Watangazaji waliokuwa wanamuhoji Ruto, Tanzania hatutowapata wa kiwango kile daima

Watangazaji waliokuwa wanamuhoji Ruto, Tanzania hatutowapata wa kiwango kile daima

Kipindi cha nyuma tulikuwa na Watangazaji wa Maaana na Waandishi pia, na ndioa maana wakawa aanapata Platform hadi kwenye vyombo vya nje kama BBC na VOA au Sauti ya Ujerumani, ila kuanzia awamu ya 5 ndio kila kitu kilichange hadi leo hii. Kwa saaa tuna Comediam, mtu kama Kitenge kutoka Mtangazaji hadi kuwa Comedian.

Angalia mtu kama Salim Kikeke kwa sasa yule ni Chawa. vyombo vya nje ndio maana kwa sasa vimejaa watangazaji kutoka Kenya tu.

Hapo kati kati ndio mambo yamekuja kuvurugika kabisa.
Ninakubaliana na wewe, na nitakwenda mbali zaidi ya hapo; pamoja na kwamba umekwepa au hukuelewa nililenga nini juu ya swali hilo nililouliza kwa maksudi tu!
Jamii yetu ya kiTanzania ndiyo inayo poromoka, siyo watangazaji au waandishi wa habari pekee.
Kama unadhani nakosea, jaribu kutazama taasisi zetu zote, unitajie ni ipi unayoona inafanya shughuli zake ipasavyo!
Tafiti kwenye vyuo vyetu vikuu, umetazama huko, ukakuta kuna unafuu wowote? Ma-profesa wetu sasa hivi umesikia hata mmoja kachapisha chapisho lolote la mtu kusifia na kujivunia kazi hiyo?

Sasa sote tumebaki kuwa 'MAITI', kama tulivyo batizwa kiukweli kabisa. Hawa maiti wenye uhai kidogo ndio hao wanaojisalimisha CCM ili wawe maiti moja kwa moja.

Tumefikia hali mbovu kabisa kama nchi.
 
hawa mnawaonea tu wao ni watangazaji wa vipindi vya burudani wa siasa mbona wapo kibao tu vile bongo saivi uhuru wa habari umeminywa kiaina ukimswalika mkuu sana maswali akashindwa kuyajibu ujue uko matatani
1. Baba Levo,
2. Mwijaku,
3. Swebe,
4. Zembwela,
5. Da hu,
6. Da Gea,
7. Kitenge,
8. Joyce Kiriah
 
Ningetamani kuona wanafanya mahojiano kwa kutumia lugha ya malkia, mwandishi wa habari inatakiwa hizi lugha mbili( English na French) ajue mojawapo katika kuongea na kuandika. Kenya wametuacha mbali kwa hilo.
Wewe unakwenda kwingine kabisa.
Kuwa mwandishi au mtangazaji mzuri siyo lazima ujue hizo lugha kama unavyodai wewe
Unaweza kuwa mwandishi/mtangazaji mzuri katika lugha yoyote ile kama umefuzu vizuri taaluma hiyo ya uandishi na utangazaji wa habari.
Hii ni mada tofauti kabisa.
 
Dah! Mkuu mbona umecheka hivyo? Please share.
Mkuu, nguruwe ni nguruwe tu na hata akipakwa lipstick atabakia kuwa nguruwe. Huwezi kupanda mchicha ukavuna nyanya. Kwa kweli ulinichekesha kwa hizo sifa ulizozitoa na hadi sasa bado nazidi kucheka nikijiuliza kulikoni?
 
Naunga mkono hoja. Hata ukitazama vipindi vya TV za Kenya jamaa wapo mbali sana wakijitahidi.
Msiwasifu sana waKenya ikawa vile nawaitanga waKenya werevu mwingi mbele Giza hata wakapitiliza kwa kulewa sifa na kwenda kupiga breki na kusimama Gairo wakati safari yao ilikuwa ni kuishia Mloglo njiiiini (Morogoro mjini) .

Ndo hawa hawa waKenya viongozi wao walikula pesa ya kandarasi ya SGR , reli ikaishia njiani Naivasha na bila aibu viongozi wale wale waliovimbiwa wakaamua kukamua raia kupitia kodi kubwa ili walipe mikopo ya China na raia kupitia watoto wa kishua Get Z wakagoma, wakasema bora kuuliwa kuliko kulipa kodi wakati majogoo kina Ruto, Kikuyu and company ndo wamekula pesa yote!!

Kuna aina mbili za modern society depending on the level of development and civilization. Mechanic society ni backward, primitive society, bado tupo hapa bongo!!

