Watanzania 34.3% ni wachawi, hawaamini Mungu, Mtume wala Jah

Watanzania 34.3% ni wachawi, hawaamini Mungu, Mtume wala Jah

Kama KUUA MTU kwa KUMPIGILIA MSALABANI SIO KOSA.
basi hata ubakaji wa watoto makanisani SIO KOSA.
Kwa mtazamao km huu Ndio maana hata hawa wahalifu hawafikishwi kwenye vyombo vya Sheria.

Nikujibu tu kuwa hujui usemalo.

Vv
 
Dini za jadi (34.3%), Ukristo (33.5%), Uislamu (31.4%), wengineo (0.8%)

Takwimu hizi zinaweza kuwa hazina maana lakini zinatoa taswira ya imani za Watanzania.

Sasa km takwimu hazina maana umezileta hapa kwenye jukwaa la namna hii sisi tukusaidie nini!

Haya ndio matatizo ya kucheza msita na kina dada mpaka ukubwani.
Matokea yake mtu anaamua kuandika pumba tu!
 
Mkuu,bora kuwa mchawi kuliko kuabudi hizi dini za kuletewa na wazungu na warabu,wametuetea dini halafu wanatudharau

Km Uchawi ni family business we endelea tu lkn usitake ku justify huu uchafu unaosababisha mtu na mwane kulala kitanda kimoja wakiwa UCHI!
AU mama na Mwanae kwenda kutembea km makomandoo wanavizia adui. Ukicheki huku chini wote wawili wizauti!

Nyie watu wa Sumbawanga nuksi sana.
Ngoja turudushe majeshi ya sungusungu ndio mtatiwa adabu kidogo.
 
Km Uchawi ni family business we endelea tu lkn usitake ku justify huu uchafu unaosababisha mtu na mwane kulala kitanda kimoja wakiwa UCHI!
AU mama na Mwanae kwenda kutembea km makomandoo wanavizia adui. Ukicheki huku chini wote wawili wizauti!

Nyie watu wa Sumbawanga nuksi sana.
Ngoja turudushe majeshi ya sungusungu ndio mtatiwa adabu kidogo.

Mkuu huo unaozungumza wewe sio uchawi hiyo inaitwa zinaa,,,,,

wafrika kabla ya kuja wageni kama vile warabu wazungu na dini zao tulikuwa na dini zetu na zilikuwa zinafanya kazi uzuri tu,Walipokuja hawa wageni katika bara la Afrika na dini zao walishangaa walivyokuta Afrika imepiga hatua kimaendelo kuanzia Zimbabwe,Timbuktu,Misri.....

Warabu walivamia Misri walibadilisha historia na kumfanya Firauni mweupe wakati Firauni alikuwa Mnubi,,,Tunaona watu wanaabudu Mungu wa macho ya bluu wakati Yesu alikuwa mweusi ......

Hawa wageni wamefanya hivyo ili tuwaone wao bora wamejua kuwa dini ndio silaha ya kuwatawala watu,,,,Bora nikamwombe kinyamkera kuliko kwenda kuomba sanamu la yesu......Tafakari
 
Mkuu huo unaozungumza wewe sio uchawi hiyo inaitwa zinaa,,,,,

wafrika kabla ya kuja wageni kama vile warabu wazungu na dini zao tulikuwa na dini zetu na zilikuwa zinafanya kazi uzuri tu,Walipokuja hawa wageni katika bara la Afrika na dini zao walishangaa walivyokuta Afrika imepiga hatua kimaendelo kuanzia Zimbabwe,Timbuktu,Misri.....

Warabu walivamia Misri walibadilisha historia na kumfanya Firauni mweupe wakati Firauni alikuwa Mnubi,,,Tunaona watu wanaabudu Mungu wa macho ya bluu wakati Yesu alikuwa mweusi ......

Hawa wageni wamefanya hivyo ili tuwaone wao bora wamejua kuwa dini ndio silaha ya kuwatawala watu,,,,Bora nikamwombe kinyamkera kuliko kwenda kuomba sanamu la yesu......Tafakari

Huyo Ferauni mweusi na Yesu Mweusi walizaliwa Dodoma?

Unasema Walitukuta tumeendelea!
Hivi maendeleo ni kitu gani hasa?

Au Kutembea Uchi na Kwenda Kuabudu MITI MIKUBWA na kuiomba Ile miti ituletee Faraja ktk maisha yetu na kututibu maradhi yetu ndio MAENDELEO HAYO?

