Dini za jadi (34.3%), Ukristo (33.5%), Uislamu (31.4%), wengineo (0.8%)
Takwimu hizi zinaweza kuwa hazina maana lakini zinatoa taswira ya imani za Watanzania.
Hii ni kwamjibu Sensa ya 27 Agosti 1967 nchini Tanzania.
Huyo Ferauni mweusi na Yesu Mweusi walizaliwa Dodoma?
Unasema Walitukuta tumeendelea!
Hivi maendeleo ni kitu gani hasa?
Au Kutembea Uchi na Kwenda Kuabudu MITI MIKUBWA na kuiomba Ile miti ituletee Faraja ktk maisha yetu na kututibu maradhi yetu ndio MAENDELEO HAYO?
We huna habari mpaka leo Afrika kuna makabila yanazaa na DADA ZAO wa Tumbo moja! Na familia nzima ZINATEMBEA makende wazi mbele ya mama zao!
Nenda South Africa ukaone mwenyewe.
Mkuu bangi bila kula mbaya sana.
Miaka milioni 4 kama kujenge piramidi,kuyajusha iwe likawa dhahabu au chuma,kumwihifadhi binaadamu aliekufa asioze milele wakati wazungu na warabu bado wabara ngozi sio maendeleo basi maendeleo sijui nini.......
Firauni inasemekana alizaliwa Misri,Misri ilikuwa nchi ya wa weusi yaani nchi ya watu wenye asili ya Kiafrika Kabla warabu,wagiriki,warumi hawajaivalia Misri na kuuwa kila kitu chenye asili ya kiafrika,Koo za firauni zilitokea north sudani sio Dodoma ,Mafirauni hawakuwa watu weupe kama unavyosoma katika bible au vitabu vilivyoandkwa na wazungu
Maendeleo ni mfumo wa maisha yanayotosheleza watu kutoka na tamaduni na Mila zao,sio lazima uwe mkristo au mwislam ndio iwe umeendelea,Japan ni mfano mzuri,wajapani ni watu wanaofata Dini ya kibudha wajapani wanautamaduni wao tafauti na wazungu au warabu lakini wameendelea sana ukifananisha na watu wengine duniani
Kama kuzaaa na dada ako au kaka ako imekubaliwa na Mila za watu fulani na ikiwa Mila hizo hazilete Shaka katika tamaduni zao kuna ubaya gani kuzaa na dada ako au kaka ako..south Afrika mbali sana hapa hapa Tanzania mila hizo zipo
Mkuu bangi mbaya!
Miaka milioni 4 kulikuwa HAKUNA MTU MISRI!

Mimi kuwasiliana na ngugu yangu wewe kunakuuma nini?
Kumbe we una undugu na MAJIZI?
Huna habari km huyo umuitae ndugu ni Convicted fraudster?
Alikuwa jela kwa wizi wa kudanganya (utapeli) alipotoka ndio anaanza kujifanya Kuhubiri.
Niambie km una uhusiano nae Na wewe Uchunguzwe!
Kwa mujibu wa nani kuwa na undugu na mwizi au jambazi ni dhambi au kosa kisheria?
Hata kama ingekuwa kweli unayodai,kuna ubaya gani?
Halafu hivi unaonaje sawa kuandika maneno ya hovyo kila uchao hapa?
Hivi ulifundishwa staha gani wewe?
Maneno ya hovyo ndio yakoje?
Wazee wazamani walisema "ukifanya urafiki na Muuza manukato basi na wewe hutokosa harufu ya manukato.
Na ukifanya urafiki na mwizi na wewe lzm uwe mwizi tu.
Sasa hayo maneno ya hekima ya wazee wa zamani utayaita ya HOVYO!
Kila la kheri ........!!
Mtumishi, msamehe bure huyo mfuasi wa Muhammad. Kwenye kitabu chao hakuna neno "upendo" zaidi ya chuki na hasira walizo rithishwa kutoka baba yao the Old Serpent, the devil himself.Mimi kuwasiliana na ngugu yangu wewe kunakuuma nini?
Kwa mujibu wa nani kuwa na undugu na mwizi au jambazi ni dhambi au kosa kisheria?
Hata kama ingekuwa kweli unayodai,kuna ubaya gani?
Halafu hivi unaonaje sawa kuandika maneno ya hovyo kila uchao hapa?
Hivi ulifundishwa staha gani wewe?
Mtumishi, msamehe bure huyo mfuasi wa Muhammad. Kwenye kitabu chao hakuna neno "upendo" zaidi ya chuki na hasira walizo rithishwa kutoka baba yao the Old Serpent, the devil himself.
Huyo kijana anahitaji wokovu na akisha mpokea Yesu, atakuwa kijana mzuri tu na wala hato kwenda kule ISIS kufanya nao kazi za Shetani.
Mungu akubariki Mtumishi.
I love the tube and point them 100%. ISIS behavior is what the Bible predicted.Brother,is this the first beast of revelation 13?
Dini za jadi (34.3%), Ukristo (33.5%), Uislamu (31.4%), wengineo (0.8%)
Takwimu hizi zinaweza kuwa hazina maana lakini zinatoa taswira ya imani za Watanzania.
Hii ni kwamjibu Sensa ya 27 Agosti 1967 nchini Tanzania.
I love the tube and point them 100%. ISIS behavior is what the Bible predicted.
Here are some of the despicable atrocities ISIS | End Time Bible Prophecy | Page 2
Hii chuki huwezi pata katika Ukristo bali ipo kwenye Islam. Cha ajabu, jamaa wanajifanya hawajui haya mambo.Duh ......!!
Hawa watu ni hatari!
Dini za jadi (34.3%), Ukristo (33.5%), Uislamu (31.4%), wengineo (0.8%)
Takwimu hizi zinaweza kuwa hazina maana lakini zinatoa taswira ya imani za Watanzania.
Hii ni kwamjibu Sensa ya 27 Agosti 1967 nchini Tanzania.
Takwimu zinasema wanao amini uchawi hapa Tanzania ni wafanya kazi haswa viongozi serikalini yaani kuanzia rais, wabunge, mawaziri, na hata pia wafagiaji kwenye idara za serikali.
Hahaha