1.Mechanical society -mfano tz, kusalimiana ni lazima na ni nusu saa, kuheshimu na kutekeleza mawazo ya bosi au mshua hata yawe ujinga mtupu ni lazima, mkitoka kumaliza semina wakati hamjuani lazima mnaunda whatsapp group wakati ni waste of time and money , kijana ni lazima kusaidia wazee, ndugu jamaa na marafiki hata kama ukiwa mdogo hakuna aliekujali wala kujua kama upo, usipotoa pesa kuwapa huku unawaona wao hawafanyi kazi wanakulaani , mtu akikusaidia lazima umlipe fadhila, ukisonga mbele na maisha atakutangaza huna shukrani na atakulaani, kilimo cha pamoja cha jembe la mkono, hiki ndicho kilimo bora , urithi wa kututoa kimasomaso na ni uti wa mgongo wa taifa , kiongozi ni mungu mtu kazi kuropoka tu mengine ujinga mtupu ila sasa kila mtu kati yetu anampamba kwa nyimbo na mapambio na huyu yuko juu ya Sheria anasema polisi kamata huyo mchepuko Manka nimemfumania, sukuma ndani kweli unadakwa, viongozi huchaguliwa kwa uchawa na si elimu, bunge ni kibogoyo na kazi yake ni kusifu sirikali, kusafiri na kufanya kazi nje ya nchi ni taboo, ukikosoa sirikali unawindwa na wakikudaka wanapiga joints tu hadi wakikutupa ukaokotwa ukikumbuka Kipigo husemi kitu, technology ni ya watu walee wala haituhusu sie tumezoea njaa ati!!!!!!

2. Organic society - mf Kenya inasogelea huko........... Hii ni jamii yenye fikra mpya...... Enyi wabongo wale vilaza mliozoea mtu asome awaaandikie notes hapa mmeumia nanyi kasomeni mjaze maelezo ya the meaning of organic society!!
 
Ukiweka Siasa Pembeni hatuna Watangazaji levo za kuwakaribia Wakenya, na tuna kwama sana kama nchi, kama umefuatilia mahojiano ya leo jioni ya Ruto na Watangazaji wa habari utagundua kwamba tuna kosa sana Watangazaji aina ile.

Watatangazi wetu ni weupe sana hata aina ya vipindi vyao tu ni kielelezo tosha, watangazaji wanawezea Maada za kijingajinga kama za kufumaniania, maada za Ndoa, maada za Yanga na Simba na Maada za kusifu na kuabudu(Uchawa)

Watangazaji kaliba ya Mauldi Kitenge ndio tegemeo kwa nchi, angakia utangazaji wake ulivyo wa kitoto. Mtu kama Zembwela ni Mtangazaji, mtu kama Mwijaku full comedian.

Hatuna watangazaji wala Waandishi wa Habari wa kuweza hata kumuhoji mkuu wa wilaya achilia mbali Mkuu w Mkoa, kwa Raisi ndio kabisaa,ndio maana Pres confrance za hii nchi huwa huwezi sikia swali linaulizwa sana sana wanapongeza.

Kiongozi anaitisha Press anaongea ananalia anaondoka hakuna swali make hakuna mwenye uwezi wa kumuuliza swali.

Ndio maana hata Wageni wa nje wanao tembelea Tanzania huwa hawafanyi Press yoyote make hakuna mtu wa kuwauliza maswali sana watangazaji wanaweza jikuta wanaishia kumsifia kwamba amependeza, mara alinunua wapi hio saa alio vaa.

Tuna wana habari weupe sana vichwani na now day asilimia 98 wamehamia kwenye mpira wa Yanga na Simba kituo cha Radio kutwa nzima ni Maaada za Yanga na Simba.

Tanganyika kwani kuna wandishi wa habari, ni takataka tu. Lazima tukiri kuwa Kenya wako mbele sana kwenye elimu yao, uandishi wa habari ni eneo mojawapo.
 
Hili kweli "Bufa" 🤣🤣🤣 Yaani limetumwa kuja kutusisitizia tuwe chanzo cha kuonesha mabadiliko na ukosoaji waziwazi. Hata kama sipendi picha ya mama basi nijirekodi naichambia halafu nijipost 😂😂😂😂
(Mbeya)

Bufa kwa taarifa Yako haujui siku wala saa, na hamasa itaanzia humuhumu.
 
Vyombo kutwa nzima ni Maada za Familia wakitoka hapo wanahamia kwenye mpira wa Yanga na Simba, yaani unaweza zania matatizi ya Kifamilia ndio changamoto kuu Tanzania.
Baada ya hapo wanakimbilia kwenye afya, nimeona ni weupe zaidi baada ya kutogundua sakata la sukari.
 
