Watangazaji waliokuwa wanamuhoji Ruto, Tanzania hatutowapata wa kiwango kile daima

Watangazaji waliokuwa wanamuhoji Ruto, Tanzania hatutowapata wa kiwango kile daima

BLACK MOVEMENT kila siku unalalmika kama dent tukiuliza umefanya nini kubalisha hizo changamoto unatoa matusi? Umechukua hatua gani wewe kama wewe au unataka wengine wafanye wewe uwe mpambe tu? Utakua mpambe na mlalamishi hadi lini? Huko Kenya unakokushobokea sana kuna walalamishi madent kama wewe? Either You do the work or suck it up. Change starts with you.
 
Ukiweka Siasa Pembeni hatuna Watangazaji levo za kuwakaribia Wakenya,na tuna kwama sana kama nchi, kama umefuatilia mahojiano ya leo jioni ya Ruto na Watangazaji wa habari utagundua kwamba tuna kosa sana Watangazaji aina ile.

Watatangazi wetu ni weupe sana hata aina ya vipindi vyao tu ni kielelezo tosha, watangazaji wanawezea Maada za kijingajinga kama za kufumaniania, maada za Ndoa, maada za Yanga na Simba na Maada za kusifu na kuabudu(Uchawa)

Watangazaji kaliba ya Mauldi Kitenge ndio tegemeo kwa nchi, angakia utangazaji wake ulivyo wa kitoto. Mtu kama Zembwela ni Mtangazaji, mtu kama Mwijaku full comedian.

Hatuna watangazaji wala Waandishi wa Habari wa kuweza hata kumuhoji mkuu wa wilaya achilia mbali Mkuu w Mkoa, kwa Raisi ndio kabisaa,ndio maana Pres confrance za hii nchi huwa huwezi sikia swali linaulizwa sana sana wanapongeza.

Kiongozi anaitisha Press anaongea ananalia anaondoka hakuna swali make hakuna mwenye uwezi wa kumuuliza swali.

Ndio maana hata Wageni wa nje wanao tembelea Tanzania huwa hawafanyi Press yoyote make hakuna mtu wa kuwauliza maswali sana watangazaji wanaweza jikuta wanaishia kumsifia kwamba amependeza, mara alinunua wapi hio saa alio vaa.

Tuna wana habari weupe sana vichwani na now day asilimia 98 wamehamia kwenye mpira wa Yanga na Simba kituo cha Radio kutwa nzima ni Maaada za Yanga na Simba.
Siyo maada ni mada,maada ni yabisi,gesi na kimiminika,tuna waandishi wengi wanaweza muhoji huyo mtu wako vyema,tido mhando,Venus nyota, Charles Hilary,barwan mhuzya nk,tatizo waandishi unaowaona ni akina diva the bawse na WA michezo, pascal mayala hawezi kumuhoji huyo!?
 
BLACK MOVEMENT kila siku unalalmika kama dent tukiuliza umefanya nini kubalisha hizo changamoto unatoa matusi? Umechukua hatua gani wewe kama wewe au unataka wengine wafanye wewe uwe mpambe tu? Utakua mpambe na mlalamishi hadi lini? Huko Kenya unakokushobokea sana kuna walalamishi madent kama wewe? Either You do the work or suck it up. Change starts with you.
Wewe mbona unalia kwenye uzi wangu?
 
Ukiweka Siasa Pembeni hatuna Watangazaji levo za kuwakaribia Wakenya,na tuna kwama sana kama nchi, kama umefuatilia mahojiano ya leo jioni ya Ruto na Watangazaji wa habari utagundua kwamba tuna kosa sana Watangazaji aina ile.

Watatangazi wetu ni weupe sana hata aina ya vipindi vyao tu ni kielelezo tosha, watangazaji wanawezea Maada za kijingajinga kama za kufumaniania, maada za Ndoa, maada za Yanga na Simba na Maada za kusifu na kuabudu(Uchawa)

Watangazaji kaliba ya Mauldi Kitenge ndio tegemeo kwa nchi, angakia utangazaji wake ulivyo wa kitoto. Mtu kama Zembwela ni Mtangazaji, mtu kama Mwijaku full comedian.

Hatuna watangazaji wala Waandishi wa Habari wa kuweza hata kumuhoji mkuu wa wilaya achilia mbali Mkuu w Mkoa, kwa Raisi ndio kabisaa,ndio maana Pres confrance za hii nchi huwa huwezi sikia swali linaulizwa sana sana wanapongeza.

Kiongozi anaitisha Press anaongea ananalia anaondoka hakuna swali make hakuna mwenye uwezi wa kumuuliza swali.

Ndio maana hata Wageni wa nje wanao tembelea Tanzania huwa hawafanyi Press yoyote make hakuna mtu wa kuwauliza maswali sana watangazaji wanaweza jikuta wanaishia kumsifia kwamba amependeza, mara alinunua wapi hio saa alio vaa.

