Watanzania 33,000 wanakufa kila mwaka kwa Moshi wa Kupikia

Watanzania 33,000 wanakufa kila mwaka kwa Moshi wa Kupikia

Kama ni kweli basi ni Takwimu za kutisha sana na Serikali miaka yote hii imekaa nazo mpaka makamba kaja zigundua hapa karibuni?

Screenshot_2022-10-16-12-13-21-034_com.instagram.android~2.jpg
 
Kama ni kweli basi ni Takwimu za kutisha sana na Serikali miaka yote hii imekaa nazo mpaka makamba kaja zigundua hapa karibuni?

View attachment 2388880
Huyo marope ni mnafiki tu sema anataka tu kuhalarisha uuzaji wa Taifa gas, bila shaka ana 10% kutoka kwa rost tamu, huku anahangaika kuuza na kusambaza Taifa gas utadhani mwajiriwa wa Taifa gas, na sijui hii tenda ya kugawa gesi hawa Taifa gas walishindanishwa na nani badala ya kuhangaika na mgao wa umeme leo ndio anajifanya kuja na takwimu za kupikwa, je huu utafiti umefanywa lini na kampuni gani ilifanya huo utafiti ?atupe na sample/PSU cha utafiti huo, tatizo waandishi wetu ni vihiyo sijui sababu ya bahasha za khaki hawaulizi maswali msingi kazi yao ni kupokea na kupaste! Siku hizi tunatatizo la mgao wa umeme ambao enzi za Kalemani haukuwepo, marope na timu yake walianza kwa kusingizia utawala wa awamu iliyopita, sasa safari hii hawana hata cha kusingizia yeye na aliyekuwa muuza ving'amuzi. Kuuza ving'amuzi na umeme ambao ni uhai wa nchi kiuchumi na kimaendeleo ni tofauti kabisa na kuuza ving'amuzi, kibaya zaidi marope kawaleta wahuni wenzake kwenye bodi kiasi kwamba hata maamuzi magumu hayawezi kufikiwa na bodi .
 
TAKWIMU HIZI NI ZA KUTISHA. SI SUALA DOGO KABISA. HILI NI SUALA AMBALO TAIFA LENYE AKILI LITAHITAJI UFAFANUZI WA HARAKA NA KUANGALIA NAMNA YA KUOKOA WATU WAKE.
Tatizo la kutengeneza tafrani hivi tangu enzi za ujima mpaka leo kama ndivyo si wote tungeshakuwa marehemu? Tuache tabia za kupeleka siasa kwenye taaluma, tutawakosesha wananchi TRUST na siku nyingine jambo la hatari likisemwa wataona kama haya masihara tuliyoanza kuyafanya nyakati kama hizi...
 
Mtu serious badala ya kuzunguka vijijini kugawa majiko kwa mtindo wa Sandakalawe angetumia fursa ile kama research.

Warudi baada ya miezi sita kubaini ni watu wangapi bado wanatumia yale majiko na waliocha wajifunze sababu ni nini.

As far as he is concerned sababu kubwa ni access ya nishati tu uwezo wa kununua majiko, tabia kwake sio swala la msingi.

Ni mmoja wa viongozi waliochiwa kuchezea ovyo hela za serikali kipindi hiki (wapo na wengine kama watatu).

Hilo kongamano ni mwendelezo wa kuchezea hela, kama serikali yenyewe aina strategic approach (intervention framework) kwanza na ile ziara kama angekuwa anajua anafanya nini zaidi ya kujikita na promotion ya kuuza majiko ilikuwa fursa nzuri sana kufanya ground work ya kutengenezea sera. Hilo kongamono ni sehemu ya kuangalia wapi wafanye amendments.

I don’t know what they see in this guy ukisikiliza huwa anakuja mirisala yake mirefu halafu pumba tupu.
 
Huyo marope ni mnafiki tu sema anataka tu kuhalarisha uuzaji wa Taifa gas, bila shaka ana 10% kutoka kwa rost tamu, huku anahangaika kuuza na kusambaza Taifa gas utadhani mwajiriwa wa Taifa gas, na sijui hii tenda ya kugawa gesi hawa Taifa gas walishindanishwa na nani badala ya kuhangaika na mgao wa umeme leo ndio anajifanya kuja na takwimu za kupikwa, je huu utafiti umefanywa lini na kampuni gani ilifanya huo utafiti ?atupe na sample/PSU cha utafiti huo, tatizo waandishi wetu ni vihiyo sijui sababu ya bahasha za khaki hawaulizi maswali msingi kazi yao ni kupokea na kupaste! Siku hizi tunatatizo la mgao wa umeme ambao enzi za Kalemani haukuwepo, marope na timu yake walianza kwa kusingizia utawala wa awamu iliyopita, sasa safari hii hawana hata cha kusingizia yeye na aliyekuwa muuza ving'amuzi. Kuuza ving'amuzi na umeme ambao ni uhai wa nchi kiuchumi na kimaendeleo ni tofauti kabisa na kuuza ving'amuzi, kibaya zaidi marope kawaleta wahuni wenzake kwenye bodi kiasi kwamba hata maamuzi magumu hayawezi kufikiwa na bodi .
Hujamjua January. January anaitambua nguvu ya Rostam katika siasa za tanzania. Kuanzia uwekezaji, kutoa fungu na kutengeneza timu za ushindi.

Ni Rostam ndie alimtengeneza JK. Ni yeye pia alimtengenezea njia Lowasa mpaka mkayaona mafuriko 2015.

Anachofanya ni kujiweka karibu na rostam. Anatafuta njia ya kupita kwa Rostam ili huko mbele safari yake iwe nyepesi kidogo.
 
Alisema 83% ya uchafuzi wa hali ya hewa nchini unatokana na moshi wa kuni nchini 😯
 
Na wanaozaliwa ni wangapi ?Badala kushughulikia umeme. Naona kaamua kubeba agenda rahisi. Kuna kitu hapa di bure. Wananchi maskini watalazimishwa kununua nishati ya mfanyabiashara nani sijui.
 
Mbona kazi nyepesi,kwanza alikuwa waziri katika ofisi ya Makamu wa Raisi anayeshughulikia mazingira.Pili mapendekezo ya madhara ya kutumia mkaa kuna tafiti nyingi zilizofanywa na watu mbali mbali vikiwemo vyuo vikuu,NGO, Umoja wa Mataifa,na nchi kadhaa n.k kwa kipindi kirefu.
Makamba anajua kutumia mitandao kupata habari kwa haraka.
 
Na wanaozaliwa ni wangapi ?Badala kushughulikia umeme. Naona kaamua kubeba agenda rahisi. Kuna kitu hapa di bure. Wananchi maskini watalazimishwa kununua nishati ya mfanyabiashara nani sijui.
Kawa mfanyakazi wa Taifa gas na sio waziri wa nishati na ndio maana kuhalalisha hiyo gesi ya bosi wake kaja na takwimu za kukaanga hapo ndio namkumbuka mwendazake!
 
Back
Top Bottom