Kuna mwanafalsafa mmoja aliwahi kusema " Chunga tu afya yako maana maisha watu wanakuangalizia"
Ubinadamu kazi Sana, Kuna watu watataka kujua kila hatua ya maisha yako.Kuanzia kwenye vyakula unavyotumia,marafiki zako na wengine watakariri mavazi yako yote😂