatakiwa kuwa na uhakika wa jambo analolitangaza. Juzi nilipata hasira sana niliposikia mtangazaji wa mpira akiutangazia umma kuwa mmiliki wa sasa wa Klabu ya Chelsea ni Roman Abramovich. Wanajiropokea tu ilmradi tonge liingie kinywani.

Utakuta mtu ana lafudhi mbovu na uelewa mdogo kama mbegu ya hardali lakini bado anang’ang’ania kuwa mtangazaji. Ni aibu kubwa. Yaani pale inapotaikiwa kuweka kitamshi cha “r”, yeye anatamka “l”, kwa mfano mpira anatamka mpila. Ni aibu iliyoje! Na pia ni wazuri sana kwenye upotoshaji kwa mfano neno wimbo, hutamka nyimbo……..mfano: Leo nawachezea nyimbo moja ya Diamond inayoitwa Kantangaze. Ovyo kabisa!

Kwa ujumla, nchi hii ina watangazaji wenye uelewa finyu na upeo mdogo wa utangazaji. Natoa wito kwa serikali na vyombo vinavyohusika kudhibiti maudhui ya vyombo vya habari kufanya kazi yao kikamilifu ili kuzuia upotoshaji huu unaofanywa na baadhi ya watangazi makanjanja. Aidha, kiwango cha elimu na weledi wa mtu anayefaa kuwa mtangazaji, kipitiwe upya. Watangazaji wasiokidhi vigezo wachujwe na kutupwa nje ya ulingo wa utangazaji. Tumechoshwa na upotoshaji.
upo sahihi kwa asilimia 100 mkuu. nikupongeze kwa utafiti uliofanya.
Charles hillary ameshawahi kusema ' huwezi kuwa mtangazaji mkubwa/nguli kwa kutangaza habari za burudani'
 
Habari wanaJF?

Naingia kwenye mada moja kwa moja bila kuwachosha na maneno mengi. Kwa mujibu wa utafiti binafsi nilioufanya hivi karibuni, usikilizaji wa redio na utazamaji wa TV umepungua sana miongoni mwa wafuatiliaji wa habari. Hili halijatokea kwa bahati mbaya bali ni kwa sababu ya kupungua usahihi wa taarifa na ubora wa watangazaji. Sote ni mashahidi jinsi Redio Tanzania Dar es Salaam (RTD) na Voice of Kenya (VoK) zilivyokuwa na watangazaji nguli ambao huchoki kuwasikiliza.

Watangazaji wengi wa redio na TV zinazochipukia kama uyoga hapa nchini wanakera mno kwa utangazaji wa ovyo na unaokosa weledi. Ukisiliza redio na TV, hasa hizi zinazoitwa Redio/TV za Kijamii, utahisi kichefuchefu na huwezi kuendelea kusikiliza kwa zaidi ya dakika 5! Wanachotangaza ni zaidi ya utumbo. Na kibaya zaidi, hawa makanjanja hawakupitia kabisa kwenye vyuo vya uandishi wa habari. Inasikitisha mtangazaji kutoongea Kiswahili fasaha unabaki unajiuliza: hivi huyu mtu alienda shule kweli au ameokotwa jalalani? Na kama alienda shule, je, huko alienda kujifunza ujinga au maarifa? (FaizaFoxy, 2015). Yaani hawa viumbe hawawezi kabisa kujieleza kwa Kiswahili na Kiingereza fasaha.

Zamani haikuwa rahisi mtu yeyote kujipenyeza kwenye utangazaji ikiwa hajui Kiswahili na Kiingereza fasaha. Na si hilo tu, mtangazaji anatakiwa kuwa na uhakika wa jambo analolitangaza. Juzi nilipata hasira sana niliposikia mtangazaji wa mpira akiutangazia umma kuwa mmiliki wa sasa wa Klabu ya Chelsea ni Roman Abramovich. Wanajiropokea tu ilmradi tonge liingie kinywani.

