Watangazaji waliokuwa wanamuhoji Ruto, Tanzania hatutowapata wa kiwango kile daima

Watangazaji waliokuwa wanamuhoji Ruto, Tanzania hatutowapata wa kiwango kile daima

Pascal Mayalla yupo vizuri, anajitahidi sana hasa umkute kwenye vile vipindi vyake, huku kwenye siasa ni kama anaogopa kuwavua nguo hivyo akajiweka kwenye wakati mgumu. So amekuwa hapendelei sana zaidi ya kuandika.

Angekuwa hata na youtube chanel yake akawa anakutana nawanasiasa kuanzia wakongwe hadi hawa, piga maswali ya kuchimbua mambo. Aiachie hadhira kumbukumbuku.
Asante sana Mkuu Mpalakugenda ,ushauri wako nitauzingatia.
P
 
Ukiweka Siasa Pembeni hatuna Watangazaji levo za kuwakaribia Wakenya, na tuna kwama sana kama nchi, kama umefuatilia mahojiano ya leo jioni ya Ruto na Watangazaji wa habari utagundua kwamba tuna kosa sana Watangazaji aina ile.

Watatangazi wetu ni weupe sana hata aina ya vipindi vyao tu ni kielelezo tosha, watangazaji wanawezea Maada za kijingajinga kama za kufumaniania, maada za Ndoa, maada za Yanga na Simba na Maada za kusifu na kuabudu(Uchawa)

Watangazaji kaliba ya Mauldi Kitenge ndio tegemeo kwa nchi, angakia utangazaji wake ulivyo wa kitoto. Mtu kama Zembwela ni Mtangazaji, mtu kama Mwijaku full comedian.

Hatuna watangazaji wala Waandishi wa Habari wa kuweza hata kumuhoji mkuu wa wilaya achilia mbali Mkuu w Mkoa, kwa Raisi ndio kabisaa,ndio maana Pres confrance za hii nchi huwa huwezi sikia swali linaulizwa sana sana wanapongeza.

Kiongozi anaitisha Press anaongea ananalia anaondoka hakuna swali make hakuna mwenye uwezi wa kumuuliza swali.

Ndio maana hata Wageni wa nje wanao tembelea Tanzania huwa hawafanyi Press yoyote make hakuna mtu wa kuwauliza maswali sana watangazaji wanaweza jikuta wanaishia kumsifia kwamba amependeza, mara alinunua wapi hio saa alio vaa.

Tuna wana habari weupe sana vichwani na now day asilimia 98 wamehamia kwenye mpira wa Yanga na Simba kituo cha Radio kutwa nzima ni Maaada za Yanga na Simba.

Labda Kikeke tu
 
Ukiweka Siasa Pembeni hatuna Watangazaji levo za kuwakaribia Wakenya, na tuna kwama sana kama nchi, kama umefuatilia mahojiano ya leo jioni ya Ruto na Watangazaji wa habari utagundua kwamba tuna kosa sana Watangazaji aina ile.

Watatangazi wetu ni weupe sana hata aina ya vipindi vyao tu ni kielelezo tosha, watangazaji wanawezea Maada za kijingajinga kama za kufumaniania, maada za Ndoa, maada za Yanga na Simba na Maada za kusifu na kuabudu(Uchawa)

Watangazaji kaliba ya Mauldi Kitenge ndio tegemeo kwa nchi, angakia utangazaji wake ulivyo wa kitoto. Mtu kama Zembwela ni Mtangazaji, mtu kama Mwijaku full comedian.

Hatuna watangazaji wala Waandishi wa Habari wa kuweza hata kumuhoji mkuu wa wilaya achilia mbali Mkuu w Mkoa, kwa Raisi ndio kabisaa,ndio maana Pres confrance za hii nchi huwa huwezi sikia swali linaulizwa sana sana wanapongeza.

Kiongozi anaitisha Press anaongea ananalia anaondoka hakuna swali make hakuna mwenye uwezi wa kumuuliza swali.

Ndio maana hata Wageni wa nje wanao tembelea Tanzania huwa hawafanyi Press yoyote make hakuna mtu wa kuwauliza maswali sana watangazaji wanaweza jikuta wanaishia kumsifia kwamba amependeza, mara alinunua wapi hio saa alio vaa.

Tuna wana habari weupe sana vichwani na now day asilimia 98 wamehamia kwenye mpira wa Yanga na Simba kituo cha Radio kutwa nzima ni Maaada za Yanga na Simba.

Elimu, Elimu, Elimu
Tukubali wakenya wametuzidi Elimu
Ndio maana wanajitambua, huku Mwananchi anateseka miaka mitano then anakuja kupewa kitenge na kofia anapoa
 
Pascal Mayalla yupo vizuri, anajitahidi sana hasa umkute kwenye vile vipindi vyake, huku kwenye siasa ni kama anaogopa kuwavua nguo hivyo akajiweka kwenye wakati mgumu. So amekuwa hapendelei sana zaidi ya kuandika.

Angekuwa hata na youtube chanel yake akawa anakutana nawanasiasa kuanzia wakongwe hadi hawa, piga maswali ya kuchimbua mambo. Aiachie hadhira kumbukumbuku.
Kwani mkuu hapa tunaongelea Nini sio uoga na ujinga?!
 
Watano? mkuu ni hakuna yaani ni hakuna nikuhakikishie hakuna, Watano wapi hao?
Eti watano??aisee ni hatuna watangazaji tuma wahuni wahuni tu ambao ni wataalamu wa kuchamba.na ndo mana hatusikilizi redio siku hizi.miaka ya nyuma kidogo kabla ya 2015 watu wengi walikua wana tune powerbreak fast ya clouds F.M ile asubuh sabbu walikua wanaongea isssues.yaan wanahoji walikua wanaweza ata muita waziri wakamuhoji maswali magumu.lkn ss ivi aisee sijui ni ujinga gani unaendelea
 
Kuna ile interview Makamba senior anaulizwa na muandishi wa habari kwanini anasema mambo yapo vizuri hali ya kuwa mambo sivyo kama anavyosema, aisee yule mzee alipandwa na jazba akaanza kutoa na matusi, mzee wa watu sukari ilitaka kupanda.
Ndio nchi yetu tulivyokuza hivyo watu wacheche wanafaidi keki ya taifa kuhojiwa ahaaaa
 
Back
Top Bottom