Watangazaji waliokuwa wanamuhoji Ruto, Tanzania hatutowapata wa kiwango kile daima

Watangazaji waliokuwa wanamuhoji Ruto, Tanzania hatutowapata wa kiwango kile daima

Ukiweka Siasa Pembeni hatuna Watangazaji levo za kuwakaribia Wakenya,na tuna kwama sana kama nchi, kama umefuatilia mahojiano ya leo jioni ya Ruto na Watangazaji wa habari utagundua kwamba tuna kosa sana Watangazaji aina ile.

Watatangazi wetu ni weupe sana hata aina ya vipindi vyao tu ni kielelezo tosha, watangazaji wanawezea Maada za kijingajinga kama za kufumaniania, maada za Ndoa, maada za Yanga na Simba na Maada za kusifu na kuabudu(Uchawa)

Watangazaji kaliba ya Mauldi Kitenge ndio tegemeo kwa nchi, angakia utangazaji wake ulivyo wa kitoto. Mtu kama Zembwela ni Mtangazaji, mtu kama Mwijaku full comedian.

Hatuna watangazaji wala Waandishi wa Habari wa kuweza hata kumuhoji mkuu wa wilaya achilia mbali Mkuu w Mkoa, kwa Raisi ndio kabisaa,ndio maana Pres confrance za hii nchi huwa huwezi sikia swali linaulizwa sana sana wanapongeza.

Kiongozi anaitisha Press anaongea ananalia anaondoka hakuna swali make hakuna mwenye uwezi wa kumuuliza swali.

Ndio maana hata Wageni wa nje wanao tembelea Tanzania huwa hawafanyi Press yoyote make hakuna mtu wa kuwauliza maswali sana watangazaji wanaweza jikuta wanaishia kumsifia kwamba amependeza, mara alinunua wapi hio saa alio vaa.

Tuna wana habari weupe sana vichwani na now day asilimia 98 wamehamia kwenye mpira wa Yanga na Simba kituo cha Radio kutwa nzima ni Maaada za Yanga na Simba.
What's so special? Kuhoji Rais maswali kunahitaji kusomea Havard au ni matakwa ya Rais kuhitaji kuhojiwa?
 
Huwa sisikilizi radio siku hizi - Nimejaribu kufungua last week..kila nikipata station ni Simba,Azam & Yanga..na wote ni kawa wanafanana tu..huwezi jua utofauti - mada ni zilezile - za kitototo tu..
Nikiwa mdogo ilikuwa lazima saa 7 niskilize DW...saa 12 na nusu lazima nitafute BBC..idhaa ya kiswahili - unasikiliza habari mpaka ubajiskia raha..then kidogo kama dk 5 wanaongelea michezo kwa ufasaha kabisa.
Hivi media zetu ni kinyume - 80% michezo, 5% habari, 15% muziki...
Tatizo lipo kwa WAMILIKI pia - VISION yao ni nini?? Kama ni kupiga pesa kwa kutumia ujinga wa wananchi wanafanikiwa..na kama lengo lingekuwa kusaidia kutoa ujinga..tungeona utendaji tofauti.
Kiongozi tatizo ni wateja, Watanzania Ndio wanataka hizo habari! Ujinga na upumbavu umetamalki Kila Kona ! Ni Hatari sana! Hebu fikiria Wakenya wanauana Kwa ajili ya Bajeti , vyombo vya habari vya Tanzania asilimia kubwa vinajafili Cloutus Chota Chama😠😠😠
 
Huwa sisikilizi radio siku hizi - Nimejaribu kufungua last week..kila nikipata station ni Simba,Azam & Yanga..na wote ni kawa wanafanana tu..huwezi jua utofauti - mada ni zilezile - za kitototo tu..
Nikiwa mdogo ilikuwa lazima saa 7 niskilize DW...saa 12 na nusu lazima nitafute BBC..idhaa ya kiswahili - unasikiliza habari mpaka ubajiskia raha..then kidogo kama dk 5 wanaongelea michezo kwa ufasaha kabisa.
Hivi media zetu ni kinyume - 80% michezo, 5% habari, 15% muziki...
Tatizo lipo kwa WAMILIKI pia - VISION yao ni nini?? Kama ni kupiga pesa kwa kutumia ujinga wa wananchi wanafanikiwa..na kama lengo lingekuwa kusaidia kutoa ujinga..tungeona utendaji tofauti.
Sahihi
 
Mkuu hawa watangazaji wa kitanzania unawalaumu bure tu, hili ni tatatizo la nchi nzima kwa watu wake. Kila mmoja wetu hapa akipewa nafasi ya kuongea ndio tutajuana vzr uelewa wetu ulivyo wa hovyo. Sisi sio watu wakujifuza sana na kutafta maarifa. Kifupi ni wa vivu
Hahaaa . Umetuunganisha sote
 
Nadhani ni viongozi hawataki changamoto
Nakumbuka kipindi flani cha uchaguzi wkt huo Mkurugenzi wa TBC ni Tido

Alianzisha challenge akaiita mchakato majimboni
Ile ilikua nzuri Sana kwasababu walikutana wagombea wa vyama vyote kwenye Jimbo husika na wananchi wapo na waandishi wa habari wapo na ilikua live ni mwendo wa maswali na majibu

Baada ya matukio yale ilionekana Ccm walikua weupe Sana
Kilichofuata Tido akaliwa kichwa

Mkiwa kwenye mfumo ambao wenye akili na upeo mdogo wanaongoza nchi, watapenda kila mahali wawepo watu wa namna hiyo.

