Watangazaji waliokuwa wanamuhoji Ruto, Tanzania hatutowapata wa kiwango kile daima

Watangazaji waliokuwa wanamuhoji Ruto, Tanzania hatutowapata wa kiwango kile daima

Ukiweka Siasa Pembeni hatuna Watangazaji levo za kuwakaribia Wakenya, na tuna kwama sana kama nchi, kama umefuatilia mahojiano ya leo jioni ya Ruto na Watangazaji wa habari utagundua kwamba tuna kosa sana Watangazaji aina ile.

Watatangazi wetu ni weupe sana hata aina ya vipindi vyao tu ni kielelezo tosha, watangazaji wanawezea Maada za kijingajinga kama za kufumaniania, maada za Ndoa, maada za Yanga na Simba na Maada za kusifu na kuabudu(Uchawa)

Watangazaji kaliba ya Mauldi Kitenge ndio tegemeo kwa nchi, angakia utangazaji wake ulivyo wa kitoto. Mtu kama Zembwela ni Mtangazaji, mtu kama Mwijaku full comedian.

Hatuna watangazaji wala Waandishi wa Habari wa kuweza hata kumuhoji mkuu wa wilaya achilia mbali Mkuu w Mkoa, kwa Raisi ndio kabisaa,ndio maana Pres confrance za hii nchi huwa huwezi sikia swali linaulizwa sana sana wanapongeza.

Kiongozi anaitisha Press anaongea ananalia anaondoka hakuna swali make hakuna mwenye uwezi wa kumuuliza swali.

Ndio maana hata Wageni wa nje wanao tembelea Tanzania huwa hawafanyi Press yoyote make hakuna mtu wa kuwauliza maswali sana watangazaji wanaweza jikuta wanaishia kumsifia kwamba amependeza, mara alinunua wapi hio saa alio vaa.

Tuna wana habari weupe sana vichwani na now day asilimia 98 wamehamia kwenye mpira wa Yanga na Simba kituo cha Radio kutwa nzima ni Maaada za Yanga na Simba.

Nakuunga mkono hoja, ingawa Pascal Mayalla namwona kama ni miongoni mwao. Mnakumbuka wakati ule wa JPM alimuuliza swali similar na maswali ya hao waandishi wa habari waliokuwa wakimhoji Rais Ruto. Pascal alijieleza vizuri na hata alivyoliweka swali lake lilimpa credit. Hatuna waandishi wengi wa aina hii.
 
Nakuunga mkono hoja, ingawa Pascal Mayalla wakati ule wa JPM alimuuliza swali similar na maswali ya hao waandishi wa habari waliokuwa wakimhoji Rais Ruto.
Ha ha haaa, mbavu zangu, mkuu mbona una utani mbaya sana...ha ha haaa!
Pascal alijieleza vizuri na hata alivyoliwrka swali lake lilimpa credit. Hatuna waandishi wengi wa aina hii.
Samahani lakini mkuu kwani naamini unatania. Hata hivyo umenichekesha kweli kweli...ha ha haaa!
 
Ukiweka Siasa Pembeni hatuna Watangazaji levo za kuwakaribia Wakenya, na tuna kwama sana kama nchi, kama umefuatilia mahojiano ya leo jioni ya Ruto na Watangazaji wa habari utagundua kwamba tuna kosa sana Watangazaji aina ile.

Watatangazi wetu ni weupe sana hata aina ya vipindi vyao tu ni kielelezo tosha, watangazaji wanawezea Maada za kijingajinga kama za kufumaniania, maada za Ndoa, maada za Yanga na Simba na Maada za kusifu na kuabudu(Uchawa)

Watangazaji kaliba ya Mauldi Kitenge ndio tegemeo kwa nchi, angakia utangazaji wake ulivyo wa kitoto. Mtu kama Zembwela ni Mtangazaji, mtu kama Mwijaku full comedian.

Hatuna watangazaji wala Waandishi wa Habari wa kuweza hata kumuhoji mkuu wa wilaya achilia mbali Mkuu w Mkoa, kwa Raisi ndio kabisaa,ndio maana Pres confrance za hii nchi huwa huwezi sikia swali linaulizwa sana sana wanapongeza.

Kiongozi anaitisha Press anaongea ananalia anaondoka hakuna swali make hakuna mwenye uwezi wa kumuuliza swali.

Ndio maana hata Wageni wa nje wanao tembelea Tanzania huwa hawafanyi Press yoyote make hakuna mtu wa kuwauliza maswali sana watangazaji wanaweza jikuta wanaishia kumsifia kwamba amependeza, mara alinunua wapi hio saa alio vaa.

Tuna wana habari weupe sana vichwani na now day asilimia 98 wamehamia kwenye mpira wa Yanga na Simba kituo cha Radio kutwa nzima ni Maaada za Yanga na Simba.

Tatizo ni elimu.Quality ya elimu yetu ni extremely poor pamoja na kwamba zipo nia za makusudi za kushusha IQ yetu.
 
Ha ha haaa, mbavu zangu, mkuu mbona una utani mbaya sana...ha ha haaa!

Samahani lakini mkuu kwani naamini unatania. Hata hivyo umenichekesha kweli kweli...ha ha haaa!
Dah! Mkuu mbona umecheka hivyo? Please share.
 
Ha ha haaa, mbavu zangu, mkuu mbona una utani mbaya sana...ha ha haaa!

Samahani lakini mkuu kwani naamini unatania. Hata hivyo umenichekesha kweli kweli...ha ha haaa!
Paschal sio quality ya wanahabari ambao ningependa kuona.Ku-report matukio sio journalism.I normally want to here what is behind the news and investigative journalism.
 
