Watani wa Jadi: Wanaume wa Dar vs wa Mikoani

Kimtindo mshana anajifanya yuko fair anauma na kupuliza hahahahaha halafu itakua anatafuta pa kushusha gallery yake
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Sisi ndiyo wanaume wa Dar sisi ni wabaya.

Wajinga wajinga nyie wazamiaji Magufuli kabana kidogo akasema hadi mwezi wa saba urudi kijijini kwenu ukachimbe chumvi umeshindwa kumaintain umehamishwa mji kibabe na jamaa wa kolomije.

Halafu mmefika huko mnajifanya mnakandia wanaume wa Dar shenzi
 
Sasa eti mwanaume anatokea Tanga, kweli? Na wewe unajihesabu mwanaume?
Mjinga sana unabebwa na mkeo kwenda kuoga unaogeshwa.

Kuna tofauti gani masaji ninayofanyiwa hapo Miriam Magic Hands na unayofanyiwa na mkeo? Yea tofauti ipo, wewe ukimaliza hapo unabebwa unaenda kubembelelzwa ulale
 
Kuna wenzenu shule ndio imewaleta mjini hapa wakazamia, sasa hivi wanaambiwa warudi makao makuu wanalialia utafikiri huko mkoani ni jehanamu, unafanya mchezo na Dar wewe!
 
Ngj nikumbuke pale wanapenda kuleta kanga moko ile barabara ya kwenda sjui wapi wanajeshi wanafanyiaga mazoez mnadani kwa mbeleee nikija lazma Nikutafute tuende miono
 
Kuna wenzenu shule ndio imewaleta mjini hapa wakazamia, sasa hivi wanaambiwa warudi makao makuu wanalialia utafikiri huko mkoani ni jehanamu, unafanya mchezo na Dar wewe!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Mm nisiyekunywa sasa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…