Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo sasa umefafanua vizuri hapa kwenye electronic passport,Ina leak wapi bhana mimi nishawahi tumia Passport ya Malawi kwenda nayo Angola na kurudi SA wakati huo huo nina passport ya Tanzania na SA zipo nyumbani (Cape town) Wamalawi walikua hawasumbuliwi kupata visa yao Angola nilipofanya mambo yangu nikaachana nayo na ya SA hivyo hivyo yaani nahitaji kufanya kitu wakati huo au safari Passport sio kikwazo kwangu hata leseni za udereva hivyo hivyo ila sasa hivi wameongeza vipengele kidogo..E Passpprt ni ngumu na haiwezekani ukawa nazo E mbili utadakwa tu Airport..
Kwanini umerudisha ya SA, wakati in nguvu kuliko ya Tz..?Kwa passpprt za sasa hivi hakuna kitu kama hicho hiyo ilikua zamani sisi wenyewe wakurungwa tumerudisha na kuifuta ID ya SA kwenye mfumo wao ili tuwe tunatambulika na ya kitanzania pekee huu mfumo wa E electronics ukiweka dole gumba tuu inasema una mikwaju mingapi hata kama umeacha nyumbani...
Kazi yake nilishaimaliza maana kipindi hicho ilikua mambo ya safari za Nje kuchukua Visa hazisumbui hata kupata kazi kwenye makampuni mengi ya tafiti ya mafuta baharini kwenye Oil rig zilikua zinapatikana hasa ukiwa na passport yao na pia kuleta Gari Tanzania au Zambia kwa usajili wa Uraia wa SA clearances zake zinafanyika haraka sana hata kutoka mipakani usumbufu hakuna na pia ilikua nakuja Tanzania kama mgeni na muda ukiisha natakiwa kuongeza muda kila wakati hizo mambo kufanya nyumbani hapana wakati SA kwenyewe hakueleweki siku yeyote wanafuta uraia wako wakiamua...Kwanini umerudisha ya SA, wakati in nguvu kuliko ya Tz..?
Ok nimekuelewa vyema mkuuKazi yake nilishaimaliza maana kipindi hicho ilikua mambo ya safari za Nje kuchukua Visa hazisumbui hata kupata kazi kwenye makampuni mengi ya tafiti ya mafuta baharini kwenye Oil rig zilikua zinapatikana hasa ukiwa na passport yao na pia kuleta Gari Tanzania au Zambia kwa usajili wa Uraia wa SA clearances zake zinafanyika haraka sana hata kutoka mipakani usumbufu hakuna na pia ilikua nakuja Tanzania kama mgeni na muda ukiisha natakiwa kuongeza muda kila wakati hizo mambo kufanya nyumbani hapana wakati SA kwenyewe hakueleweki siku yeyote wanafuta uraia wako wakiamua...