Kuna mwanafalsafa mmoja aliwahi kusema " Chunga tu afya yako maana maisha watu wanakuangalizia"
Ubinadamu kazi Sana, Kuna watu watataka kujua kila hatua ya maisha yako.Kuanzia kwenye vyakula unavyotumia,marafiki zako na wengine watakariri mavazi yako yote😂
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.