Utakuta mtu ana lafudhi mbovu na uelewa mdogo kama mbegu ya hardali lakini bado anang’ang’ania kuwa mtangazaji. Ni aibu kubwa. Yaani pale inapotaikiwa kuweka kitamshi cha “r”, yeye anatamka “l”, kwa mfano mpira anatamka mpila. Ni aibu iliyoje! Na pia ni wazuri sana kwenye upotoshaji kwa mfano neno wimbo, hutamka nyimbo……..mfano: Leo nawachezea nyimbo moja ya Diamond inayoitwa Kantangaze. Ovyo kabisa!

Kwa ujumla, nchi hii ina watangazaji wenye uelewa finyu na upeo mdogo wa utangazaji. Natoa wito kwa serikali na vyombo vinavyohusika kudhibiti maudhui ya vyombo vya habari kufanya kazi yao kikamilifu ili kuzuia upotoshaji huu unaofanywa na baadhi ya watangazi makanjanja. Aidha, kiwango cha elimu na weledi wa mtu anayefaa kuwa mtangazaji, kipitiwe upya. Watangazaji wasiokidhi vigezo wachujwe na kutupwa nje ya ulingo wa utangazaji. Tumechoshwa na upotoshaji.
WAZIRI MWENYE DHAMANA YUPO NA ANAWASIKILIZA
 
Kikaja kizazi cha Radio Free Afrika sauti ya Afrika ulikua unawakuta watu kama Fredrick Bundala, Zubeir msabaha, taji liundi, gabriel zacharia, samadu maduhu, rebecca mulesi, Rahab fungo, Baruan Muhuza, kid bway, fredwaa, mukhsin mambo, gamba na wengine wengi, baada ya hao clouds ikatake over sasa wao wakawa zoazoa kama kokoro wakajificha kwenye creative na habari ikaishia hapo
 
Habari wanaJF?

Naingia kwenye mada moja kwa moja bila kuwachosha na maneno mengi. Kwa mujibu wa utafiti binafsi nilioufanya hivi karibuni, usikilizaji wa redio na utazamaji wa TV umepungua sana miongoni mwa wafuatiliaji wa habari. Hili halijatokea kwa bahati mbaya bali ni kwa sababu ya kupungua usahihi wa taarifa na ubora wa watangazaji. Sote ni mashahidi jinsi Redio Tanzania Dar es Salaam (RTD) na Voice of Kenya (VoK) zilivyokuwa na watangazaji nguli ambao huchoki kuwasikiliza.

Watangazaji wengi wa redio na TV zinazochipukia kama uyoga hapa nchini wanakera mno kwa utangazaji wa ovyo na unaokosa weledi. Ukisiliza redio na TV, hasa hizi zinazoitwa Redio/TV za Kijamii, utahisi kichefuchefu na huwezi kuendelea kusikiliza kwa zaidi ya dakika 5! Wanachotangaza ni zaidi ya utumbo. Na kibaya zaidi, hawa makanjanja hawakupitia kabisa kwenye vyuo vya uandishi wa habari. Inasikitisha mtangazaji kutoongea Kiswahili fasaha unabaki unajiuliza: hivi huyu mtu alienda shule kweli au ameokotwa jalalani? Na kama alienda shule, je, huko alienda kujifunza ujinga au maarifa? (FaizaFoxy, 2015). Yaani hawa viumbe hawawezi kabisa kujieleza kwa Kiswahili na Kiingereza fasaha.

Zamani haikuwa rahisi mtu yeyote kujipenyeza kwenye utangazaji ikiwa hajui Kiswahili na Kiingereza fasaha. Na si hilo tu, mtangazaji anatakiwa kuwa na uhakika wa jambo analolitangaza. Juzi nilipata hasira sana niliposikia mtangazaji wa mpira akiutangazia umma kuwa mmiliki wa sasa wa Klabu ya Chelsea ni Roman Abramovich. Wanajiropokea tu ilmradi tonge liingie kinywani.

Utakuta mtu ana lafudhi mbovu na uelewa mdogo kama mbegu ya hardali lakini bado anang’ang’ania kuwa mtangazaji. Ni aibu kubwa. Yaani pale inapotaikiwa kuweka kitamshi cha “r”, yeye anatamka “l”, kwa mfano mpira anatamka mpila. Ni aibu iliyoje! Na pia ni wazuri sana kwenye upotoshaji kwa mfano neno wimbo, hutamka nyimbo……..mfano: Leo nawachezea nyimbo moja ya Diamond inayoitwa Kantangaze. Ovyo kabisa!

