Watanzania 34.3% ni wachawi, hawaamini Mungu, Mtume wala Jah

Watanzania 34.3% ni wachawi, hawaamini Mungu, Mtume wala Jah

Dini za jadi (34.3%), Ukristo (33.5%), Uislamu (31.4%), wengineo (0.8%)

Takwimu hizi zinaweza kuwa hazina maana lakini zinatoa taswira ya imani za Watanzania.

Hii ni kwamjibu Sensa ya 27 Agosti 1967 nchini Tanzania.

Sansa ya 1967!!!! Poor Yericko! Very old statistics! They have nothing to with!!!
 
Huyo Ferauni mweusi na Yesu Mweusi walizaliwa Dodoma?

Unasema Walitukuta tumeendelea!
Hivi maendeleo ni kitu gani hasa?

Au Kutembea Uchi na Kwenda Kuabudu MITI MIKUBWA na kuiomba Ile miti ituletee Faraja ktk maisha yetu na kututibu maradhi yetu ndio MAENDELEO HAYO?

We huna habari mpaka leo Afrika kuna makabila yanazaa na DADA ZAO wa Tumbo moja! Na familia nzima ZINATEMBEA makende wazi mbele ya mama zao!
Nenda South Africa ukaone mwenyewe.

Mkuu bangi bila kula mbaya sana.

Miaka milioni 4 kama kujenge piramidi,kuyajusha iwe likawa dhahabu au chuma,kumwihifadhi binaadamu aliekufa asioze milele wakati wazungu na warabu bado wabara ngozi sio maendeleo basi maendeleo sijui nini.......

Firauni inasemekana alizaliwa Misri,Misri ilikuwa nchi ya wa weusi yaani nchi ya watu wenye asili ya Kiafrika Kabla warabu,wagiriki,warumi hawajaivalia Misri na kuuwa kila kitu chenye asili ya kiafrika,Koo za firauni zilitokea north sudani sio Dodoma ,Mafirauni hawakuwa watu weupe kama unavyosoma katika bible au vitabu vilivyoandkwa na wazungu

Maendeleo ni mfumo wa maisha yanayotosheleza watu kutoka na tamaduni na Mila zao,sio lazima uwe mkristo au mwislam ndio iwe umeendelea,Japan ni mfano mzuri,wajapani ni watu wanaofata Dini ya kibudha wajapani wanautamaduni wao tafauti na wazungu au warabu lakini wameendelea sana ukifananisha na watu wengine duniani

Kama kuzaaa na dada ako au kaka ako imekubaliwa na Mila za watu fulani na ikiwa Mila hizo hazilete Shaka katika tamaduni zao kuna ubaya gani kuzaa na dada ako au kaka ako..south Afrika mbali sana hapa hapa Tanzania mila hizo zipo
 
Miaka milioni 4 kama kujenge piramidi,kuyajusha iwe likawa dhahabu au chuma,kumwihifadhi binaadamu aliekufa asioze milele wakati wazungu na warabu bado wabara ngozi sio maendeleo basi maendeleo sijui nini.......

Firauni inasemekana alizaliwa Misri,Misri ilikuwa nchi ya wa weusi yaani nchi ya watu wenye asili ya Kiafrika Kabla warabu,wagiriki,warumi hawajaivalia Misri na kuuwa kila kitu chenye asili ya kiafrika,Koo za firauni zilitokea north sudani sio Dodoma ,Mafirauni hawakuwa watu weupe kama unavyosoma katika bible au vitabu vilivyoandkwa na wazungu

Maendeleo ni mfumo wa maisha yanayotosheleza watu kutoka na tamaduni na Mila zao,sio lazima uwe mkristo au mwislam ndio iwe umeendelea,Japan ni mfano mzuri,wajapani ni watu wanaofata Dini ya kibudha wajapani wanautamaduni wao tafauti na wazungu au warabu lakini wameendelea sana ukifananisha na watu wengine duniani

Kama kuzaaa na dada ako au kaka ako imekubaliwa na Mila za watu fulani na ikiwa Mila hizo hazilete Shaka katika tamaduni zao kuna ubaya gani kuzaa na dada ako au kaka ako..south Afrika mbali sana hapa hapa Tanzania mila hizo zipo

Mkuu bangi mbaya!
Miaka milioni 4 kulikuwa HAKUNA MTU MISRI!
😅😑😅😅😅😅😅😅😅
 
Mkuu bangi mbaya!
Miaka milioni 4 kulikuwa HAKUNA MTU MISRI!


sorry I could be wrong,mili 4 au elfu nne lakini ukifungua google unaweza kupata jibu sahihi lini Pyramid zimejengwa Misri 🙂,hoja hapa kuwa Afrika ilikuwa imendelea kabla ya wageni kuleta dini zao za kutuchanganya Afrika
 
Mimi kuwasiliana na ngugu yangu wewe kunakuuma nini?

Kumbe we una undugu na MAJIZI?
Huna habari km huyo umuitae ndugu ni Convicted fraudster?
Alikuwa jela kwa wizi wa kudanganya (utapeli) alipotoka ndio anaanza kujifanya Kuhubiri.

Niambie km una uhusiano nae Na wewe Uchunguzwe!
 
Kumbe we una undugu na MAJIZI?
Huna habari km huyo umuitae ndugu ni Convicted fraudster?
Alikuwa jela kwa wizi wa kudanganya (utapeli) alipotoka ndio anaanza kujifanya Kuhubiri.

