Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unatakiwa uukane kisheria Mkuu.... sio kwa maneno matupuMimi nipo tz ila nilishaukana uraia
Mmh kwa uingereza hao mbona wachache sana,nnaowajua binafsi wanazidi kumi,tena hapo sijawahesabu wale waliojiripua.
Uingereza washkaji kibao wana british passport na na passport ya Tanzania na wanazitumia zote.Mm naona haya mambo hayana issue hata ukiiukana ukitaka kurudi kuwa nyumbani unarudi na unaendelea na maisha yako. Kuna Jamaa yetu mmoja alikaa brazil miaka 30[emoji38][emoji23][emoji1787] Karudi juzijuzi tu anauraia wa Brazil na Passport ya Brazil hataki tena kurudi Brazil anaotesha tu vitu ardhini na ashapata passport ya hapa Tz bado Nida navenginevyo nasemaga hivi akitaka kuondoka siwatamdaka huyu.
Mimi baada ya Jowe kuwa Rais niliukana uraiaMimi nipo tz ila nilishaukana uraia
Bora huyo, huyo WA India sasa!!!!Mmmh huyo wa China 😂😂😂😂
Hakuna chochote kaZi maalum haina mipaka silazima uukane uraia bwana serikali inatuchelewesha kisa inaiogopa Kenya wakenya watakuja kununua ardhi yetuHao ni “watu wetu” wako kwenye kazi maalum.
Kupata uraia wa Marekani hushurutishwi kuukana uraia wako mwingine.
Mkuu nchi hii ina mambo, kuna foreigners kibao wanajulikana kuwa foreigners wana passport na Nida kabisa. Hapa pesa ndo kila kituAlirudi tanzania kwa pasport ya Tanzania au brazil port of entry? , je kwa kipindi hicho ilikuwa ni Electronic PASSPORT?
Mi naomba na takwimu za wanaoomba uraia WA Tanzania. Bila hivyo hii habari (na ujumbe wake uliolengwa) itakuwa imekosa kitu kimoja muhimu Sana!!
Oh, kumbe wanaotamani kuja ni wengi zaidi kuliko wanaoenda.......basi na WAKWENDE TU!