I lofu you so much
FaizaFoxy come to bed
Ntaweka wana Habari wawili tu ambao wakipewa kiongozi wanampasukia bila kujali chochote au yeye ni nani yaan anapasuliwa na maswali mpaka ananuna
Kuna yule mmoja aliwahi kumuhoji Pole Pole hadi akawa anasema "Wewee Mimi nani wa kuniloga, Shetani mwenyewe ameshindwa" Jina simjui yule Ila alikua anafanya vizuri
Anyway wawili ni Hawa hapa :
1. Mtozi Aloyce Nyanda wa kipindi cha The Big Agenda -star TV
2. Chief Edwin Odemba wa kipindi cha Medani za Siasa -star TV
Hivyo vipindi viwili hata aitwe nani anapasuliwa maswali hata yale asiyoyapenda kuyasikia na kuyatolea ufafanuzi wengine huishia kusema no comment mfano Mrisho Gambo alipohojiwa alipigwa maswali mpaka akapanik
Mwambieni Salama J km anataka kua na vipindi vya namna hio kwenye mahojiano ya
Salama Na basi ahakikishe wale anaowaita hususani Wanasiasa maswali chokozi anawapasukia sio kuwauliza maswali shela lako la harusi ulinunua wapi mumeo mlikutana wapi?