Fundi manyumba
JF-Expert Member
- Nov 25, 2018
- 3,799
- 8,063
Na hapo wanamuhoji rais aiseeee...Hatari na nusu mkuu,hao jamaa hawapaki mafuta mtu wako huru vibaya mno.
Wanauliza swali lolote na hawajali mood ya muulizwaji ,bongo hata 10% hatujawafikia
Na kingine mpaka rais akubali jua nae kajipanga