Tlaatlaah
JF-Expert Member
- May 18, 2023
- 24,665
- 25,388
the same to you in advance gentleman 🐒R.i.p
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
the same to you in advance gentleman 🐒R.i.p
I am sure this time atapiga wale madalali uchwara wa upinzani wanaouza nafasi za uongozi kwa vipande vya pesaNdugu zangu watanzani kuna Mungu ktk Taifa la Tanzania ukiacha vyombo vya ulinzi na usalama na serikali pamoja na viongozi wake Mungu yupo.
Mungu anazungumza na watanzania, Mungu anazungumza na watawala.
Hakuna alie juwa siku moja nitakuwa kiongozi wa juu wa Taifa yote huja kwa rehema na neema za Mungu hivyo mlioko kwenye madaraka kumbukeni sio lazima urudi ktk kiti umekikalia kumbukeni sio lazima urudi ktk kiti umekikalia. Unaweza tumia nguvu na kila aina ya sarakasi kutaka ukikalie tena kiti ila kumbukeni bado mnaweza msikikalie.
Madaraka nikama koti lakuazima msijisahau wapo mnatamani viti zaidi ya hivyo mmevikalia ila wapo mnatamani kurudi viti vyenu vile vile hayo tumwachie Mungu hakuna ajuwaye.
Haki ndio msingi wa madaraka yenu mlio nayo tendeni haki maana kipengele hiki kitamfanya Mungu mwenyewe shuka nakuwatete wale wanyonge hakuna haja yakuandamana wala kufunga barabara ila Mungu mwenyewe anasema yeye ni Mungu wa haki.
Baada ya kusema hayo Mungu ananionyesha tusipo yatambuwa haya nimeanza nayo basi dhoruba inaweza kukipiga chombo na dhoruba yaweza kuwa kali sana ambayo haijawahi kushuhudiwa tangu kuanza kwa history ya vyama vingi. Kuna kila dalili ikiwa Mungu ataona inafaa kwa masilahi ya Taifa hili basi ata achia dhoruba ili tukae sawa na kisha tumuogope na hapa ndipo nakuomba ndugu Mtanzania ombea Taifa lako ombea viongozi na watanzania. Hatuto kuwa taif la kwanza wala lamwisho kukumbwa na dhoruba Mungu anatukumbusha kusoma alam za nyakati tunapo toka na kule tunaenda. Amen.
NB
Huu niutabiri ya yale nayaona ktk pich zakiroho sio lazima utimie maana kumbuka nimesema tuombe na hiyo ndio nji pekee kusimamisha dhoruba.
CrapR.i.p
Huyo ni Mungu au mungu?Ndugu zangu watanzani kuna Mungu ktk Taifa la Tanzania ukiacha vyombo vya ulinzi na usalama na serikali pamoja na viongozi wake Mungu yupo.
Mungu anazungumza na watanzania, Mungu anazungumza na watawala.
Hakuna alie juwa siku moja nitakuwa kiongozi wa juu wa Taifa yote huja kwa rehema na neema za Mungu hivyo mlioko kwenye madaraka kumbukeni sio lazima urudi ktk kiti umekikalia kumbukeni sio lazima urudi ktk kiti umekikalia. Unaweza tumia nguvu na kila aina ya sarakasi kutaka ukikalie tena kiti ila kumbukeni bado mnaweza msikikalie.
Madaraka nikama koti lakuazima msijisahau wapo mnatamani viti zaidi ya hivyo mmevikalia ila wapo mnatamani kurudi viti vyenu vile vile hayo tumwachie Mungu hakuna ajuwaye.
Haki ndio msingi wa madaraka yenu mlio nayo tendeni haki maana kipengele hiki kitamfanya Mungu mwenyewe shuka nakuwatete wale wanyonge hakuna haja yakuandamana wala kufunga barabara ila Mungu mwenyewe anasema yeye ni Mungu wa haki.
Baada ya kusema hayo Mungu ananionyesha tusipo yatambuwa haya nimeanza nayo basi dhoruba inaweza kukipiga chombo na dhoruba yaweza kuwa kali sana ambayo haijawahi kushuhudiwa tangu kuanza kwa history ya vyama vingi. Kuna kila dalili ikiwa Mungu ataona inafaa kwa masilahi ya Taifa hili basi ata achia dhoruba ili tukae sawa na kisha tumuogope na hapa ndipo nakuomba ndugu Mtanzania ombea Taifa lako ombea viongozi na watanzania. Hatuto kuwa taif la kwanza wala lamwisho kukumbwa na dhoruba Mungu anatukumbusha kusoma alam za nyakati tunapo toka na kule tunaenda. Amen.
