Watanzania 38 waukana uraia wa Tanzania

Watanzania 38 waukana uraia wa Tanzania

Mm naona haya mambo hayana issue hata ukiiukana ukitaka kurudi kuwa nyumbani unarudi na unaendelea na maisha yako. Kuna Jamaa yetu mmoja alikaa brazil miaka 30[emoji38][emoji23][emoji1787] Karudi juzijuzi tu anauraia wa Brazil na Passport ya Brazil hataki tena kurudi Brazil anaotesha tu vitu ardhini na ashapata passport ya hapa Tz bado Nida navenginevyo nasemaga hivi akitaka kuondoka siwatamdaka huyu.
Uingereza washkaji kibao wana british passport na na passport ya Tanzania na wanazitumia zote.

Wahapahapa hawawezi kulijuwa hili, hizi ni siri za jandoni.
 
Mi naomba na takwimu za wanaoomba uraia WA Tanzania. Bila hivyo hii habari (na ujumbe wake uliolengwa) itakuwa imekosa kitu kimoja muhimu Sana!!
 
Hao ni “watu wetu” wako kwenye kazi maalum.
Hakuna chochote kaZi maalum haina mipaka silazima uukane uraia bwana serikali inatuchelewesha kisa inaiogopa Kenya wakenya watakuja kununua ardhi yetu
 
Habari zaidi angalia kiambatanisho

View attachment 2215523
Kupata uraia wa Marekani hushurutishwi kuukana uraia wako mwingine.

Marekani inaruhusu dual citizenship.
Tena inapenda kuwa na watu tofauti wenye historia na uraia tofauti kujenga diversity.

Labda Watanzania ndio mnalazimisha watu wanaochukua uraia wa Marekani wawe wameukana uraia wa Tanzania bila kuukana.
 
Mi naomba na takwimu za wanaoomba uraia WA Tanzania. Bila hivyo hii habari (na ujumbe wake uliolengwa) itakuwa imekosa kitu kimoja muhimu Sana!!

Screenshot_20220507-200229.png
 
Back
Top Bottom