Simba anakutana na Raja huku Yanga atachuana na Mamba wa DRC Tout Puissant Mazembe. Unafikiri kati ya wekundu wa msimbazi na wananchi wapi wana uhakika wa ushindi?
Yanga ushindi lazima, maana tunao uwezo huo wa kushinda. Huku watani Simba wakijiandaa kuangukia pua au kidevu kwa vile hawana team bali wana wauza yebo yebo tu pale Msimbazi.
Yanga ushindi lazima, maana tunao uwezo huo wa kushinda. Huku watani Simba wakijiandaa kuangukia pua au kidevu kwa vile hawana team bali wana wauza yebo yebo tu pale Msimbazi.