NB
Huu niutabiri ya yale nayaona ktk pich zakiroho sio lazima utimie maana kumbuka nimesema tuombe na hiyo ndio nji pekee kusimamisha dhoruba.
Mungu/mungu wa Tanzania jina lake nani?Ndugu zangu watanzani kuna Mungu ktk Taifa la Tanzania ukiacha vyombo vya ulinzi na usalama na serikali pamoja na viongozi wake Mungu yupo.
Mungu anazungumza na watanzania, Mungu anazungumza na watawala.
Hakuna alie juwa siku moja nitakuwa kiongozi wa juu wa Taifa yote huja kwa rehema na neema za Mungu hivyo mlioko kwenye madaraka kumbukeni sio lazima urudi ktk kiti umekikalia kumbukeni sio lazima urudi ktk kiti umekikalia. Unaweza tumia nguvu na kila aina ya sarakasi kutaka ukikalie tena kiti ila kumbukeni bado mnaweza msikikalie.
Madaraka nikama koti lakuazima msijisahau wapo mnatamani viti zaidi ya hivyo mmevikalia ila wapo mnatamani kurudi viti vyenu vile vile hayo tumwachie Mungu hakuna ajuwaye.
Haki ndio msingi wa madaraka yenu mlio nayo tendeni haki maana kipengele hiki kitamfanya Mungu mwenyewe shuka nakuwatete wale wanyonge hakuna haja yakuandamana wala kufunga barabara ila Mungu mwenyewe anasema yeye ni Mungu wa haki.
Baada ya kusema hayo Mungu ananionyesha tusipo yatambuwa haya nimeanza nayo basi dhoruba inaweza kukipiga chombo na dhoruba yaweza kuwa kali sana ambayo haijawahi kushuhudiwa tangu kuanza kwa history ya vyama vingi. Kuna kila dalili ikiwa Mungu ataona inafaa kwa masilahi ya Taifa hili basi ata achia dhoruba ili tukae sawa na kisha tumuogope na hapa ndipo nakuomba ndugu Mtanzania ombea Taifa lako ombea viongozi na watanzania. Hatuto kuwa taif la kwanza wala lamwisho kukumbwa na dhoruba Mungu anatukumbusha kusoma alam za nyakati tunapo toka na kule tunaenda. Amen.
NB
Huu niutabiri ya yale nayaona ktk pich zakiroho sio lazima utimie maana kumbuka nimesema tuombe na hiyo ndio nji pekee kusimamisha dhoruba.
Ombi langu ni kuwa uwapali zaidi wasimamizi wasaidizi na waenguaji zaidi ya sasa hata kikohozi au maji yakunywa yawe ni pilipili katika kutuliza kupaliwa kwao.Ndugu zangu watanzani kuna Mungu ktk Taifa la Tanzania ukiacha vyombo vya ulinzi na usalama na serikali pamoja na viongozi wake Mungu yupo.
Mungu anazungumza na watanzania, Mungu anazungumza na watawala.
Hakuna alie juwa siku moja nitakuwa kiongozi wa juu wa Taifa yote huja kwa rehema na neema za Mungu hivyo mlioko kwenye madaraka kumbukeni sio lazima urudi ktk kiti umekikalia kumbukeni sio lazima urudi ktk kiti umekikalia. Unaweza tumia nguvu na kila aina ya sarakasi kutaka ukikalie tena kiti ila kumbukeni bado mnaweza msikikalie.
Madaraka nikama koti lakuazima msijisahau wapo mnatamani viti zaidi ya hivyo mmevikalia ila wapo mnatamani kurudi viti vyenu vile vile hayo tumwachie Mungu hakuna ajuwaye.
Haki ndio msingi wa madaraka yenu mlio nayo tendeni haki maana kipengele hiki kitamfanya Mungu mwenyewe shuka nakuwatete wale wanyonge hakuna haja yakuandamana wala kufunga barabara ila Mungu mwenyewe anasema yeye ni Mungu wa haki.
Baada ya kusema hayo Mungu ananionyesha tusipo yatambuwa haya nimeanza nayo basi dhoruba inaweza kukipiga chombo na dhoruba yaweza kuwa kali sana ambayo haijawahi kushuhudiwa tangu kuanza kwa history ya vyama vingi. Kuna kila dalili ikiwa Mungu ataona inafaa kwa masilahi ya Taifa hili basi ata achia dhoruba ili tukae sawa na kisha tumuogope na hapa ndipo nakuomba ndugu Mtanzania ombea Taifa lako ombea viongozi na watanzania. Hatuto kuwa taif la kwanza wala lamwisho kukumbwa na dhoruba Mungu anatukumbusha kusoma alam za nyakati tunapo toka na kule tunaenda. Amen.