We huna habari mpaka leo Afrika kuna makabila yanazaa na DADA ZAO wa Tumbo moja! Na familia nzima ZINATEMBEA makende wazi mbele ya mama zao!
Nenda South Africa ukaone mwenyewe.

Mkuu bangi bila kula mbaya sana.
 
Kwa hili Yericho unapotosha mkuu.
Dini za jadi 34 hawa ndio wa kweli na ndiyo wanaelewa maana halisi ya mahusiano ya mungu na binadamu. Lakini wakristu na waislam wenye chale ni wengi sana.
 
Kwa hili Yericho unapotosha mkuu.
Dini za jadi 34 hawa ndio wa kweli na ndiyo wanaelewa maana halisi ya mahusiano ya mungu na binadamu. Lakini wakristu na waislam wenye chale ni wengi sana.

Moja ya IBADA ya Yericko ni KUVUTA BANGI na Kutokuchana Nywele!

We unategemea Hicho kichwa kina usalama?
 
Huyo Ferauni mweusi na Yesu Mweusi walizaliwa Dodoma?

Unasema Walitukuta tumeendelea!
Hivi maendeleo ni kitu gani hasa?

Au Kutembea Uchi na Kwenda Kuabudu MITI MIKUBWA na kuiomba Ile miti ituletee Faraja ktk maisha yetu na kututibu maradhi yetu ndio MAENDELEO HAYO?

We huna habari mpaka leo Afrika kuna makabila yanazaa na DADA ZAO wa Tumbo moja! Na familia nzima ZINATEMBEA makende wazi mbele ya mama zao!
Nenda South Africa ukaone mwenyewe.

Mkuu bangi bila kula mbaya sana.


Mkuu dhana ya maendeleo na watu kutembea kende nje kunahusiana vipi? kuendelea ni kusitiri kende? unataka kusema SA hawajaendelea kisa wanatembea glopu nje nje?
 
Mkuu dhana ya maendeleo na watu kutembea kende nje kunahusiana vipi? kuendelea ni kusitiri kende? unataka kusema SA hawajaendelea kisa wanatembea glopu nje nje?

Ha ha ha ha!

Labda hili swali nilipindue kwako.
Atembea Glopu nje KAENDELEA?
 
Atembea glopu nje yupo huru sana, piga mahesabu upo hewa inavyopita vizuri eneo la tukio...hahaha

Hebu tuonyeshe mfano wa huo uhuru hapa Jf tupate na sisi kuiga!

Piga picha moja YA KWAKO inayoonyesha Huo UHURU WAKO halafu ibandike hapa tupate faida!
 
Hebu tuonyeshe mfano wa huo uhuru hapa Jf tupate na sisi kuiga!

Piga picha moja YA KWAKO inayoonyesha Huo UHURU WAKO halafu ibandike hapa tupate faida!


Huu uhuru wangu ni kinyume na dhana yenu ya maendeleo, kuwa anaeficha bulb zake ndio kaendelea....
 
Huu uhuru wangu ni kinyume na dhana yenu ya maendeleo, kuwa anaeficha bulb zake ndio kaendelea....

Tah ha ha ha ha!

Kwani we unajali watu watasema nini?

We mwaga radhi tuone maendeleo yako! Mbona muoga km mtoto wa kike?
 
Wasio na Dini hizi chonganishi za kina Bokogharam na Antibalaka? Ndio Waafrika wasafi ambao tunawaita Wapagani, ndio Wazalendo
 
Tah ha ha ha ha!

Kwani we unajali watu watasema nini?

We mwaga radhi tuone maendeleo yako! Mbona muoga km mtoto wa kike?


Alokudanganya watoto wa kike waoga nani mkuu, siku hizi uoga wameweka pembeni...ndio maana wanaweza kutupanga kama 100 na tusijue.
Unaonaje uzame pale ilala ukanunue boksa za mtumba kuongeza maendeleoa....hahahaa
 
Jukwaa takatifu ndio lipi?

Halafu acheni kuleta maigizo hapa.
Kwani huyo dada Ishmael anashindwa kwenda mwenyewe huko mpaka Akuulize wewe Eiyer?

Bangi sio nzuri ukiwa huna kazi!
Umbea utakufikisha pabaya wewe. Wanaume wanaongea wewe unainglia kati, utasutwa mpaka ukome kuzaliwa. Shauri yako. Msalimie dada kahtaan mwabie ajifunze adabu na aache ushambenga.
 
Back
Top Bottom