makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 31,583
- 92,670
Kispanyola j inatamkwa h.. Sasa kwa brazil sijui km kireno na kispain vinafanana........wabrazil wao herufi "J" humaanisha "H"..mfano yule mchezaji nafikiri alikuwa Manchester United..Jesus..wao wanatamka Hesus!
Hujaelewa nini kinazungumzwa hapa. Ushasasikia watangazaji wa Kiingereza wakitamka Jose Mourinho,Juan Mata au Thierry Henry? Wanatamka kwa jinsi inavyotamkwa kwa lugha za wahusika. Na hapa nazungumzia watangazaji si watu wa mtaani.Dingi hayo majina si yetu, hata wewe unayajua machache tena kwa kuunga unga. Jina la kijerumani, mtangazaji kijerumani hajui. Wao kwenye v wanatamka f, w wanatamka v.
Matamshi ya lugha yanaathiriwa na lahaja (variant) pia lafudhi ( accent).
Wamarekani na waingereza wote wanatumia kiingereza lakini kuna baadhi ya maneno wanatamka tofauti.
"Vihi'nadam"
Tevin Kembo, Glenn Kembo...Damn! Sol "Kembo"
Hao wa kwenye hivyo vipindi vya Muziki ndio tatizo kubwa sanaaa, yaani wengi wanapenda Umarekani alafu Umarekani unawakataaa. Wengi ni. Vilaza ambao wanajifanya wanajua kila kitu wakati hamna Kitu!Kuna matako mmoja yuko Generation FM alikuwa anasema "boss wa cash money butt man amekutana club na Lil Wayne"
Hapo kwenye butt man alikua anamaanisha Birdman.
UNGEMSIKIA MTANGAZAJI ALIYESOMA NENO DO (doh) OR (o) DIE (diye) ALIYATAMKA KWA KISWAHILI KAMA YALIVYOANDIKWA.Unakuta mtangazaji Kwa kujiamini kabisa anatamka BALE(Kiswahili) badala ya beil. Au Lesesta(Leicester) badala ya kusema leista.
Leo nimemsikia mtangazaji gwiji wa michezo anatamka Brighton HoVE Kiswahili hove. Hii timu inaitwa Brighton & Hove(inatamkwa hov(u). Hii timu ipo mji unaitwa Brighton and Hove City mji uliopatikana Kwa kuunganisha mji wa Brighton na Hove.
mkuu usichanganye mafaili yaani mtangazaji asiwe na general knowledge of the world ? sasa kutakuwa na tofauti gani na any layman kuwa mtangazaji? huko chuo kozi aluzofundishwa zina maana gani? elimu yake ya sekondari A level ya historia ,geografia na lugha inamsaidia nini?Bado narudia,sijaona kosa kubwa la mtangazaji wa kiswahili,nilichogundua tunataka mswahili atamke kwa lafudhi ya nchi husika,hilo haliwezekani kwa sababu hata mzungu (kulingana na taifa lake)hawezi tamka maneno ya kiswahili kwa lafudhi ya kiswahili lazima atagongagonga lafudhi,ndio maana kuna mataifa j wanaita h,eg mtangazaji mmoja aliyekuwa redio one alikuwa anaitwa josef ndamalya,kwenye taarifa ya habari anajitambulisha kama josef ndamalya,,kwenye mipasho utasikia anajiita hozee ndamalya
Unakomaa huku hata huelewi nini kinazungumzwa. Sijazungumzia lafudhi aka accent hapa nazungumzia makosa ya matamshi kabisa mfana Leicester inatamkwa Lesta sasa mtu anatamka lesesta,hapa sio lafudhi ni kukosea kabisa.Bado narudia,sijaona kosa kubwa la mtangazaji wa kiswahili,nilichogundua tunataka mswahili atamke kwa lafudhi ya nchi husika,hilo haliwezekani kwa sababu hata mzungu (kulingana na taifa lake)hawezi tamka maneno ya kiswahili kwa lafudhi ya kiswahili lazima atagongagonga lafudhi,ndio maana kuna mataifa j wanaita h,eg mtangazaji mmoja aliyekuwa redio one alikuwa anaitwa josef ndamalya,kwenye taarifa ya habari anajitambulisha kama josef ndamalya,,kwenye mipasho utasikia anajiita hozee ndamalya
Unakuta mtangazaji Kwa kujiamini kabisa anatamka BALE(Kiswahili) badala ya beil. Au Lesesta(Leicester) badala ya kusema leista.
Leo nimemsikia mtangazaji gwiji wa michezo anatamka Brighton HoVE Kiswahili hove. Hii timu inaitwa Brighton & Hove(inatamkwa hov(u). Hii timu ipo mji unaitwa Brighton and Hove City mji uliopatikana Kwa kuunganisha mji wa Brighton na Hove.
Jina lako lenyewe linatamkwaje ni Rondo au Rirondo au Rorondo?[emoji13][emoji13]
Unakuta mtangazaji Kwa kujiamini kabisa anatamka BALE(Kiswahili) badala ya beil. Au Lesesta(Leicester) badala ya kusema leista.
Leo nimemsikia mtangazaji gwiji wa michezo anatamka Brighton HoVE Kiswahili hove. Hii timu inaitwa Brighton & Hove(inatamkwa hov(u). Hii timu ipo mji unaitwa Brighton and Hove City mji uliopatikana Kwa kuunganisha mji wa Brighton na Hove.
Hii shida kubwa hasa kwa watangazaji wa sport! Tatzo Ni kua huwa hawajiandai kabla ya kwenda studio!!Unakuta mtangazaji Kwa kujiamini kabisa anatamka BALE(Kiswahili) badala ya beil. Au Lesesta(Leicester) badala ya kusema leista.
Leo nimemsikia mtangazaji gwiji wa michezo anatamka Brighton HoVE Kiswahili hove. Hii timu inaitwa Brighton & Hove(inatamkwa hov(u). Hii timu ipo mji unaitwa Brighton and Hove City mji uliopatikana Kwa kuunganisha mji wa Brighton na Hove.
Hahahahahahaha! Sasa omba atamke majina Kama Shropshire, Shrewsbury or Wyoming!!kuna mtangazaji mmoja alikuwa anatangaza ishu za uingereza si akataja Cheshire? akaitamka kiswahili yaani "Cheshire"