Maswali ya waandishi,watangazaji kanjanja wa tZ wakimhoji kiongozi!

swali,ehe ni msanii gani au mziki gani unaukubali sana mh 😄 🤣 😂

Ova
 
Maswali ya waandishi,watangazaji kanjanja wa tZ wakimhoji kiongozi!

swali,ehe ni msanii gani au mziki gani unaukubali sana mh 😄 🤣 😂

Ova
Mh wewe ni shabiki wa timu gani Tanzania na pia kule Uingereza?

Mh umependeza sana, nani mbunifu wa mavazi yako?

Mh Una maoni gani kuhusu usajiri wa Yanga na Simba?
 
Tanganyika kwani kuna wandishi wa habari, ni takataka tu. Lazima tukiri kuwa Kenya wako mbele sana kwenye elimu yao, uandishi wa habari ni eneo mojawapo.
Wapo sana ila sasa maswali yao,

1. Mh wewe ni shabiki wa timu gani?

2. Mh unapendelea kusikiliza miziki gani?

3.Ni nani mbunifu wa mavazi yako?

4.Ukistafu uanataka ufanye kazi gani?

5.Una maoni gani kuhusu usajiri wa Yanga na Simba?
 
Ukiweka Siasa Pembeni hatuna Watangazaji levo za kuwakaribia Wakenya, na tuna kwama sana kama nchi, kama umefuatilia mahojiano ya leo jioni ya Ruto na Watangazaji wa habari utagundua kwamba tuna kosa sana Watangazaji aina ile.

Watatangazi wetu ni weupe sana hata aina ya vipindi vyao tu ni kielelezo tosha, watangazaji wanawezea Maada za kijingajinga kama za kufumaniania, maada za Ndoa, maada za Yanga na Simba na Maada za kusifu na kuabudu(Uchawa)

Watangazaji kaliba ya Mauldi Kitenge ndio tegemeo kwa nchi, angakia utangazaji wake ulivyo wa kitoto. Mtu kama Zembwela ni Mtangazaji, mtu kama Mwijaku full comedian.

Hatuna watangazaji wala Waandishi wa Habari wa kuweza hata kumuhoji mkuu wa wilaya achilia mbali Mkuu w Mkoa, kwa Raisi ndio kabisaa,ndio maana Pres confrance za hii nchi huwa huwezi sikia swali linaulizwa sana sana wanapongeza.

Kiongozi anaitisha Press anaongea ananalia anaondoka hakuna swali make hakuna mwenye uwezi wa kumuuliza swali.

Ndio maana hata Wageni wa nje wanao tembelea Tanzania huwa hawafanyi Press yoyote make hakuna mtu wa kuwauliza maswali sana watangazaji wanaweza jikuta wanaishia kumsifia kwamba amependeza, mara alinunua wapi hio saa alio vaa.

Tuna wana habari weupe sana vichwani na now day asilimia 98 wamehamia kwenye mpira wa Yanga na Simba kituo cha Radio kutwa nzima ni Maaada za Yanga na Simba.

Siyo watangazaji tu, hata wananchi ni tofauti sana.
 
Ukiweka Siasa Pembeni hatuna Watangazaji levo za kuwakaribia Wakenya, na tuna kwama sana kama nchi, kama umefuatilia mahojiano ya leo jioni ya Ruto na Watangazaji wa habari utagundua kwamba tuna kosa sana Watangazaji aina ile.

Watatangazi wetu ni weupe sana hata aina ya vipindi vyao tu ni kielelezo tosha, watangazaji wanawezea Maada za kijingajinga kama za kufumaniania, maada za Ndoa, maada za Yanga na Simba na Maada za kusifu na kuabudu(Uchawa)

Watangazaji kaliba ya Mauldi Kitenge ndio tegemeo kwa nchi, angakia utangazaji wake ulivyo wa kitoto. Mtu kama Zembwela ni Mtangazaji, mtu kama Mwijaku full comedian.

Hatuna watangazaji wala Waandishi wa Habari wa kuweza hata kumuhoji mkuu wa wilaya achilia mbali Mkuu w Mkoa, kwa Raisi ndio kabisaa,ndio maana Pres confrance za hii nchi huwa huwezi sikia swali linaulizwa sana sana wanapongeza.

Kiongozi anaitisha Press anaongea ananalia anaondoka hakuna swali make hakuna mwenye uwezi wa kumuuliza swali.