NB
Huu niutabiri ya yale nayaona ktk pich zakiroho sio lazima utimie maana kumbuka nimesema tuombe na hiyo ndio nji pekee kusimamisha dhoruba.
Wakitenda haki lazima wateme ndoano! Hiki chama kinaogopwa mpaka na mapolishi!Tumaini lililobakiView attachment 3166995
Huyo Mungu yupo wapi wakati watu wanatekwa na kunyongwa kila siku!Ndugu zangu watanzani kuna Mungu ktk Taifa la Tanzania ukiacha vyombo vya ulinzi na usalama na serikali pamoja na viongozi wake Mungu yupo.
Mungu anazungumza na watanzania, Mungu anazungumza na watawala.
Hakuna alie juwa siku moja nitakuwa kiongozi wa juu wa Taifa yote huja kwa rehema na neema za Mungu hivyo mlioko kwenye madaraka kumbukeni sio lazima urudi ktk kiti umekikalia kumbukeni sio lazima urudi ktk kiti umekikalia. Unaweza tumia nguvu na kila aina ya sarakasi kutaka ukikalie tena kiti ila kumbukeni bado mnaweza msikikalie.
Madaraka nikama koti lakuazima msijisahau wapo mnatamani viti zaidi ya hivyo mmevikalia ila wapo mnatamani kurudi viti vyenu vile vile hayo tumwachie Mungu hakuna ajuwaye.
Haki ndio msingi wa madaraka yenu mlio nayo tendeni haki maana kipengele hiki kitamfanya Mungu mwenyewe shuka nakuwatete wale wanyonge hakuna haja yakuandamana wala kufunga barabara ila Mungu mwenyewe anasema yeye ni Mungu wa haki.
Baada ya kusema hayo Mungu ananionyesha tusipo yatambuwa haya nimeanza nayo basi dhoruba inaweza kukipiga chombo na dhoruba yaweza kuwa kali sana ambayo haijawahi kushuhudiwa tangu kuanza kwa history ya vyama vingi. Kuna kila dalili ikiwa Mungu ataona inafaa kwa masilahi ya Taifa hili basi ata achia dhoruba ili tukae sawa na kisha tumuogope na hapa ndipo nakuomba ndugu Mtanzania ombea Taifa lako ombea viongozi na watanzania. Hatuto kuwa taif la kwanza wala lamwisho kukumbwa na dhoruba Mungu anatukumbusha kusoma alam za nyakati tunapo toka na kule tunaenda. Amen.
NB
Huu niutabiri ya yale nayaona ktk pich zakiroho sio lazima utimie maana kumbuka nimesema tuombe na hiyo ndio nji pekee kusimamisha dhoruba.
Huna kitu chochote wewe mganga njaa eti unajifanya mtabiri. Mashudu matupu. Unaye mtaka ni marehemu hawezi kufufuka.Ndugu zangu watanzani kuna Mungu ktk Taifa la Tanzania ukiacha vyombo vya ulinzi na usalama na serikali pamoja na viongozi wake Mungu yupo.
Mungu anazungumza na watanzania, Mungu anazungumza na watawala.
Hakuna alie juwa siku moja nitakuwa kiongozi wa juu wa Taifa yote huja kwa rehema na neema za Mungu hivyo mlioko kwenye madaraka kumbukeni sio lazima urudi ktk kiti umekikalia kumbukeni sio lazima urudi ktk kiti umekikalia. Unaweza tumia nguvu na kila aina ya sarakasi kutaka ukikalie tena kiti ila kumbukeni bado mnaweza msikikalie.
Madaraka nikama koti lakuazima msijisahau wapo mnatamani viti zaidi ya hivyo mmevikalia ila wapo mnatamani kurudi viti vyenu vile vile hayo tumwachie Mungu hakuna ajuwaye.
Haki ndio msingi wa madaraka yenu mlio nayo tendeni haki maana kipengele hiki kitamfanya Mungu mwenyewe shuka nakuwatete wale wanyonge hakuna haja yakuandamana wala kufunga barabara ila Mungu mwenyewe anasema yeye ni Mungu wa haki.
Baada ya kusema hayo Mungu ananionyesha tusipo yatambuwa haya nimeanza nayo basi dhoruba inaweza kukipiga chombo na dhoruba yaweza kuwa kali sana ambayo haijawahi kushuhudiwa tangu kuanza kwa history ya vyama vingi. Kuna kila dalili ikiwa Mungu ataona inafaa kwa masilahi ya Taifa hili basi ata achia dhoruba ili tukae sawa na kisha tumuogope na hapa ndipo nakuomba ndugu Mtanzania ombea Taifa lako ombea viongozi na watanzania. Hatuto kuwa taif la kwanza wala lamwisho kukumbwa na dhoruba Mungu anatukumbusha kusoma alam za nyakati tunapo toka na kule tunaenda. Amen.
