marco polo jr
JF-Expert Member
- Mar 31, 2020
- 362
- 1,771
Habari zaidi angalia kiambatanisho
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna kitu initially kuukana uraia ni tafasiri mbovu tuu kwa kutoelewa.
Siyo kweli, ni data za uongo.
Kabisa za uongo walioukana ni wengi tuSiyo kweli, ni data za uongo.
Wewe uraia wa Tanzania unakusaidia nini?ukiukana kuupata ni kwikwi... sheria hairuhusu labda kama itafanyiwa marekebisho... hivyo ni bora usubiri dual ili uongeze uraia kuliko kuukana sasa ukitegemea kuurejesha pale kutakapo kuja kuwa na dual, maana ni ngumu labda kama sheria itazingatia kuwa rejeshea walio upoteza...
Fikra za hovyo kabisaKukana utanzania ni sawa na Kuna ndugu zako, Namin wengi wao kama sio wote watakua wanawake
Alirudi tanzania kwa pasport ya Tanzania au brazil port of entry? , je kwa kipindi hicho ilikuwa ni Electronic PASSPORT?Mm naona haya mambo hayana issue hata ukiiukana ukitaka kurudi kuwa nyumbani unarudi na unaendelea na maisha yako. Kuna Jamaa yetu mmoja alikaa brazil miaka 30[emoji38][emoji23][emoji1787] Karudi juzijuzi tu anauraia wa Brazil na Passport ya Brazil hataki tena kurudi Brazil anaotesha tu vitu ardhini na ashapata passport ya hapa Tz bado Nida navenginevyo nasemaga hivi akitaka kuondoka siwatamdaka huyu.