Watanzania 38 waukana uraia wa Tanzania

Watanzania 38 waukana uraia wa Tanzania

Na bado watahama wengi mno maana hapa hakuna kinachoeleweka

Tunawasindikiza tu walamba asali na familia zao.

Kila mara wanatutisha mara ooh nchi yetu ooh chama chetu.

Taratiibu watu wanajikataa namna hiyo.
Teh teh

Hata kipind kilichopita watu wengi walitambaa,wafanyabiashara etc
Ndy mambo ya nchi mzee

Ova
 
Hata Arusha, wengi Sana Wana passport za Kenya na tz
Kwa passpprt za sasa hivi hakuna kitu kama hicho hiyo ilikua zamani sisi wenyewe wakurungwa tumerudisha na kuifuta ID ya SA kwenye mfumo wao ili tuwe tunatambulika na ya kitanzania pekee huu mfumo wa E electronics ukiweka dole gumba tuu inasema una mikwaju mingapi hata kama umeacha nyumbani...
 
Ishi hivyo lakini information isileak
Ina leak wapi bhana mimi nishawahi tumia Passport ya Malawi kwenda nayo Angola na kurudi SA wakati huo huo nina passport ya Tanzania na SA zipo nyumbani (Cape town) Wamalawi walikua hawasumbuliwi kupata visa yao Angola nilipofanya mambo yangu nikaachana nayo na ya SA hivyo hivyo yaani nahitaji kufanya kitu wakati huo au safari Passport sio kikwazo kwangu hata leseni za udereva hivyo hivyo ila sasa hivi wameongeza vipengele kidogo..E Passpprt ni ngumu na haiwezekani ukawa nazo E mbili utadakwa tu Airport..
 
Back
Top Bottom