Kwa ujumla, nchi hii ina watangazaji wenye uelewa finyu na upeo mdogo wa utangazaji. Natoa wito kwa serikali na vyombo vinavyohusika kudhibiti maudhui ya vyombo vya habari kufanya kazi yao kikamilifu ili kuzuia upotoshaji huu unaofanywa na baadhi ya watangazi makanjanja. Aidha, kiwango cha elimu na weledi wa mtu anayefaa kuwa mtangazaji, kipitiwe upya. Watangazaji wasiokidhi vigezo wachujwe na kutupwa nje ya ulingo wa utangazaji. Tumechoshwa na upotoshaji.
Wale ni Form four wali feli, ni weupe sana kichwani na wanajua sana vitu vifuatavyo.
1. Udaku, mambo ya kufamaniana na kadhalika.

2. Michezo simba na Yanga

3. Mambo ya kusifia hasa CCM mambo ya kijipendekeza

4. Maada za Familia hasa Ma house Girl.
 
Sasa watu aina ya lokole nao wamekuwa watangazaji

Ova
Hapo sasa. Watu wa ovyo kabisa wasiokuwa na kitu kichwani wala kuwa na maadili ya utangazaji eti nao wamevamia utangazaji. Ovyo kabisa!
 
Mimi nimeacha kabisa kusikiliza na kuangalia yaani ni kichefu chefu.na hakuna chombo kinachotoa uangalizi yaani duhh basi tuu 😢😢
TCRA wanapaswa kusimamia maudhui ya media zote lakini wamebung'aa tu hapa JF kuwinda watukanaji na kuwapiga faini. Nchi ya ovyo sana hii.
 
kabla sijamaliza kusoma, hiyo zamani unayosemea wewe kulikuwa hakuna JF na vitu kama hivyo hatukuwa na vishikwambwi tulikuwa tunasubiria saa2 ifike twende kwa mjumbe kusikiliza habari.
Mkuu, ukimaliza kusoma utang'amua kuwa naongelea maudhui inayopotoshwa na makanjanja waliojichomeka vyumba vya habari huku wakiwa hawana uwezo wa kiutangazaji. Ndio maana tumegeukia alternative means baada ya kuona kwenye redio na TV hakuna taarifa zinazoeleweka.
 
Kimsingi media industry imeingiliwa na washenzi. Kwa mfano mmiliki wa hii online TV angepewa hata kesi ya uhujumu uchumi ahangaike nayo
View attachment 2411411
Freedom of Speech tukianza kufungia watu kwa kigezo hiki tutafungia wote kwa vigezo vyovyote...
I might disagree of what you say But I will defend to the death your right to say it”

By the way wewe kama unakwenda kwa mdau kama huyo kupata concrete news nadhani tatizo lipo kwako na sio kwa mtoa habari...., What next utachukua ushauri wa ki-afya kutoka kwa Tom and Jerry ?
 
Freedom of Speech tukianza kufungia watu kwa kigezo hiki tutafungia wote kwa vigezo vyovyote...
I might disagree of what you say But I will defend to the death your right to say it”

By the way wewe kama unakwenda kwa mdau kama huyo kupata concrete news nadhani tatizo lipo kwako na sio kwa mtoa habari...., What next utachukua ushauri wa ki-afya kutoka kwa Tom and Jerry ?
Bila shaka wewe ni miongoni mwa wale mnaotetea haki za mashoga. Yaani mtu anayezua taarifa za uongo kama hizo nae asifungiwe wala kuchukuliwa hatua zozote? Ingekuwa mpendwa wako aliyekutoka kazushiwa hivyo ungekaa tu kimya?
 
Bila shaka wewe ni miongoni mwa wale mnaotetea haki za mashoga. Yaani mtu anayezua taarifa za uongo kama hizo nae asifungiwe wala kuchukuliwa hatua zozote? Ingekuwa mpendwa wako aliyekutoka kazushiwa hivyo ungekaa tu kimya?
Kwa kweli wanahabari wanaotoa taarifa za uwongo na zinazoleta taharuki kwenye jamii yafaa wachukuliwe hatua kali za kisheria bila kuwaonea huruma yoyote.
 
Back
Top Bottom