sifa za kuwa mwandishi wa habari lazima uwe ulifeli kidato cha nne, unategemea utapata mwandishi wa habari au comedian, angali hatuna hata chombo cha habari chenye tija, kwa nchi na taifa letu ni makelele ya mpira kutwa kuchwa. hakuna tafiti, uchunguzi na upuuzi.
sijui nani ameturoga dah