Fabolous
JF-Expert Member
- Sep 23, 2010
- 2,993
- 3,747
Mimi binasfi siwezi kusikiliza takatakaHizo kelele na comed waskilizaji ndy wanazitaka, kwa mtu asiependezwa nazo basi TBC ipo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi binasfi siwezi kusikiliza takatakaHizo kelele na comed waskilizaji ndy wanazitaka, kwa mtu asiependezwa nazo basi TBC ipo.
Nakuunga mkono hoja, ingawa Pascal Mayalla namwona kama ni miongoni mwao. Mnakumbuka wakati ule wa JPM alimuuliza swali similar na maswali ya hao waandishi wa habari waliokuwa wakimhoji Rais Ruto. Pascal alijieleza vizuri na hata alivyoliweka swali lake lilimpa credit. Hatuna waandishi wengi wa aina hii.Ukiweka Siasa Pembeni hatuna Watangazaji levo za kuwakaribia Wakenya, na tuna kwama sana kama nchi, kama umefuatilia mahojiano ya leo jioni ya Ruto na Watangazaji wa habari utagundua kwamba tuna kosa sana Watangazaji aina ile.
Watatangazi wetu ni weupe sana hata aina ya vipindi vyao tu ni kielelezo tosha, watangazaji wanawezea Maada za kijingajinga kama za kufumaniania, maada za Ndoa, maada za Yanga na Simba na Maada za kusifu na kuabudu(Uchawa)
Watangazaji kaliba ya Mauldi Kitenge ndio tegemeo kwa nchi, angakia utangazaji wake ulivyo wa kitoto. Mtu kama Zembwela ni Mtangazaji, mtu kama Mwijaku full comedian.
Hatuna watangazaji wala Waandishi wa Habari wa kuweza hata kumuhoji mkuu wa wilaya achilia mbali Mkuu w Mkoa, kwa Raisi ndio kabisaa,ndio maana Pres confrance za hii nchi huwa huwezi sikia swali linaulizwa sana sana wanapongeza.
Kiongozi anaitisha Press anaongea ananalia anaondoka hakuna swali make hakuna mwenye uwezi wa kumuuliza swali.
Ndio maana hata Wageni wa nje wanao tembelea Tanzania huwa hawafanyi Press yoyote make hakuna mtu wa kuwauliza maswali sana watangazaji wanaweza jikuta wanaishia kumsifia kwamba amependeza, mara alinunua wapi hio saa alio vaa.
Tuna wana habari weupe sana vichwani na now day asilimia 98 wamehamia kwenye mpira wa Yanga na Simba kituo cha Radio kutwa nzima ni Maaada za Yanga na Simba.
Kweli kabisa.Sisi huyu Pascal Mayalla kama hajapewa Bahasha anaweza kidogo.
Ha ha haaa, mbavu zangu, mkuu mbona una utani mbaya sana...ha ha haaa!Nakuunga mkono hoja, ingawa Pascal Mayalla wakati ule wa JPM alimuuliza swali similar na maswali ya hao waandishi wa habari waliokuwa wakimhoji Rais Ruto.
Samahani lakini mkuu kwani naamini unatania. Hata hivyo umenichekesha kweli kweli...ha ha haaa!Pascal alijieleza vizuri na hata alivyoliwrka swali lake lilimpa credit. Hatuna waandishi wengi wa aina hii.
Sio "Hacha".Hacha kumfedhehesha ndg. Pascal Mayalla
Tatizo ni elimu.Quality ya elimu yetu ni extremely poor pamoja na kwamba zipo nia za makusudi za kushusha IQ yetu.Ukiweka Siasa Pembeni hatuna Watangazaji levo za kuwakaribia Wakenya, na tuna kwama sana kama nchi, kama umefuatilia mahojiano ya leo jioni ya Ruto na Watangazaji wa habari utagundua kwamba tuna kosa sana Watangazaji aina ile.
Watatangazi wetu ni weupe sana hata aina ya vipindi vyao tu ni kielelezo tosha, watangazaji wanawezea Maada za kijingajinga kama za kufumaniania, maada za Ndoa, maada za Yanga na Simba na Maada za kusifu na kuabudu(Uchawa)
Watangazaji kaliba ya Mauldi Kitenge ndio tegemeo kwa nchi, angakia utangazaji wake ulivyo wa kitoto. Mtu kama Zembwela ni Mtangazaji, mtu kama Mwijaku full comedian.
Hatuna watangazaji wala Waandishi wa Habari wa kuweza hata kumuhoji mkuu wa wilaya achilia mbali Mkuu w Mkoa, kwa Raisi ndio kabisaa,ndio maana Pres confrance za hii nchi huwa huwezi sikia swali linaulizwa sana sana wanapongeza.
Kiongozi anaitisha Press anaongea ananalia anaondoka hakuna swali make hakuna mwenye uwezi wa kumuuliza swali.
Ndio maana hata Wageni wa nje wanao tembelea Tanzania huwa hawafanyi Press yoyote make hakuna mtu wa kuwauliza maswali sana watangazaji wanaweza jikuta wanaishia kumsifia kwamba amependeza, mara alinunua wapi hio saa alio vaa.
Tuna wana habari weupe sana vichwani na now day asilimia 98 wamehamia kwenye mpira wa Yanga na Simba kituo cha Radio kutwa nzima ni Maaada za Yanga na Simba.
Dah! Mkuu mbona umecheka hivyo? Please share.Ha ha haaa, mbavu zangu, mkuu mbona una utani mbaya sana...ha ha haaa!
Samahani lakini mkuu kwani naamini unatania. Hata hivyo umenichekesha kweli kweli...ha ha haaa!