NB
Huu niutabiri ya yale nayaona ktk pich zakiroho sio lazima utimie maana kumbuka nimesema tuombe na hiyo ndio nji pekee kusimamisha dhoruba.
Wazulu wangelikaa bila ya kupambana na makaburu wangekuwa kama red indians au Waborigin. Naona watanzania tumekuwa kama mazuzu
Tanzania ni Taifa lililokufa kiroho
Linaongozwa na watu waliokufa kiroho
Ndio maana Kuna ugumu wa wao kuongoza
Wachague kumrudia yeye atoaye madaraka au kufa na kamba shingoni 2025 uchaguzi haufiki Samia ajafa au kukimbia ikulu
Nani achukue form ili atekwe au apigwe risasi mbele ya mkewe?Kwa mambo yanayoendelea kama hatajitokeza mtu kuchukua fomu basi tumekwisha.
Hao wazee wajukuu zao wamepewa nafasi kwenye serikali kwahio hawawezi kupiga kelele wengine wanalelewa na hio hio serikali.Mungu/mungu wa Tanzania jina lake nani?
Au ni kikundi cha watu wahuni ndiyo unawaita mungu?
Kikundi kimeruhusu watu watekwe ovyo ovyo, kwani nchi haina utawala wa sheria?
Wenye kuonekana wanamakosa wafunguliwe kesi kuliko kuwateka na kuwaua.
Liko wapi baraza la usalama wa taifa?
Wako wapi wazee wastaafu waliolitumikia hili taifa kwa rank za juu, wameshindwa kuja pamoja wakakaa na kuwashauri watawala kwamba wanavyofanya sivyo?
Katiba hii ya 1977 wakati wa enzi zao ilikuwa sawa, wameshindwa kukamua kuwaweka mezani watawala na kuwashinikikiza kumalizia mchakato wa katiba mpya rasimu ile ya Warioba?
Hawa wazee wanafurahia kuwa na taifa la namna hii? Bandari kukodishwa watu wa nje?
Ngorongoro kupewa wajomba?
Wajukuu na vitunguu wa wastaafu wanaacha taifa la aina gani?
Hilo nalo nenoHao wazee wajukuu zao wamepewa nafasi kwenye serikali kwahio hawawezi kupiga kelele wengine wanalelewa na hio hio serikali.
Ndugu zangu watanzani kuna Mungu ktk Taifa la Tanzania ukiacha vyombo vya ulinzi na usalama na serikali pamoja na viongozi wake Mungu yupo.
Mungu anazungumza na watanzania, Mungu anazungumza na watawala.
Hakuna alie juwa siku moja nitakuwa kiongozi wa juu wa Taifa yote huja kwa rehema na neema za Mungu hivyo mlioko kwenye madaraka kumbukeni sio lazima urudi ktk kiti umekikalia kumbukeni sio lazima urudi ktk kiti umekikalia. Unaweza tumia nguvu na kila aina ya sarakasi kutaka ukikalie tena kiti ila kumbukeni bado mnaweza msikikalie.
Madaraka nikama koti lakuazima msijisahau wapo mnatamani viti zaidi ya hivyo mmevikalia ila wapo mnatamani kurudi viti vyenu vile vile hayo tumwachie Mungu hakuna ajuwaye.
Haki ndio msingi wa madaraka yenu mlio nayo tendeni haki maana kipengele hiki kitamfanya Mungu mwenyewe shuka nakuwatete wale wanyonge hakuna haja yakuandamana wala kufunga barabara ila Mungu mwenyewe anasema yeye ni Mungu wa haki.
Baada ya kusema hayo Mungu ananionyesha tusipo yatambuwa haya nimeanza nayo basi dhoruba inaweza kukipiga chombo na dhoruba yaweza kuwa kali sana ambayo haijawahi kushuhudiwa tangu kuanza kwa history ya vyama vingi. Kuna kila dalili ikiwa Mungu ataona inafaa kwa masilahi ya Taifa hili basi ata achia dhoruba ili tukae sawa na kisha tumuogope na hapa ndipo nakuomba ndugu Mtanzania ombea Taifa lako ombea viongozi na watanzania. Hatuto kuwa taif la kwanza wala lamwisho kukumbwa na dhoruba Mungu anatukumbusha kusoma alam za nyakati tunapo toka na kule tunaenda. Amen.
NB
Huu niutabiri ya yale nayaona ktk pich zakiroho sio lazima utimie maana kumbuka nimesema tuombe na hiyo ndio nji pekee kusimamisha dhoruba.