Asante Kwanza kwenye sekta ya ulevi bure kabisa wanajishaua kunywa savvana yani hapo tu wanaponichosha sasa Kama wanakunywa savvana watapata wapi nguvu za kupiga game mm mwenyewe mwanamke wako mkoani napiga nyagi Nikipata mwanaume wa Dar nahisi nitamuacha siku mojaNdio maana nakupenda..
Huyo dogo katokea Tanga
[emoji23][emoji23][emoji23]
Cheki nguo zetu za heshima ss wa mkoani[emoji123] [emoji123] [emoji125] [emoji125]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Asante Kwanza kwenye sekta ya ulevi bure kabisa wanajishaua kunywa savvana yani hapo tu wanaponichosha sasa Kama wanakunywa savvana watapata wapi nguvu za kupiga game mm mwenyewe mwanamke wako mkoani napiga nyagi Nikipata mwanaume wa Dar nahisi nitamuacha siku moja
Msata pale Kwa manka au kama unaenda kambi ya jeshi wapi tukumbushaneMsata kilingeni
Kuna mwanaume wa Dar anataka kunioa Ngoja niendelee kusoma huu uzi mwanzo mwisho kabla sjamkubalia
Du Mshana jr wamekuchokoza nini?
Kuna wenzenu shule ndio imewaleta mjini hapa wakazamia, sasa hivi wanaambiwa warudi makao makuu wanalialia utafikiri huko mkoani ni jehanamu, unafanya mchezo na Dar wewe!Chagua upande kisha weka hoja makini, sifa, wema, ubaya, uzuri ujanja, mahusiano, mitazamo na maono ya kila upande..
Jitahidi usiweke kejeli za kuudhi sana.. Matusi na dhihaka zinazokera. Tuepuke ishu za vibamia [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] na kina Mario...
Kina sugar daddy na sugar mummy. Wa mikoani mupo?
Twende kazi..
Ngj nikumbuke pale wanapenda kuleta kanga moko ile barabara ya kwenda sjui wapi wanajeshi wanafanyiaga mazoez mnadani kwa mbeleee nikija lazma Nikutafute tuende mionoThithemi
Mm nisiyekunywa sasaAsante Kwanza kwenye sekta ya ulevi bure kabisa wanajishaua kunywa savvana yani hapo tu wanaponichosha sasa Kama wanakunywa savvana watapata wapi nguvu za kupiga game mm mwenyewe mwanamke wako mkoani napiga nyagi Nikipata mwanaume wa Dar nahisi nitamuacha siku moja