Infropreneur
JF-Expert Member
- Aug 15, 2022
- 9,830
- 20,686
Mwandishi mmoja wa habari wa Kenya ni sawa na waandishi wa habari wa tano wa Tanzania tena walevi.
Mwandishi wa habari maarufu wa CNN kutoka Kenya Larry Madowo alipata hadi nafasi ya kumhoji bilionea wa Afrika Aliko Dangote.
Waandishi wa habari wa Tanzania kutwa kucha kusifia ccm na kuendekeza uchawa.!!
Uafrika hasa utanzania ni laana.
Mwandishi wa habari maarufu wa CNN kutoka Kenya Larry Madowo alipata hadi nafasi ya kumhoji bilionea wa Afrika Aliko Dangote.
Waandishi wa habari wa Tanzania kutwa kucha kusifia ccm na kuendekeza uchawa.!!
Uafrika hasa utanzania ni laana.