Watani wa Jadi: Wanaume wa Dar vs wa Mikoani

Watani wa Jadi: Wanaume wa Dar vs wa Mikoani

Hahahahhahaaa napenda ssna matani na huwa sikasiriki nikijua ni matani na ikiwa natania na na mtu ninayefahamu kuwa huwa tunataniana. Laah sivyo inakuwa kinyume chake.... hivo hapa najiandaa kucheka na vijembe vya pande zote.

Back to the topic: kuna mwanaume mmoja wa mkononi ambaye aliketwa Dar na fuso iliyopeleka mzigo mkoani wakati inarudi ndo akapata lifti ya kuja Dar (hii alinisimulia mwenyewe ). Ikiwa ndo safari yake ya kwanza kuja dar na yeye mkoa aliokuwa akiishi una milima na mabonde sasa akawa na taswira kichwani kuwa Dar yote itakuwa ni tambarare. Hehehehehehehehee fuso iliingia Dar usiku na alifika kwa wenyewe wake usiku hivo hakuona vizuri mazingira ya mtaani hapo na nyumba aliyofikia ukizingatia na ugeni. Alifikia maeneo ya kimara king'ong'o ambayo kuna miinuko na miteremko kama milima na mabonde ya mkoani. Ile kuamka asubuhi akashangaa bwaah!!! Mjomba... Kumbe dar kama nyumbani tuu hehehehehehehehe. (Siku hizi keshakuwa mwanaume wa Dar) simooooo.

Kasie Matata.
 
Uchocheeezi kaka utapigwa mawe
Nshawachonganisha [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Watu Wa dar mnavaa nguo za dada zenu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
1df37f312aaee5b76657a99fb9d98ed1.jpg
downloadfile-4.jpg
 
Wanaume wa dar wanapenda kujichubua, wanatengeneza kucha kama dada zao, wapo nyoronyoro sana, wamekuwa wakilalamikiwa sana kuwa hawawezi kula papuchi vizuri, wanapenda kula chips kavu na miguu ya kuku wale wa mwezi mmoja
 
Nshawachonganisha [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Msimamo wako ni upi..
Ww ni kijana wa dar au mkoani[emoji2] [emoji2] [emoji85] [emoji85] [emoji95] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Wanaume wa dar wanapenda kujichubua, wanatengeneza kucha kama dada zao, wapo nyoronyoro sana, wamekuwa wakilalamikiwa sana kuwa hawawezi kula papuchi vizuri, wanapenda kula chips kavu na miguu ya kuku wale wa mwezi mmoja
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
wa mikoani

1. hawajui kuvaa
2. washamba, wanaigana sana na kufata mkumbo, mfano akiona mwenzie kaoa na yeye anataka aoe kumbe kiuhalisia bado hawezi kummudu mwanamke kulingana na kipato.
3. wakija dar wanajua posta, fery, na mliman city tu, usipowapeleka hayo maeneo wanaona kama hawajafika dsm
4. nguvu nyingii akili nukta
5. wanapigwa sana vibuti na madem, anaweza kumtumia pesa mwanamke ambaye hajawahi kumuona
6. ndio wanaoongoza kubwagwa na madem zao
7.wabishi sana, hata kama kitu cha kweli atataka league
8. hawazipendi timu zao, ajabu wanashabikia timu za yanga na simba ambazo zipo dar
9. wakija dar ujuaji mwingi, wakienda shopping wanapigwa sana bei
10.wakigombana na wake/madem zao hukimbilia kujinyonga.
11. wengi ndoto zao ni kufika dar
12. siku wanakuja dar, hawalali huo usiku huo wanapata usingizi wa mang'amng'am ili gar isiwaache
13. kuoga ni hiari
 
wa mikoani

1. hawajui kuvaa
2. washamba, wanaigana sana na kufata mkumbo, mfano akiona mwenzie kaoa na yeye anataka aoe kumbe kiuhalisia bado hawezi kummudu mwanamke kulingana na kipato.
3. wakija dar wanajua posta, fery, na mliman city tu, usipowapeleka hayo maeneo wanaona kama hawajafika dsm
4. nguvu nyingii akili nukta
5. wanapigwa sana vibuti na madem, anaweza kumtumia pesa mwanamke ambaye hajawahi kumuona
6. ndio wanaoongoza kubwagwa na madem zao
7.wabishi sana, hata kama kitu cha kweli atataka league
8. hawazipendi timu zao, ajabu wanashabikia timu za yanga na simba ambazo zipo dar
9. wakija dar ujuaji mwingi, wakienda shopping wanapigwa sana bei
10.wakigombana na wake/madem zao hukimbilia kujinyonga.
11. wengi ndoto zao ni kufika dar
12. siku wanakuja dar, hawalali huo usiku huo wanapata usingizi wa mang'amng'am ili gar isiwaache
13. kuoga ni hiari
Nina uhakika huwez tafuna mse wa mchikichi au kutafuna ngazi[emoji13] [emoji13] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Back
Top Bottom