Ndio maana hata Wageni wa nje wanao tembelea Tanzania huwa hawafanyi Press yoyote make hakuna mtu wa kuwauliza maswali sana watangazaji wanaweza jikuta wanaishia kumsifia kwamba amependeza, mara alinunua wapi hio saa alio vaa.

Tuna wana habari weupe sana vichwani na now day asilimia 98 wamehamia kwenye mpira wa Yanga na Simba kituo cha Radio kutwa nzima ni Maaada za Yanga na Simba.

Maada ❌
Mada ✅
 
Hebu fikiria

Eti mtangazaji au mwandishi wa habari wa media fulani mfano Clouds media au Mwananchi media au ITV au TBC nk anaenda kufanya interview na Tundu Lissu mtaalamu na mbobevu wa mambo ya katiba na sheria juu ya maswala mbalimbali ya nchi ikiwemo matendo ya ukiukwaji wa sheria na Katiba yanayofanywa na viongozi mbalimbali wa serikali.

Halafu mwandishi huyo anakwenda kuhojiana na mtu wa dizaini hii lakini yeye ni mweupe kichwani akiwa hana hata A, B, C za chembechembe za uelewa na ufahamu kidogo tu wa sheria na Katiba ya nchi. Hajakariri hata ibara Moja ya katiba. Hajui hata sheria Moja tu juu kile anachotaka kwenda kumhoji huyo kiongozi

Hivi unategemea mwandishi kama huyu atauliza maswali gani kama sio ujinga na utopolo mtupu?

Hawa ndio wengi wa wanahabari wa Tanzania tulionao. Wengi kwa kuwa wanajua kusoma na kuandika na anaweza kuwa na ki - blog au YouTube channel, basi tayari atajiita mwanahabari mbobevu

Na tusidanganyane hapa. Ishu sio woga na kama ni woga wa kuwauliza maswali magumu viongozi wetu ni kwa sababu waandishi wenyewe wanakuwa hawajui haki zao.

Na kama mtu ni mjinga au hajui na hana ufahamu na maarifa juu ya jambo fulani, obvious lazima hatakuwa na ujasiri wa kuliendea jambo hilo kwa vitendo au hata kwa kusema tu na hivyo atakuwa na woga na hofu kwa kujiuliza itakuaje nikisema au kutenda hivi au vile
 
Ukiweka Siasa Pembeni hatuna Watangazaji levo za kuwakaribia Wakenya, na tuna kwama sana kama nchi, kama umefuatilia mahojiano ya leo jioni ya Ruto na Watangazaji wa habari utagundua kwamba tuna kosa sana Watangazaji aina ile.

Watatangazi wetu ni weupe sana hata aina ya vipindi vyao tu ni kielelezo tosha, watangazaji wanawezea Maada za kijingajinga kama za kufumaniania, maada za Ndoa, maada za Yanga na Simba na Maada za kusifu na kuabudu(Uchawa)

Watangazaji kaliba ya Mauldi Kitenge ndio tegemeo kwa nchi, angakia utangazaji wake ulivyo wa kitoto. Mtu kama Zembwela ni Mtangazaji, mtu kama Mwijaku full comedian.

Hatuna watangazaji wala Waandishi wa Habari wa kuweza hata kumuhoji mkuu wa wilaya achilia mbali Mkuu w Mkoa, kwa Raisi ndio kabisaa,ndio maana Pres confrance za hii nchi huwa huwezi sikia swali linaulizwa sana sana wanapongeza.

Kiongozi anaitisha Press anaongea ananalia anaondoka hakuna swali make hakuna mwenye uwezi wa kumuuliza swali.

Ndio maana hata Wageni wa nje wanao tembelea Tanzania huwa hawafanyi Press yoyote make hakuna mtu wa kuwauliza maswali sana watangazaji wanaweza jikuta wanaishia kumsifia kwamba amependeza, mara alinunua wapi hio saa alio vaa.

Tuna wana habari weupe sana vichwani na now day asilimia 98 wamehamia kwenye mpira wa Yanga na Simba kituo cha Radio kutwa nzima ni Maaada za Yanga na Simba.

Watangazaji wetu mahiri ni Comedians
 
Kwenye eneo hilo Kenya kuna uhuru mkubwa wa kutoa maoni.
Ndani ya ikulu mwandishi anamuuliza Rais: " Watu wanasema Ruto hana uhusiano na ukweli,unalingumziaje hilo?" (People say Ruto can not be associated with the truth, how do you talk about that?)
Maana yake Rais ni muongo mkubwa.
Swali kama hilo lingeulizwa kwa JPM sijui kama kuna mwandishi angetoka akiwa kwenye maumbile yake ya kawaida.
 
Back
Top Bottom