Watanzania acheni unafiki, ina maana kifo cha Ivan kimewauma kuliko Dogo Mfaume?

Watanzania acheni unafiki, ina maana kifo cha Ivan kimewauma kuliko Dogo Mfaume?

Watanzania kwa unafiki tu hatujambo, sishangai ndio maana hatuendelei.

Leo nimeshangaa sana baada ya kuingia kwenye mitandao ya kijamii nakuta watu wengi wakilia na kuonyesha kuumia sana na kifo cha Ivan, kwanza niseme tu mimi nilikua simjui huyo ndugu, nikataka kujua ni mtu wa wapi nikaambiwa ni mganda alikua mume wa mke wa Daimondi.

Nikauliza kama ni msanii labda wa muziki au maigizo nikaambiwa hapana ni social celebrity tu, anyway sina shida na hilo lakini kilichonishangaza ni kukuta watu kuonekana wameumia sana na kifo cha Ivan kuliko mtanzania mwenzao Dogo mfaume ambae amezikwa juzi na sikuona msanii yoyote ametupia picha ya dogo mfaume au basi kutoa pole.

Utashangaa kifo cha Ivan kimewaumiza sana watanzania kuliko mtanzania mwenzao aliefariki juzi tu hapa, na utashangaa kujua kua watanzania wameumia sana na kifo cha Ivan kuliko hata waganda.

Unafiki jambo baya sana.
Ile COMA.ndo imewahuzunisha watu.
Dogo mfaume nadhani unajua chanzo cha kifo chake.
Alafu tusipangiane nani wa kumlilia.
 
upload_2017-5-25_13-3-24.jpeg
dafwbef1hav90yx5926610fb88bb.jpg
 
Yile dogo mfaume alikuwa mubuya ngada sasa ss watu wazima nahakilizetu tukajadili mubuya unga.. Ivani tunasikitika kwasababu alikuwa nimti anaejitambua najambo lingine alikua nimtu mwenyeuwezo wakufeza maana alikua namakampuni.. Hatusikitiki sana kwasababu kafatajili bali tunawasilitikia wafanyakaziwake waliopo maana makampuni mengi ya kiafirika anapokufa mwenyekampuni na makampuni yake huishia pale inamaana ajila za wafanyakaziwake ziko lehani.nakwavile watotowake bado niwadogo nawao wanaweza kupigwa changa la macho mali zababayao zikaliwa nawajanja hilo ndilolilo tuhuzunisha
Mmmmm ndo sante kayumba ama??? Umeandika lugha gani??? We umeshawah kuona hayo makampuni?? Watu mnajifanya kumjua Ivan kwa kumuona insta... watanzania sijui tukoje...
 
Pooovuuuu


Acha kumuonea marehemu wivu
Jifunze kusoma na kuelewa kabla hujawashwa kujibu, wapi nimesema yeye sio binadam na hatakiwi kuliliwa? Kabl hujakurupuka kujibu jambo lolote jitahidi kwanza kuelewa usije kuonekana mweupe kichwani hata kwa vitu vilivyo wazi kabisa hata mtoto wa chekechea anaweza kuvielewa.
 
Watanzania kwa unafiki tu hatujambo, sishangai ndio maana hatuendelei.

Leo nimeshangaa sana baada ya kuingia kwenye mitandao ya kijamii nakuta watu wengi wakilia na kuonyesha kuumia sana na kifo cha Ivan, kwanza niseme tu mimi nilikua simjui huyo ndugu, nikataka kujua ni mtu wa wapi nikaambiwa ni mganda alikua mume wa mke wa Daimondi.

Nikauliza kama ni msanii labda wa muziki au maigizo nikaambiwa hapana ni social celebrity tu, anyway sina shida na hilo lakini kilichonishangaza ni kukuta watu kuonekana wameumia sana na kifo cha Ivan kuliko mtanzania mwenzao Dogo mfaume ambae amezikwa juzi na sikuona msanii yoyote ametupia picha ya dogo mfaume au basi kutoa pole.

Utashangaa kifo cha Ivan kimewaumiza sana watanzania kuliko mtanzania mwenzao aliefariki juzi tu hapa, na utashangaa kujua kua watanzania wameumia sana na kifo cha Ivan kuliko hata waganda.

Unafiki jambo baya sana.
Uko sahihi saaana Mkuu... Watanzania nani katuroga na haka katabia ya kushobokea vya wapita njia... Aibu sana hii
 
VITU VITAKAVYOFANYA IVAN SEMWENGA EX HUSBAND WA ZARI AKUMBUKWE NI HIVI​

 
Bila shaka Diamond atakuwa anashangilia kimoyomoyo..! Raha ya single mother baba mtoto/afariki tu.
 
Pesa INA nguvu sana mkuu!
Hapo usitafute mchawi jombaaaa!
Hiyo yote imetokana Na nguvu ya shekeri
Mkuu ukifikiria mtonyo aliokuwa nao na ameuacha lazima ikuume....Kinachouma ni mtonyo hapo alioucha jamaa....Mtonyo mkuuu yaani hapo mtonyooo
 
Msiba wa tajiri ni zaidi ya msiba wa maskini.
Dogo mfaume angekuwa na pesa mingi leo angekuwa talk of the town. Why msiba wake hausikiki? No money.

Why ivan msiba wake unasikika? Simply because of money.. and ofcourse zari...
 
Pesa INA nguvu sana mkuu!
Hapo usitafute mchawi jombaaaa!
Hiyo yote imetokana Na nguvu ya shekeri
Mkuu ukifikiria mtonyo aliokuwa nao na ameuacha lazima ikuume....Kinachouma ni mtonyo hapo alioucha jamaa....Mtonyo mkuuu yaani hapo mtonyooo
Jamaa alikuwa vizuri aisee!
 
Watanzania kwa unafiki tu hatujambo, sishangai ndio maana hatuendelei.

Leo nimeshangaa sana baada ya kuingia kwenye mitandao ya kijamii nakuta watu wengi wakilia na kuonyesha kuumia sana na kifo cha Ivan, kwanza niseme tu mimi nilikua simjui huyo ndugu, nikataka kujua ni mtu wa wapi nikaambiwa ni mganda alikua mume wa mke wa Daimondi.

Nikauliza kama ni msanii labda wa muziki au maigizo nikaambiwa hapana ni social celebrity tu, anyway sina shida na hilo lakini kilichonishangaza ni kukuta watu kuonekana wameumia sana na kifo cha Ivan kuliko mtanzania mwenzao Dogo mfaume ambae amezikwa juzi na sikuona msanii yoyote ametupia picha ya dogo mfaume au basi kutoa pole.

Utashangaa kifo cha Ivan kimewaumiza sana watanzania kuliko mtanzania mwenzao aliefariki juzi tu hapa, na utashangaa kujua kua watanzania wameumia sana na kifo cha Ivan kuliko hata waganda.

Unafiki jambo baya sana.
Umenena yaliyo sawa .Hasa wasanii wa Bongo movie
 
Back
Top Bottom