Tuna wana habari weupe sana vichwani na now day asilimia 98 wamehamia kwenye mpira wa Yanga na Simba kituo cha Radio kutwa nzima ni Maaada za Yanga na Simba.
Kenya wametuzidi kila kitu
 
Kuna ile interview Makamba senior anaulizwa na muandishi wa habari kwanini anasema mambo yapo vizuri hali ya kuwa mambo sivyo kama anavyosema, aisee yule mzee alipandwa na jazba akaanza kutoa na matusi, mzee wa watu sukari ilitaka kupanda.
 
Siyo maada ni mada,maada ni yabisi,gesi na kimiminika,tuna waandishi wengi wanaweza muhoji huyo mtu wako vyema,tido mhando,Venus nyota, Charles Hilary,barwan mhuzya nk,tatizo waandishi unaowaona ni akina diva the bawse na WA michezo, pascal mayala hawezi kumuhoji huyo!?
Wapo wengi lakini mifumo yetu haiwaruhusu kumantain uwezo wao
 
Nimeitazama hii interview mwanzo hadi mwisho hakika waandishi wakenya wanao uhuru na wamebobea kweli kweli!

Na hakika wakenya wanaye Rais wanatakiwa tuu kumuelewa na yuko tayari kuwasililiza hakika Rutto ni humble president ever…kwakweli nimeenjoy kusikiliza na kutazama na nilitamani iendelee na hakika President Ruto alijiandaa kamili kabisa!

Wondefull interview ever …nimepende Mr president alivyokuwa ana kubali kama amekosea au kushindwa na amehitaji mjadala wa kitaifa na vijana waseme wataendesha nchi vipi?

Safi
 
Ukiweka Siasa Pembeni hatuna Watangazaji levo za kuwakaribia Wakenya,na tuna kwama sana kama nchi, kama umefuatilia mahojiano ya leo jioni ya Ruto na Watangazaji wa habari utagundua kwamba tuna kosa sana Watangazaji aina ile.

Watatangazi wetu ni weupe sana hata aina ya vipindi vyao tu ni kielelezo tosha, watangazaji wanawezea Maada za kijingajinga kama za kufumaniania, maada za Ndoa, maada za Yanga na Simba na Maada za kusifu na kuabudu(Uchawa)

Watangazaji kaliba ya Mauldi Kitenge ndio tegemeo kwa nchi, angakia utangazaji wake ulivyo wa kitoto. Mtu kama Zembwela ni Mtangazaji, mtu kama Mwijaku full comedian.

Hatuna watangazaji wala Waandishi wa Habari wa kuweza hata kumuhoji mkuu wa wilaya achilia mbali Mkuu w Mkoa, kwa Raisi ndio kabisaa,ndio maana Pres confrance za hii nchi huwa huwezi sikia swali linaulizwa sana sana wanapongeza.

Kiongozi anaitisha Press anaongea ananalia anaondoka hakuna swali make hakuna mwenye uwezi wa kumuuliza swali.

Ndio maana hata Wageni wa nje wanao tembelea Tanzania huwa hawafanyi Press yoyote make hakuna mtu wa kuwauliza maswali sana watangazaji wanaweza jikuta wanaishia kumsifia kwamba amependeza, mara alinunua wapi hio saa alio vaa.

Tuna wana habari weupe sana vichwani na now day asilimia 98 wamehamia kwenye mpira wa Yanga na Simba kituo cha Radio kutwa nzima ni Maaada za Yanga na Simba.
Imagine Hangaya anapigwa maswali kama yale...
 
Ukiweka Siasa Pembeni hatuna Watangazaji levo za kuwakaribia Wakenya,na tuna kwama sana kama nchi, kama umefuatilia mahojiano ya leo jioni ya Ruto na Watangazaji wa habari utagundua kwamba tuna kosa sana Watangazaji aina ile.

Watatangazi wetu ni weupe sana hata aina ya vipindi vyao tu ni kielelezo tosha, watangazaji wanawezea Maada za kijingajinga kama za kufumaniania, maada za Ndoa, maada za Yanga na Simba na Maada za kusifu na kuabudu(Uchawa)

Watangazaji kaliba ya Mauldi Kitenge ndio tegemeo kwa nchi, angakia utangazaji wake ulivyo wa kitoto. Mtu kama Zembwela ni Mtangazaji, mtu kama Mwijaku full comedian.

Hatuna watangazaji wala Waandishi wa Habari wa kuweza hata kumuhoji mkuu wa wilaya achilia mbali Mkuu w Mkoa, kwa Raisi ndio kabisaa,ndio maana Pres confrance za hii nchi huwa huwezi sikia swali linaulizwa sana sana wanapongeza.