Niambie km una uhusiano nae Na wewe Uchunguzwe!

Kwa mujibu wa nani kuwa na undugu na mwizi au jambazi ni dhambi au kosa kisheria?
Hata kama ingekuwa kweli unayodai,kuna ubaya gani?

Halafu hivi unaonaje sawa kuandika maneno ya hovyo kila uchao hapa?
Hivi ulifundishwa staha gani wewe?
 
Kwa mujibu wa nani kuwa na undugu na mwizi au jambazi ni dhambi au kosa kisheria?
Hata kama ingekuwa kweli unayodai,kuna ubaya gani?

Halafu hivi unaonaje sawa kuandika maneno ya hovyo kila uchao hapa?
Hivi ulifundishwa staha gani wewe?

Maneno ya hovyo ndio yakoje?

Wazee wazamani walisema "ukifanya urafiki na Muuza manukato basi na wewe hutokosa harufu ya manukato.

Na ukifanya urafiki na mwizi na wewe lzm uwe mwizi tu.

Sasa hayo maneno ya hekima ya wazee wa zamani utayaita ya HOVYO!
 
Maneno ya hovyo ndio yakoje?

Wazee wazamani walisema "ukifanya urafiki na Muuza manukato basi na wewe hutokosa harufu ya manukato.

Na ukifanya urafiki na mwizi na wewe lzm uwe mwizi tu.

Sasa hayo maneno ya hekima ya wazee wa zamani utayaita ya HOVYO!

Kila la kheri ........!!
 
Mimi kuwasiliana na ngugu yangu wewe kunakuuma nini?
Mtumishi, msamehe bure huyo mfuasi wa Muhammad. Kwenye kitabu chao hakuna neno "upendo" zaidi ya chuki na hasira walizo rithishwa kutoka baba yao the Old Serpent, the devil himself.

Huyo kijana anahitaji wokovu na akisha mpokea Yesu, atakuwa kijana mzuri tu na wala hato kwenda kule ISIS kufanya nao kazi za Shetani.

Mungu akubariki Mtumishi.
 
Kwa mujibu wa nani kuwa na undugu na mwizi au jambazi ni dhambi au kosa kisheria?
Hata kama ingekuwa kweli unayodai,kuna ubaya gani?

Halafu hivi unaonaje sawa kuandika maneno ya hovyo kila uchao hapa?
Hivi ulifundishwa staha gani wewe?

Yesu anasema katika John 15:18 If the world hate you, ye know that it hated me before it hated you.

They will hate us because we are saying the truth. Jesus said, this world will despise and hate your mutual love, will scorn your love to itself for my sake; will detest the higher and unworldly standard which you will set up.

That is why I always say, Je, kuna jema lelote kwenye hii imani ya Muhammad?
 
Mtumishi, msamehe bure huyo mfuasi wa Muhammad. Kwenye kitabu chao hakuna neno "upendo" zaidi ya chuki na hasira walizo rithishwa kutoka baba yao the Old Serpent, the devil himself.

Huyo kijana anahitaji wokovu na akisha mpokea Yesu, atakuwa kijana mzuri tu na wala hato kwenda kule ISIS kufanya nao kazi za Shetani.

Mungu akubariki Mtumishi.

Brother,is this the first beast of revalation 13?

 
Last edited by a moderator:
Dini za jadi (34.3%), Ukristo (33.5%), Uislamu (31.4%), wengineo (0.8%)

Takwimu hizi zinaweza kuwa hazina maana lakini zinatoa taswira ya imani za Watanzania.

Hii ni kwamjibu Sensa ya 27 Agosti 1967 nchini Tanzania.

Yericko, nina uhakika kuwa kila mbunge kwa tiketi ya ccm (akiwemo mwenyekiti wao) ni mshirikina. Serukamba upooo?
 
Duh ......!!

Hawa watu ni hatari!
Hii chuki huwezi pata katika Ukristo bali ipo kwenye Islam. Cha ajabu, jamaa wanajifanya hawajui haya mambo.

MTUMISHI SIKILIZA HII tube, very good. Short but imebeba makubwa.

 
Last edited by a moderator:
Dini za jadi (34.3%), Ukristo (33.5%), Uislamu (31.4%), wengineo (0.8%)

Takwimu hizi zinaweza kuwa hazina maana lakini zinatoa taswira ya imani za Watanzania.

Hii ni kwamjibu Sensa ya 27 Agosti 1967 nchini Tanzania.




Takwimu zinasema wanao amini uchawi hapa Tanzania ni wafanya kazi haswa viongozi serikalini yaani kuanzia rais, wabunge, mawaziri, na hata pia wafagiaji kwenye idara za serikali.
 



Usicheke mkuu, kwa Tanzania unaambiwa hata dereve serikalini anaroga sembuse mfagiaji? We unafikiri kwanini mtu uendapo kwenye taasisi za serikali watu hawafanyi kazi? Ile yote ni kwa sababu they are incompetent na wanaogopa majukumu, wao wanataka kukaa tu kucha kutwa huku wakiperuzi fesibuku kwa mitandao ya serikali akirudi home jioni utasikia kazi leo ilikuwa ngumu kweli. Hii nchi imeoza kweli na ndiyo maana majirani zetu wanatucheka kutwa kucha.
 
Back
Top Bottom