Watani wa Jadi: Wanaume wa Dar vs wa Mikoani

Hilo siyo swali mkuu, we ukimuona mtu anajisema yeye mwanaume kisa ananuka kama beberu jua ana govi limeona machweo, mawio, masika, kiangazi, mchana na usiku
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] asanteeee castr
 
Halafu namwambia huo mswaki bure anasema eti huku maisha magumu.

Nikaona nilichomwambia na majibu haviendani, nikakumbuka kuna machizi ya mikoani yamekamatwa wiki iliyopita nikajua chizi huyu katoroka.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hurumia mbavu zangu jaman
 
Ukitaka usimsahau mwanaume wa dar anyeshewe na mvua vipodozi viondoke

Unawrza sema ana rangi nyingi kama dawa za mafua zile za chenga chenga[emoji12] [emoji12]
Haha wanapaka lotioni ya makopo makubwa kinoma na hamna sehemu iliyoandikwa FOR MEN wao wanapaka tu mwishowe anashangaa amekuwa mlainii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…