Watu wenye uelewa mdogo huwa ni very defensive, hawapendi ule upungufu walio nao uonekane. Hivyo wanataka kuuziba kwa ukatili na udikteta.
 
Ukiweka Siasa Pembeni hatuna Watangazaji levo za kuwakaribia Wakenya,na tuna kwama sana kama nchi, kama umefuatilia mahojiano ya leo jioni ya Ruto na Watangazaji wa habari utagundua kwamba tuna kosa sana Watangazaji aina ile.

Watatangazi wetu ni weupe sana hata aina ya vipindi vyao tu ni kielelezo tosha, watangazaji wanawezea Maada za kijingajinga kama za kufumaniania, maada za Ndoa, maada za Yanga na Simba na Maada za kusifu na kuabudu(Uchawa)

Watangazaji kaliba ya Mauldi Kitenge ndio tegemeo kwa nchi, angakia utangazaji wake ulivyo wa kitoto. Mtu kama Zembwela ni Mtangazaji, mtu kama Mwijaku full comedian.

Hatuna watangazaji wala Waandishi wa Habari wa kuweza hata kumuhoji mkuu wa wilaya achilia mbali Mkuu w Mkoa, kwa Raisi ndio kabisaa,ndio maana Pres confrance za hii nchi huwa huwezi sikia swali linaulizwa sana sana wanapongeza.

Kiongozi anaitisha Press anaongea ananalia anaondoka hakuna swali make hakuna mwenye uwezi wa kumuuliza swali.

Ndio maana hata Wageni wa nje wanao tembelea Tanzania huwa hawafanyi Press yoyote make hakuna mtu wa kuwauliza maswali sana watangazaji wanaweza jikuta wanaishia kumsifia kwamba amependeza, mara alinunua wapi hio saa alio vaa.

Tuna wana habari weupe sana vichwani na now day asilimia 98 wamehamia kwenye mpira wa Yanga na Simba kituo cha Radio kutwa nzima ni Maaada za Yanga na Simba.
Ndio maana nilisema kwenye uzi humu kuwa watu wanaotumia lugha ya kiingereza wana uelewa mkubwa kuliko waswahili. Kuna baadhi hawakunielewa
 
Akili kubwa zinajadili maendeleo.
Akili za kawaida zinajadili matukio.
Akili mbovu zinajadili watu.

Tangu umekaririshwa hicho ukiwa bado mdogo, umebakia nacho hicho hicho mpaka unakuwa kikongwe. Cha ajabu hata ulichokaririshwa, mpaka umezeeka hujaelewa maana yake.

Nani hapa umemsikia anamjadili mtu? Watu wanajadili uwezo wa wanahabari wa watanzania, hawajadili maumbile au sauti za wanahabari.

Wewe yumkini hata watu wakiomba ajira, waajiri wakianza kupitia profiles za waombaji, utasema wanamjadili mtu wakati kinachoangaliwa ni uwezo wa mtu.
 
Huwa nasikiliza watangazaji wa, wasafi, efm, TBC, pale kuna vilaza watupu, wasafi pale kuna kitenge, zembwela, Ando, huwa hakuna cha maana, cha kiuchunguzi, ni porojo kama za, Kjiwe cha bodaboda!
Juzi nikamsikia, zembwela akisema, "anakula vzr Sana sasa hv kufidia maisha magumu aliyoishi akiwa mtoto"sasa nikajiiuliza kuna haja gani, ya,kusema hv kwenye national TV, haisadii chochote, ni swala binafsi Sana, halina maana yoyote kwa jamii,
Inge kuwa anasema, kutoka na na maisha magumu aliyoishi akiwa mtoto, aliamua tangu zamani, atakuwa anatoa 50% ya mshahara wake kusaidia vituo vya yatima, au anasomesha watoto kadhaa, Inge kuwa na, maana Sana, ni, taharifa kama hii ni for public consumption,
Kuna upuuzi mwingine pale efm, kipindi, cha jioni ya Leo, kuna masimulizi, ya kutunga na ujinga mwingi, nikisikia biki kipindi, huwa, nasikia kutapika,
Kuna wachambuzi wao wa mpira dada mmoja anasauti mbaya kama katuni
Mkuu kwanza una moyo mgumu. Unasikilizaga?
 
