Kaory
JF-Expert Member
- Jun 7, 2022
- 537
- 1,114
๐๐๐๐๐ msiba wa baba yangu mtani mmoja alinifuata akaniambia mimi ndio baba yako kuanzia leo, ilibidi nicheke tuna mrithi apatikane leoleo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
๐๐๐๐๐ msiba wa baba yangu mtani mmoja alinifuata akaniambia mimi ndio baba yako kuanzia leo, ilibidi nicheke tuna mrithi apatikane leoleo
Umemchimba chimba mpaka kwao eeh umetisha๐ ๐ ๐Huko Butiama hapajui
Yeye kwako Ni Kisorya
Mjita hajiamini anasingizia kabila la baba wa TaifaUmemchimba chimba mpaka kwao eeh umetisha๐ ๐ ๐
Wallah hapo nitamchapa mtu ngumi kumpasua midomo yake......asiweze ongea tena.Niliwahi kushuhudia ngumi msibani kule kalema...
Kuna utani wa ngumi sana kule,
Mtu umefiwa na mtoto anajitokeza mtani eti anaanza kulia mbele yako huku akisema "huyu mtoto amekukosea nini hadi umtoe kafara"
Hapo unakuta kwenye msiba wake na wewe ulimtania sana.Wallah hapo nitamchapa mtu ngumi kumpasua midomo yake......asiweze ongea tena.
Bahati mbaya huwa utani sina kabisa....Hapo unakuta kwenye msiba wake na wewe ulimtania sana.
Hahahaha! Hapo lazima nami nikutwange ngumi ya jicho.Niliwahi kushuhudia ngumi msibani kule kalema...
Kuna utani wa ngumi sana kule,
Mtu umefiwa na mtoto anajitokeza mtani eti anaanza kulia mbele yako huku akisema "huyu mtoto amekukosea nini hadi umtoe kafara"
Unapigwa faini mkuu.Hahahaha! Hapo lazima nami nikutwange ngumi ya jicho.
Daa! Huu sasa ni utani wa hovyoNiliwahi kushuhudia ngumi msibani kule kalema...
Kuna utani wa ngumi sana kule,
Mtu umefiwa na mtoto anajitokeza mtani eti anaanza kulia mbele yako huku akisema "huyu mtoto amekukosea nini hadi umtoe kafara"
Ndiyo utani wa makabila ulivyo,Daa! Huu sasa ni utani wa hovyo
Duu!Ndiyo utani wa makabila ulivyo,
Ukiwa na roho ndogo ukarusha ngumi, ujiandae na faini baada ya msiba kwisha.