[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Wa mkoani nipo hapa, mara ya kwanza kufika dar mm nilijua ni mji wa maduu watupu coz wengi ni weupe na wameva nguo za kubana makalio na supu. Nilipofka Uswahilini lahaula nikakuta vitoto vinakimbiza wababa na visu
Ww kijana wa dar poda imeisha kapake nyingine[emoji38] [emoji38]watu wa mikoani ukipishana nae hujui kama umepishana na mtu au mbuzi
hiyo harufu wote wananuka
Ushakura chips na mayonaizi kijana wa darwatu wa mikoani wanakula vyakula vigumu mpaka wakienda kunya wanabeba na vilainishi ili wasichanike
watu wa mikoani hamjui kuandikaUshakura chips na mayonaizi kijana wa dar
daah ni kweli mkuu, walaini saana kama scorpion vilewanaume wa dar wakienda kwenye kwenye migahawa mpaka Samaki wanaomba wasaidiwe kutolewa miba. ni aibu sana
Kwa mtu aliyetoka mkoani akaja dar naye atakuwa wa mkoani au wa dar?[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]