Watani acheni mzaha, deni la ATCL bilioni 472.8B??? Mbona kama mlikurupuka kwenye hii biashara

Hapo utaelezea mpaka uchoke. Watu washa kariri ukiiweka 100 upate 140.
Achana nao, uta jichosha bure.
 
Kabisa Mkuu pamoja na kuwa alipora uchaguzi lakini kanifurahisha sana. Sasa ngoja tuone kama Samia naye atauza ndege za ATCL.
Duh! Huyu kiongozi ni jasiri sana.
 
Sasa wanatumia 787 for domestic routes na zingine wamepark hawa hawatawaii break even in the near future
Are you sure kwa vitu unavyosema

Tuna 787 mbili TCG na TCJ ..moja imeenda mumbai nyingne imeenda guanzhou..we are still imrpoving our international network pole pole ..as covid ime impact industry yote
 
Kabisa Mkuu pamoja na kuwa alipora uchaguzi lakini kanifurahisha sana. Sasa ngoja tuone kama Samia naye atauza ndege za ATCL.
Only a backward person will think kama wewe ..why selling ??..najua zimepiga loss ..so ? other airlines duniani over 90 percent make loss. .kikubwa ATC ina management nzuri ya kutumia hizo equipment .? hilo ndo swala la kujiuliza...

African continet is still backward interms of Air network connectivity...price ya kwenda Congo via Addis ni sawa labda na ya kwenda istanbul...

We still need connections and better prices ..hivyo lazima ku invest kwenye airline business ...shida inakuja kwenye management ..tukiwa na managment nzuri basi shirika litaweza hata ku break even.

Hata hvyo airline business sio a profitable business ( i mean direct profits) yenyewe ina impact kwenye uchumi wa nchi na hicho ndo tunachotarajia kuona...


ATC inapitia changamoto za hapa na pale pamoja na covid..kufanya usafiri wa anga kupungua bado inapambana ..kiufupi managment waendelee kuboresha huduma na wawe innovative

btw ndege zote za atc zinatembea as of september .ndege zote 9 ..sitegemei nione porojo eti ndege haitembei while zinatembea

Nimekuweka proove hapo chini
 
Ni mpuuzi tu ndiye anayeweza kuandika upumbavu kama huu. Biashara ya ndege waachiwe watu binafsi na Serikali ijitoe kabisa huko.
ATCL wana deni la 473 billions ambalo wanashindwa kulipa na ndege zikianza kwenda nje zitaishia kukamatwa. Ni ujinga mkubwa wa nchi maskini kutumia trillions ya pesa za walipa kodi kuendesha shirika linaloingiza hasara kila mwaka.
 
MY TAKE;
Prof please ask maullana CEO geza ulale what it means to being progmative(sp).
Beacuse when you narrate what kwa mtu mzuri entail in a particular issue, zezetas naturally wali na chakula mzuri will start playing into there minds.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…