Watanionaje,watanifikiriaje na watanichukuliaje, ni mawazo yanayoturudusha vijana wengi nyuma

Watanionaje,watanifikiriaje na watanichukuliaje, ni mawazo yanayoturudusha vijana wengi nyuma

Bodhichitta

JF-Expert Member
Joined
Jul 1, 2015
Posts
315
Reaction score
762
Aslaam,
Wakuu,
nimewaza hapa juu ya haya mawazo ya WATANIONAJE, WATANIFIKIRIAJE na WATANICHUKULIAJE namna yanavyotufelisha wengi katika kufanya maamuzi.

Miongoni mwa mawazo yanayobomoa VIJANA wengi na kukosa uthubutu wakufanya jambo ni haya.

Mi nimmoja wapo Ambae muathirika wa haya mawazo, yaani nikifikiria kufanya jambo haya mawazo matatu lazima yaje na kuniharibia tu.

Mfano nawaza kufanya biashara flani basi hayo mawazo yanakuja watu WATANIONAJE nikifanya hii biashara, WATANIFIKIRIAJE na WATANICHUKULIAJE wakiniona nafanya hii biashara basi najikuta naacha kuwaza juu hiyo biashara.

Hata wakati mwingine nashindwa kuongea mbele za watu, kutoa mawazo yangu Kwa kuwaza je nikikosea WATANICHUKULIAJE, WATANIONAJE au WATANIFIKIRIAJE basi naishia kukaa kimya tu.

Sasa nimeamua kutangaza vita na haya mawazo,

maisha mafupi saana na naamini duniani ndo uwanja pekee tuliopewa wakufanya na kuonyesha juu Yale tunayoweza kuganyab pekee.

Hakuna sehem nyingine yakuyafany haya,

lakini pia macho na mawazo yoyoye ya watu hayana msaada kwenye maisha yangu.

Hakika haya mawazo ndo adui yangu namba Moja kumbe.

Kuanzia Leo sina muda na WATANICHUKULIAJE, WATANIFIKIRIAJE au WATANIFIKIRIAJE potolea mbali.
 
Aslaam,
Wakuu,
nimewaza hapa juu ya haya mawazo ya WATANIONAJE, WATANIFIKIRIAJE na WATANICHUKULIAJE namna yanavyotufelisha wengi katika kufanya maamuzi.

Miongoni mwa mawazo yanayobomoa VIJANA wengi na kukosa uthubutu wakufanya jambo ni haya.

Mi nimmoja wapo Ambae muathirika wa haya mawazo, yaani nikifikiria kufanya jambo haya mawazo matatu lazima yaje na kuniharibia tu.

Mfano nawaza kufanya biashara flani basi hayo mawazo yanakuja watu WATANIONAJE nikifanya hii biashara, WATANIFIKIRIAJE na WATANICHUKULIAJE wakiniona nafanya hii biashara basi najikuta naacha kuwaza juu hiyo biashara.

Hata wakati mwingine nashindwa kuongea mbele za watu, kutoa mawazo yangu Kwa kuwaza je nikikosea WATANICHUKULIAJE, WATANIONAJE au WATANIFIKIRIAJE basi naishia kukaa kimya tu.

Sasa nimeamua kutangaza vita na haya mawazo,

maisha mafupi saana na naamini duniani ndo uwanja pekee tuliopewa wakufanya na kuonyesha juu Yale tunayoweza kuganyab pekee.

Hakuna sehem nyingine yakuyafany haya,

lakini pia macho na mawazo yoyoye ya watu hayana msaada kwenye maisha yangu.

Hakika haya mawazo ndo adui yangu namba Moja kumbe.

Kuanzia Leo sina muda na WATANICHUKULIAJE, WATANIFIKIRIAJE au WATANIFIKIRIAJE potolea mbali.
Hiyo nikua na "inferiority complex" kwanini ufikililie mind za wengine wakati maisha in ya kwako?
 
Aslaam,
Wakuu,
nimewaza hapa juu ya haya mawazo ya WATANIONAJE, WATANIFIKIRIAJE na WATANICHUKULIAJE namna yanavyotufelisha wengi katika kufanya maamuzi.

Miongoni mwa mawazo yanayobomoa VIJANA wengi na kukosa uthubutu wakufanya jambo ni haya.

Mi nimmoja wapo Ambae muathirika wa haya mawazo, yaani nikifikiria kufanya jambo haya mawazo matatu lazima yaje na kuniharibia tu.

Mfano nawaza kufanya biashara flani basi hayo mawazo yanakuja watu WATANIONAJE nikifanya hii biashara, WATANIFIKIRIAJE na WATANICHUKULIAJE wakiniona nafanya hii biashara basi najikuta naacha kuwaza juu hiyo biashara.

Hata wakati mwingine nashindwa kuongea mbele za watu, kutoa mawazo yangu Kwa kuwaza je nikikosea WATANICHUKULIAJE, WATANIONAJE au WATANIFIKIRIAJE basi naishia kukaa kimya tu.

Sasa nimeamua kutangaza vita na haya mawazo,

maisha mafupi saana na naamini duniani ndo uwanja pekee tuliopewa wakufanya na kuonyesha juu Yale tunayoweza kuganyab pekee.

Hakuna sehem nyingine yakuyafany haya,

lakini pia macho na mawazo yoyoye ya watu hayana msaada kwenye maisha yangu.

Hakika haya mawazo ndo adui yangu namba Moja kumbe.

Kuanzia Leo sina muda na WATANICHUKULIAJE, WATANIFIKIRIAJE au WATANIFIKIRIAJE potolea mbali.
Kuna watu wanapenda kuheshimiwa na jamii kuliko wanavyopenda uhuru wao wa kuishi na kusema wanavyotaka.

Na kwa kupenda heshima hivyo, wanakosa kujiheshimu wenyewe, wanaishi kama wafungwa wa jamii.

Mimi niliamua tangu zamani, kati ya kuheshimiwa na jamii na uhuru wangu, nataka kuwa na uhuru wangu zaidi ya ninavyotaka kuheshimiwa na jamii.
 
Kuna watu wanapenda kuheshimiwa na jamii kuliko wanavyopenda uhuru wao wa kuishi na kusema wanavyotaka.

Na kwa kupenda heshima hivyo, wanakosa kujiheshimu wenyewe, wanaishi kama wafungwa wa jamii.

Mimi niliamua tangu zamani, kati ya kuheshimiwa na jamii na uhuru wangu, nataka kuwa na uhuru wangu zaidi ya ninavyotaka kuheshimiwa na jamii.
True Uhuru wa kila ufanyacho
 
kujiamini ni muhimu, ukiogopa macho ya watu utabaki hapo hapo ulipo. hautapiga hatua yoyote ya kimaendeleo, wenzako wakihesabu P£$A, wewe utahesabu MIAKA.
 
Back
Top Bottom