Watanzania bara na visiwani ombeni juu ya uchaguzi 2025

Watanzania bara na visiwani ombeni juu ya uchaguzi 2025

TumainiEl

JF-Expert Member
Joined
Jan 13, 2010
Posts
6,782
Reaction score
12,716
Ndugu zangu watanzani kuna Mungu ktk Taifa la Tanzania ukiacha vyombo vya ulinzi na usalama na serikali pamoja na viongozi wake Mungu yupo.

Mungu anazungumza na watanzania, Mungu anazungumza na watawala.
Hakuna alie juwa siku moja nitakuwa kiongozi wa juu wa Taifa yote huja kwa rehema na neema za Mungu hivyo mlioko kwenye madaraka kumbukeni sio lazima urudi ktk kiti umekikalia kumbukeni sio lazima urudi ktk kiti umekikalia. Unaweza tumia nguvu na kila aina ya sarakasi kutaka ukikalie tena kiti ila kumbukeni bado mnaweza msikikalie.

Madaraka nikama koti lakuazima msijisahau wapo mnatamani viti zaidi ya hivyo mmevikalia ila wapo mnatamani kurudi viti vyenu vile vile hayo tumwachie Mungu hakuna ajuwaye.

Haki ndio msingi wa madaraka yenu mlio nayo tendeni haki maana kipengele hiki kitamfanya Mungu mwenyewe shuka nakuwatete wale wanyonge hakuna haja yakuandamana wala kufunga barabara ila Mungu mwenyewe anasema yeye ni Mungu wa haki.

Baada ya kusema hayo Mungu ananionyesha tusipo yatambuwa haya nimeanza nayo basi dhoruba inaweza kukipiga chombo na dhoruba yaweza kuwa kali sana ambayo haijawahi kushuhudiwa tangu kuanza kwa history ya vyama vingi. Kuna kila dalili ikiwa Mungu ataona inafaa kwa masilahi ya Taifa hili basi ata achia dhoruba ili tukae sawa na kisha tumuogope na hapa ndipo nakuomba ndugu Mtanzania ombea Taifa lako ombea viongozi na watanzania. Hatuto kuwa taif la kwanza wala lamwisho kukumbwa na dhoruba Mungu anatukumbusha kusoma alam za nyakati tunapo toka na kule tunaenda. Amen.

NB
Huu niutabiri ya yale nayaona ktk pich zakiroho sio lazima utimie maana kumbuka nimesema tuombe na hiyo ndio nji pekee kusimamisha dhoruba.
 
Ndugu zangu watanzani kuna Mungu ktk Taifa la Tanzania ukiacha vyombo vya ulinzi na usalama na serikali pamoja na viongozi wake Mungu yupo.

Mungu anazungumza na watanzania, Mungu anazungumza na watawala.
Hakuna alie juwa siku moja nitakuwa kiongozi wa juu wa Taifa yote huja kwa rehema na neema za Mungu hivyo mlioko kwenye madaraka kumbukeni sio lazima urudi ktk kiti umekikalia kumbukeni sio lazima urudi ktk kiti umekikalia. Unaweza tumia nguvu na kila aina ya sarakasi kutaka ukikalie tena kiti ila kumbukeni bado mnaweza msikikalie.

Madaraka nikama koti lakuazima msijisahau wapo mnatamani viti zaidi ya hivyo mmevikalia ila wapo mnatamani kurudi viti vyenu vile vile hayo tumwachie Mungu hakuna ajuwaye.

Haki ndio msingi wa madaraka yenu mlio nayo tendeni haki maana kipengele hiki kitamfanya Mungu mwenyewe shuka nakuwatete wale wanyonge hakuna haja yakuandamana wala kufunga barabara ila Mungu mwenyewe anasema yeye ni Mungu wa haki.

Baada ya kusema hayo Mungu ananionyesha tusipo yatambuwa haya nimeanza nayo basi dhoruba inaweza kukipiga chombo na dhoruba yaweza kuwa kali sana ambayo haijawahi kushuhudiwa tangu kuanza kwa history ya vyama vingi. Kuna kila dalili ikiwa Mungu ataona inafaa kwa masilahi ya Taifa hili basi ata achia dhoruba ili tukae sawa na kisha tumuogope na hapa ndipo nakuomba ndugu Mtanzania ombea Taifa lako ombea viongozi na watanzania. Hatuto kuwa taif la kwanza wala lamwisho kukumbwa na dhoruba Mungu anatukumbusha kusoma alam za nyakati tunapo toka na kule tunaenda. Amen.