Kiongozi anaitisha Press anaongea ananalia anaondoka hakuna swali make hakuna mwenye uwezi wa kumuuliza swali.

Ndio maana hata Wageni wa nje wanao tembelea Tanzania huwa hawafanyi Press yoyote make hakuna mtu wa kuwauliza maswali sana watangazaji wanaweza jikuta wanaishia kumsifia kwamba amependeza, mara alinunua wapi hio saa alio vaa.

Tuna wana habari weupe sana vichwani na now day asilimia 98 wamehamia kwenye mpira wa Yanga na Simba kituo cha Radio kutwa nzima ni Maaada za Yanga na Simba.
Ukiuliza maswali ya akili hukawii kuonekana wewe ni mpinzani, ona kilichomkuta Gerald Hando pale E FM.

Kingine ni ule Uchawa kwa kutegemea labda unaweza kumbukwa kwenye uteuzi wa wakuu wa wilaya. Hapa lazima upoteze professionalism Yako.
 
Tanzania kwanza tumekosa watu wenye upeo wa uandishi wa habari maana ni kama tumeamua media zote ziwe ni za mahoka na vituko. Hatuna hata media moja iliyokuwa serious na kureport mambo ya maana.

Wale waandishi kidogo wenye upeo, hawana uthubutu kiasi cha kufanya kila kitu kwa script inayopendeza utawala.

Tasnia ya habari ni mithili ya udaktari, ni tasnia ya wito. Ila kwa sasa Tz uandishi wa habari umekuwa kama jukwaa la watu kujionyesha ili wateuliwe. Hili limeleta athari ya waandishi kuacha kureport na kuishia kusifia.

Mwisho na muhimu zaidi ni viongozi wetu kuwa na power kubwa sana kiasi cha kujihisi ni miungu watu. Interview mithili ya Ruto leo kama ingekuwa kwetu Samia angechagua maswali ya kuulizwa na angeenda na majibu yake. Na ingekuwa marufuku kwenda nje ya script kwa waandishi.

Rejea interview ya Samia na Kikeke jinsi Samia alivyomkaripia Kikeke kama mtoto kisa kaulizwa swali asilokuwa na jibu nalo.

Tanzania tuna safari ndefu mno na Kenya daima watatuona vituko.
 
U
Ukiweka Siasa Pembeni hatuna Watangazaji levo za kuwakaribia Wakenya,na tuna kwama sana kama nchi, kama umefuatilia mahojiano ya leo jioni ya Ruto na Watangazaji wa habari utagundua kwamba tuna kosa sana Watangazaji aina ile.

Watatangazi wetu ni weupe sana hata aina ya vipindi vyao tu ni kielelezo tosha, watangazaji wanawezea Maada za kijingajinga kama za kufumaniania, maada za Ndoa, maada za Yanga na Simba na Maada za kusifu na kuabudu(Uchawa)

Watangazaji kaliba ya Mauldi Kitenge ndio tegemeo kwa nchi, angakia utangazaji wake ulivyo wa kitoto. Mtu kama Zembwela ni Mtangazaji, mtu kama Mwijaku full comedian.

Hatuna watangazaji wala Waandishi wa Habari wa kuweza hata kumuhoji mkuu wa wilaya achilia mbali Mkuu w Mkoa, kwa Raisi ndio kabisaa,ndio maana Pres confrance za hii nchi huwa huwezi sikia swali linaulizwa sana sana wanapongeza.

Kiongozi anaitisha Press anaongea ananalia anaondoka hakuna swali make hakuna mwenye uwezi wa kumuuliza swali.

Ndio maana hata Wageni wa nje wanao tembelea Tanzania huwa hawafanyi Press yoyote make hakuna mtu wa kuwauliza maswali sana watangazaji wanaweza jikuta wanaishia kumsifia kwamba amependeza, mara alinunua wapi hio saa alio vaa.

Tuna wana habari weupe sana vichwani na now day asilimia 98 wamehamia kwenye mpira wa Yanga na Simba kituo cha Radio kutwa nzima ni Maaada za Yanga na Simba.
Una zungumzia watangazaji au waandishi wa habari?
 
Wewe mbona unalia kwenye uzi wangu?

Unataka mabadiliko ila hutaki kuwa chanzo cha hayo mabadiliko. Kama unaona watanzania hawachukui hatua anza wewe kuchukua hiyo hatua. Kulialia won't change anything and nobody is here to save you. Change starts with you. Au hamia Kenya wameshakufanyia mabadiliko wewe ni kufika tu na kudandia bandwagon.
 
Lakini mbona kama hawakuwa na usawa? Walikuwa very biased, hawampi Mh Rais nafasi nzuri ya kujieleza. Yani walikuwa na majibu yao tayari. Hayakuwa mahojiano fair.
 
Back
Top Bottom