Nitafungua media one day I am sure no politician would like it, na itakuwa mahakamani kila mwezi ikiishtaki mamlaka kuifungia kinyume na sheria
 
Kiukweli, mtawaonea tu, kitu ambacho watanzania wengi tunaweza kubaki nacho mwanzo mwisho ni kabila tu ambalo mtu hawezi kubadili.
Inshu nyingi za nchi yetu zinaenda kwa upepo, so hata wanahabari wetu wapo wazuri na wana uwezo wa kuhoji vzr, ila wanajiuliza, what will be next after the press....
Hivi kitenge anaweza kumuhoji mtu kama dangote...siyo dangote
Diamond yaani aliko dangote
Sana sana atamuliza tu simu gani anatumia na thamani yake ikoje 😄

Ova
 
Ukiweka Siasa Pembeni hatuna Watangazaji levo za kuwakaribia Wakenya, na tuna kwama sana kama nchi, kama umefuatilia mahojiano ya leo jioni ya Ruto na Watangazaji wa habari utagundua kwamba tuna kosa sana Watangazaji aina ile.

Watatangazi wetu ni weupe sana hata aina ya vipindi vyao tu ni kielelezo tosha, watangazaji wanawezea Maada za kijingajinga kama za kufumaniania, maada za Ndoa, maada za Yanga na Simba na Maada za kusifu na kuabudu(Uchawa)

Watangazaji kaliba ya Mauldi Kitenge ndio tegemeo kwa nchi, angakia utangazaji wake ulivyo wa kitoto. Mtu kama Zembwela ni Mtangazaji, mtu kama Mwijaku full comedian.

Hatuna watangazaji wala Waandishi wa Habari wa kuweza hata kumuhoji mkuu wa wilaya achilia mbali Mkuu w Mkoa, kwa Raisi ndio kabisaa,ndio maana Pres confrance za hii nchi huwa huwezi sikia swali linaulizwa sana sana wanapongeza.

Kiongozi anaitisha Press anaongea ananalia anaondoka hakuna swali make hakuna mwenye uwezi wa kumuuliza swali.

Ndio maana hata Wageni wa nje wanao tembelea Tanzania huwa hawafanyi Press yoyote make hakuna mtu wa kuwauliza maswali sana watangazaji wanaweza jikuta wanaishia kumsifia kwamba amependeza, mara alinunua wapi hio saa alio vaa.

Tuna wana habari weupe sana vichwani na now day asilimia 98 wamehamia kwenye mpira wa Yanga na Simba kituo cha Radio kutwa nzima ni Maaada za Yanga na Simba.

Wanahoji bila FACTs halafu unataka tuwaige?
 
Ukiweka Siasa Pembeni hatuna Watangazaji levo za kuwakaribia Wakenya, na tuna kwama sana kama nchi, kama umefuatilia mahojiano ya leo jioni ya Ruto na Watangazaji wa habari utagundua kwamba tuna kosa sana Watangazaji aina ile.

Watatangazi wetu ni weupe sana hata aina ya vipindi vyao tu ni kielelezo tosha, watangazaji wanawezea Maada za kijingajinga kama za kufumaniania, maada za Ndoa, maada za Yanga na Simba na Maada za kusifu na kuabudu(Uchawa)

Watangazaji kaliba ya Mauldi Kitenge ndio tegemeo kwa nchi, angakia utangazaji wake ulivyo wa kitoto. Mtu kama Zembwela ni Mtangazaji, mtu kama Mwijaku full comedian.

Hatuna watangazaji wala Waandishi wa Habari wa kuweza hata kumuhoji mkuu wa wilaya achilia mbali Mkuu w Mkoa, kwa Raisi ndio kabisaa,ndio maana Pres confrance za hii nchi huwa huwezi sikia swali linaulizwa sana sana wanapongeza.

Kiongozi anaitisha Press anaongea ananalia anaondoka hakuna swali make hakuna mwenye uwezi wa kumuuliza swali.

Ndio maana hata Wageni wa nje wanao tembelea Tanzania huwa hawafanyi Press yoyote make hakuna mtu wa kuwauliza maswali sana watangazaji wanaweza jikuta wanaishia kumsifia kwamba amependeza, mara alinunua wapi hio saa alio vaa.

Tuna wana habari weupe sana vichwani na now day asilimia 98 wamehamia kwenye mpira wa Yanga na Simba kituo cha Radio kutwa nzima ni Maaada za Yanga na Simba.

wangekuwa bongo wale, nakuhakikishia wangeokobwa mbuga ya katavi hawana meno wa wamepigwa risasi ya kichwa, kama mamba na fisi wangekuwa hawajawatafuna.
 
Kabra yakutukana na kuzalau watangazaji wa Tz anza kwanza kwa kutukana na kuzalau watumiaji wa ivyo vyombo wananchi
90% ya wananchi huo ujinga ndo wanapenda na watangazaji wanafanya kile wananchi wanapenda

Mimi sio mtu wa tv na kufuatilia mambo kivile ila nakumbuka kuna kipind. Itv ilikua na watangazaji wa maana sana na walikua wanahoji vtu vya maana na ata star tv nakumbuka sjui waliishia wap au walibadilika kuendana na matakwa ya watazamaji
 
Unataka awe chanzo cha mabadiliko ili mumpoteze??? Mifano ya mliowapoteza hamuioni kama inatosha???

Kwahiyo unataka wengine wapotee kwaajili yako? Yani wewe uwe keyboard warrior tu wengine waingie front sio?
 
Ningetamani kuona wanafanya mahojiano kwa kutumia lugha ya malkia, mwandishi wa habari inatakiwa hizi lugha mbili( English na French) ajue mojawapo katika kuongea na kuandika. Kenya wametuacha mbali kwa hilo.
 
Back
Top Bottom