Paschal sio quality ya wanahabari ambao ningependa kuona.Ku-report matukio sio journalism.I normally want to here what is behind the news and investigative journalism.Ha ha haaa, mbavu zangu, mkuu mbona una utani mbaya sana...ha ha haaa!
Samahani lakini mkuu kwani naamini unatania. Hata hivyo umenichekesha kweli kweli...ha ha haaa!
Hivi kitenge anaweza kumuhoji mtu kama dangote...siyo dangoteKiukweli, mtawaonea tu, kitu ambacho watanzania wengi tunaweza kubaki nacho mwanzo mwisho ni kabila tu ambalo mtu hawezi kubadili.
Inshu nyingi za nchi yetu zinaenda kwa upepo, so hata wanahabari wetu wapo wazuri na wana uwezo wa kuhoji vzr, ila wanajiuliza, what will be next after the press....
Wanahoji bila FACTs halafu unataka tuwaige?Ukiweka Siasa Pembeni hatuna Watangazaji levo za kuwakaribia Wakenya, na tuna kwama sana kama nchi, kama umefuatilia mahojiano ya leo jioni ya Ruto na Watangazaji wa habari utagundua kwamba tuna kosa sana Watangazaji aina ile.
Watatangazi wetu ni weupe sana hata aina ya vipindi vyao tu ni kielelezo tosha, watangazaji wanawezea Maada za kijingajinga kama za kufumaniania, maada za Ndoa, maada za Yanga na Simba na Maada za kusifu na kuabudu(Uchawa)
Watangazaji kaliba ya Mauldi Kitenge ndio tegemeo kwa nchi, angakia utangazaji wake ulivyo wa kitoto. Mtu kama Zembwela ni Mtangazaji, mtu kama Mwijaku full comedian.
Hatuna watangazaji wala Waandishi wa Habari wa kuweza hata kumuhoji mkuu wa wilaya achilia mbali Mkuu w Mkoa, kwa Raisi ndio kabisaa,ndio maana Pres confrance za hii nchi huwa huwezi sikia swali linaulizwa sana sana wanapongeza.
Kiongozi anaitisha Press anaongea ananalia anaondoka hakuna swali make hakuna mwenye uwezi wa kumuuliza swali.
Ndio maana hata Wageni wa nje wanao tembelea Tanzania huwa hawafanyi Press yoyote make hakuna mtu wa kuwauliza maswali sana watangazaji wanaweza jikuta wanaishia kumsifia kwamba amependeza, mara alinunua wapi hio saa alio vaa.
Tuna wana habari weupe sana vichwani na now day asilimia 98 wamehamia kwenye mpira wa Yanga na Simba kituo cha Radio kutwa nzima ni Maaada za Yanga na Simba.
wangekuwa bongo wale, nakuhakikishia wangeokobwa mbuga ya katavi hawana meno wa wamepigwa risasi ya kichwa, kama mamba na fisi wangekuwa hawajawatafuna.Ukiweka Siasa Pembeni hatuna Watangazaji levo za kuwakaribia Wakenya, na tuna kwama sana kama nchi, kama umefuatilia mahojiano ya leo jioni ya Ruto na Watangazaji wa habari utagundua kwamba tuna kosa sana Watangazaji aina ile.
Watatangazi wetu ni weupe sana hata aina ya vipindi vyao tu ni kielelezo tosha, watangazaji wanawezea Maada za kijingajinga kama za kufumaniania, maada za Ndoa, maada za Yanga na Simba na Maada za kusifu na kuabudu(Uchawa)
Watangazaji kaliba ya Mauldi Kitenge ndio tegemeo kwa nchi, angakia utangazaji wake ulivyo wa kitoto. Mtu kama Zembwela ni Mtangazaji, mtu kama Mwijaku full comedian.
Hatuna watangazaji wala Waandishi wa Habari wa kuweza hata kumuhoji mkuu wa wilaya achilia mbali Mkuu w Mkoa, kwa Raisi ndio kabisaa,ndio maana Pres confrance za hii nchi huwa huwezi sikia swali linaulizwa sana sana wanapongeza.
Kiongozi anaitisha Press anaongea ananalia anaondoka hakuna swali make hakuna mwenye uwezi wa kumuuliza swali.
Ndio maana hata Wageni wa nje wanao tembelea Tanzania huwa hawafanyi Press yoyote make hakuna mtu wa kuwauliza maswali sana watangazaji wanaweza jikuta wanaishia kumsifia kwamba amependeza, mara alinunua wapi hio saa alio vaa.
Tuna wana habari weupe sana vichwani na now day asilimia 98 wamehamia kwenye mpira wa Yanga na Simba kituo cha Radio kutwa nzima ni Maaada za Yanga na Simba.
Wapo waandishi wa habari wazuri na makini sana hata Pascal Mayalla mmoja wapo ila ndio hivyo Sasa, mazingira ya kisiasa ya nchi yetu ni pasua kichwa.Sisi huyu Pascal Mayalla kama hajapewa Bahasha anaweza kidogo.
Wanaogopa kuliwa na Fisi wa Katavi.Wapo waandishi wa habari wazuri na makini sana hata Pascal Mayalla mmoja wapo ila ndio hivyo Sasa, mazingira ya kisiasa ya nchi yetu ni pasua kichwa.
Umefunga mjadala.Kuna media captured Tanzania,kuanzia kwenye sheria mpaka kwa wamiliki wa vyombo vya habari,hivyo sio jambo rahisi kupata kitu bora kwenye mfumo ulio oza.
Unataka awe chanzo cha mabadiliko ili mumpoteze??? Mifano ya mliowapoteza hamuioni kama inatosha???
Mimi binasfi siwezi kusikiliza takataka