Ukiweka Siasa Pembeni hatuna Watangazaji levo za kuwakaribia Wakenya,na tuna kwama sana kama nchi, kama umefuatilia mahojiano ya leo jioni ya Ruto na Watangazaji wa habari utagundua kwamba tuna kosa sana Watangazaji aina ile.

Watatangazi wetu ni weupe sana hata aina ya vipindi vyao tu ni kielelezo tosha, watangazaji wanawezea Maada za kijingajinga kama za kufumaniania, maada za Ndoa, maada za Yanga na Simba na Maada za kusifu na kuabudu(Uchawa)

Watangazaji kaliba ya Mauldi Kitenge ndio tegemeo kwa nchi, angakia utangazaji wake ulivyo wa kitoto. Mtu kama Zembwela ni Mtangazaji, mtu kama Mwijaku full comedian.

Hatuna watangazaji wala Waandishi wa Habari wa kuweza hata kumuhoji mkuu wa wilaya achilia mbali Mkuu w Mkoa, kwa Raisi ndio kabisaa,ndio maana Pres confrance za hii nchi huwa huwezi sikia swali linaulizwa sana sana wanapongeza.

Kiongozi anaitisha Press anaongea ananalia anaondoka hakuna swali make hakuna mwenye uwezi wa kumuuliza swali.

Ndio maana hata Wageni wa nje wanao tembelea Tanzania huwa hawafanyi Press yoyote make hakuna mtu wa kuwauliza maswali sana watangazaji wanaweza jikuta wanaishia kumsifia kwamba amependeza, mara alinunua wapi hio saa alio vaa.

Tuna wana habari weupe sana vichwani na now day asilimia 98 wamehamia kwenye mpira wa Yanga na Simba kituo cha Radio kutwa nzima ni Maaada za Yanga na Simba.
Kuna jamaa aliwahi kuandika uzi anakwambia kikubwa ubunifu elimu haina umuhimu, ukicheki mahojiano wanayofanya watangazaji wa bongo ni ushuzi mtupu, utaskia eti wewe kama wewe akaunti yako haikosi kiasi gani? Mara ooh tunaskia zuchu anamimba yani ujinga ujinga tu, yote inatokana na kuweka elimu pembeni kusema eti ooh huyu mtangazaji anakipaji matokeo yake hata content wanashindwa kutengeneza
 
Kuna wakati nikiwa naendesha gari, naamua kusikiliza, kwa kweli utabadilisha mpaka unachoka, maana kila unayoipata, hakuna cha maana, na mambo ya ujinga ujinga mtupu. Unaamua kyzima kabisa redio, na kusubiria muda watakapojiunga na BBC.

Tasnia ya habari, kwa kweli ni uozo mtupu. Ndiyo maana watu kwa sasa wanategemea twitter, JF na makundi ya whatsap kuweza kupata habari.
 
Sisi huyu Pascal Mayalla kama hajapewa Bahasha anaweza kidogo.
Pascal Mayalla yupo vizuri, anajitahidi sana hasa umkute kwenye vile vipindi vyake, huku kwenye siasa ni kama anaogopa kuwavua nguo hivyo akajiweka kwenye wakati mgumu. So amekuwa hapendelei sana zaidi ya kuandika.

Angekuwa hata na youtube chanel yake akawa anakutana nawanasiasa kuanzia wakongwe hadi hawa, piga maswali ya kuchimbua mambo. Aiachie hadhira kumbukumbuku.
 
Kuna wakati nikiwa naendesha gari, naamua kusikiliza, kwa kweli utabadilisha mpaka unachoka, maana kila unayoipata, hakuna cha maana, na mambo ya ujinga ujinga mtupu. Unaamua kyzima kabisa redio, na kusubiria muda watakapojiunga na BBC.

Tasnia ya habari, kwa kweli ni uozo mtupu. Ndiyo maana watu kwa sasa wanategemea twitter, JF na makundi ya whatsap kuweza kupata habari.
Usipo kutana na Mada ya Ndoa, utakutana mada ya Yanga na Simba au mada ya Wamama na Wababa wa Kambo, au taarabu au Mada za ma House Girls
 
Jamani, hima hima, njaa haijawahi kumwacha mtu hai, njaa ya tumbo, njaa ya kichwa, njaa ya akili, mwenye njaa huweza kula hata uchafu, huuza hata utu wao. Hapa TZ hatuna kabisa waandishi wa habari, kilichobaki ni usanii tu, usanii hadi vyuo vinavyotoa taaluma hii.
Saa nyingine huwa namkumbuka RIP Magufuli kumwambia Pascal Mayala, kuwa " Mayala" kisukuma ni njaa! Sikuelewa, njaa tumboni, kichwani au kielimu, au ya "UCHAWA". Ene wei, naomba wateuzi wamwonee huruma mzee wa watu, wampe hata la ukuu wa wilaya, hata wasanii mbona wanapewa? Kwani yeye kakosa nini?
 
Back
Top Bottom