Watangazaji waliokuwa wanamuhoji Ruto, Tanzania hatutowapata wa kiwango kile daima

Watangazaji waliokuwa wanamuhoji Ruto, Tanzania hatutowapata wa kiwango kile daima

Yale mawali waliyokuwa wanambananisha hakuna hata mmoja angemuuliza rais samia au magufuli

Ruth ni mvumilivu sana mana angeweza hata kujisahau kama ni rais na kuanza kurusha ngumi
 
Tanzania hakuna waandishi wa habari. Kuna makada wa ccm na machawa wa simba na yanga wanaozungumza kila siku kwenye media
 
sifa za kuwa mwandishi wa habari lazima uwe ulifeli kidato cha nne, unategemea utapata mwandishi wa habari au comedian, angali hatuna hata chombo cha habari chenye tija, kwa nchi na taifa letu ni makelele ya mpira kutwa kuchwa. hakuna tafiti, uchunguzi na upuuzi.

sijui nani ameturoga dah
Siyo kweli mbona kuna degree za mass communication
yule tido mhando alikuwa na degree?
 
Back
Top Bottom