NB
Huu niutabiri ya yale nayaona ktk pich zakiroho sio lazima utimie maana kumbuka nimesema tuombe na hiyo ndio nji pekee kusimamisha dhoruba.
Kwa Neema na Baraka za Mungu uchaguzi wa 2025, utakua huru, wa haki, wazi na wa Amani kuliko chaguzi zote zilizowahi kufanyika nchi hii.

wananchi wajitikeze kwa wingi kupiga kura 🐒
 
Tumaini lililobaki
20241201_064532.jpg
 
Ndugu zangu Watanzani kuna Mungu ktk Taifa la Tanzania ukiacha vyombo vya ulinzi na usalama na serikali pamoja na viongozi wake Mungu yupo.
Naunga mkono hoja,ni kweli Mungu yupo,ndie huweka serikali za mataifa,hata JPM aliletwa na Mungu,akatwaliwa na Mungu,na kutuletea Samia。
Mungu anazungumza na Watanzania, Mungu anazungumza na watawala.
Ni kweli
Hakuna alie juwa siku moja nitakuwa kiongozi wa juu wa Taifa yote huja kwa rehema na neema za Mungu
Ni kweli na tunakuombea uwe
hivyo mlioko kwenye madaraka kumbukeni sio lazima urudi ktk kiti umekikalia kumbukeni sio lazima urudi ktk kiti umekikalia.
Ni kweli,hili hata akina sisi tumelisema,na mfano mzuri ni 2025 tumeamua twende na mwanamke Watanzania, tuunge mkono 2025 ni zamu ya Mwanamke, ila sio lazima awe yeye bali yule aliyepangiwa na 'YEYE', kama ni yeye aliyepangiwa, then ni yeye!
Unaweza tumia nguvu na kila aina ya sarakasi kutaka ukikalie tena kiti ila kumbukeni bado mnaweza msikikalie.
Ni kweli,kwasababu anayeamua nani akalie kiti sio mamlaka yetu,ni mamlaka Kuu。
Madaraka nikama koti lakuazima msijisahau wapo mnatamani viti zaidi ya hivyo mmevikalia ila wapo mnatamani kurudi viti vyenu vile vile hayo tumwachie Mungu hakuna ajuwaye.
Ni kweli
Haki ndio msingi wa madaraka yenu mlio nayo tendeni haki maana kipengele hiki kitamfanya Mungu mwenyewe ashuke na kuwatetea wale wanyonge,
Ni kweli kwasababu ni watu wake!
hakuna haja yakuandamana wala kufunga barabara ila Mungu mwenyewe anasema yeye ni Mungu wa haki.
Ni kweli
Baada ya kusema hayo Mungu ananionyesha tusipo yatambuwa haya nimeanza nayo basi dhoruba inaweza kukipiga chombo na dhoruba yaweza kuwa kali sana ambayo haijawahi kushuhudiwa tangu kuanza kwa history ya vyama vingi.
Ni kweli,na uchofanya hapa ni kazi ya Mungu
Kuna kila dalili ikiwa Mungu ataona inafaa kwa masilahi ya Taifa hili basi ata achia dhoruba ili tukae sawa na kisha tumuogope na hapa ndipo nakuomba ndugu Mtanzania ombea Taifa lako ombea viongozi na watanzania.
Naunga mkono hoja,japo Tanzania ni taifa la Mungu,sometimes Mungu huliadhibu taifa lake likimkosea,na huwaadhibu viongozi wa taifa lake,wakimkosea。
Hatuto kuwa taifa la kwanza wala la mwisho kukumbwa na dhoruba Mungu anatukumbusha kusoma alama za nyakati tunapo toka na kule tunaenda. Amen.
Amen
NB
Huu niutabiri ya yale nayaona ktk picha za kiroho sio lazima utimie maana kumbuka nimesema tuombe na hiyo ndio njia pekee kusimamisha dhoruba.
Naunga mkono hoja,ukionyeshwa kitu,ukakisema kama hivi,unakuwa umetimiza wajibu wako,hivyo kuwezesha kuomba ili kuepusha shari。

Wakati nyie wenzetu mnaobyeshwa,tupo akina sisi huwa tunaambiwa kwa sauti ya ndani ,voices from within,sauti kuhusu 2025 ni HII sauti。
P
 
Kwa Neema na Baraka za Mungu uchaguzi wa 2025, utakua huru, wa haki, wazi na wa Amani kuliko chaguzi zote zilizowahi kufanyika nchi hii.

wananchi wajitikeze kwa wingi kupiga kura 🐒
Thubutuuuu...endelea kuwa bundi wa kizimkazi, kaniki zitashuka bei soon.
 
Thubutuuuu...endelea kuwa bundi wa kizimkazi, kaniki zitashuka bei soon.
uchaguzi wa Amani mno utafanyika Tanzania bila mihemko wala mbambamba za mtu yeyote gentleman.

Neema na Baraka za Mungu zitakua juu ya waTanzania wote daima 🐒
 
Kama uliopita?
ikiwapendeza pia hamasishaneni msiende kupiga kura halafu mwishoni kabisa ndio muanze kurusha miguu na kupiga mayowe eti kuna wizi wa kura dah

mawenge ni kitu kibaya sana aise 🐒
 
Back
Top Bottom