Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
Kwa kweli kama unajifunza lugha ya watu au hata majina ni lazima uyatamke kama yanavyotamkwa na wenyewe (sio kwa wazungu tu)
Sasa unashuka airport halafu unataka kwenda mji uliokuwa unajua linatamkwa hivyo nakuapia dereva hatakuelewa na itabidi akupe kalamu uandike [emoji3][emoji3]
Sasa unashuka airport halafu unataka kwenda mji uliokuwa unajua linatamkwa hivyo nakuapia dereva hatakuelewa na itabidi akupe kalamu uandike [emoji3][emoji3]