Watanzania hampo kwenye vyuo bora ukanda huu. Kenya na Uganda zaongoza

Watanzania hampo kwenye vyuo bora ukanda huu. Kenya na Uganda zaongoza

Nyie hamtuambii chochote na Hao waganda wenu
Elimu yenu gani ?Ipi
Hii hapa 😂 😂 😂
2657658_2280048_ajira (1).jpg
 
Hizo huwa mnatutajia humu akina UDSM sijui UDOM hawapo hawatambuliki wala kusikika, ndugu zetu hata sayansi naona mnitelekeza kwa kauli za kuponda chanjo ya korona huku mkiendelea kupokea chanjo ya maradhi mengine kutoka kwa hao hao mabeberu.

The University of Nairobi has been ranked the top institution in East Africa and 13 in Africa by a new Webometrics Ranking.

Makerere University in Uganda was ranked 14th in Africa right behind UoN in East Africa, with Egerton University in Kenya ranking 37th in Africa and third in the region.

Eight Kenyan universities made it to the top 200 list in the new ranking of universities in Africa released this week. Kenyatta University is third in Kenya and 40 in Africa.

Moi University and Jomo Kenyatta University of Science and Agriculture (JKUAT) are position four and five in the country respectively. In the continent, they are ranked number 50 and 51 respectively.

Technical University of Kenya (TUK) was position 147 in Africa and sixth in Kenya. Maseno University follows closely at position seven in the country and 157 in the country. Strathmore took position eight in the country being the only private university in the top 200.

Masinde Muliro University of Science and Technology ranked number 218 in Africa and ninth in Kenya as University of Embu 229 in Africa summing up the top 10 list in Kenya

Watz wanaongoza kwenye chuo cha ushilawadu
 
Sasa bora mngekua hata na moja ya hizo, mkose elimu ila muwe tajiri, au mkose utajiri ila muelimike....mumenyimwa vyote...
Utajiri mnao kwenye raslimali ila kwa kukosa elimu mnaliwa kupita maelezo, tangu niskie mnazalisha gesi huko Mtwara ni kitambo, ila inapita mazima mazima na kwenda kunufaisha wenye elimu mabeberu.
Kwenu huko shamba la bibi niliona mnanyofolewa hadi vinyonga, yaani wenye elimu wanajichukulia kila kitu.... tatizo lenu wazembe wa kusoma, mkataba ukiandikwa kurasa 1,000 na wenye kingereza chenye misamiati, mnaomba wapi pakutia saini tu basi.
Mkataba mkopo wa China unawatokea puani, ila unapita vidole juu ukisema wengine. Huyo wa vinyonga ni wizi tu, ni sawa na vile tunakamata Wakenya wanaoiba miti ya kuchongea vinyago huko au Tanga.
 
Hawa ni mwendelezo wa ujinga tunaopambana nao kwa sasa, kiingereza ni lugha kama ilivyo kimasai, kimakonde au kijaluo, hivyo ni ujinga uliokithiri kuamini ubora wa elimu unapimwa kwa ufasaha wa kiingereza.
Ni wapi kiingereza kimetajwa kwenye hilo bango?
 
Hizo huwa mnatutajia humu akina UDSM sijui UDOM hawapo hawatambuliki wala kusikika, ndugu zetu hata sayansi naona mnitelekeza kwa kauli za kuponda chanjo ya korona huku mkiendelea kupokea chanjo ya maradhi mengine kutoka kwa hao hao mabeberu.

The University of Nairobi has been ranked the top institution in East Africa and 13 in Africa by a new Webometrics Ranking.

Makerere University in Uganda was ranked 14th in Africa right behind UoN in East Africa, with Egerton University in Kenya ranking 37th in Africa and third in the region.

Eight Kenyan universities made it to the top 200 list in the new ranking of universities in Africa released this week. Kenyatta University is third in Kenya and 40 in Africa.

Moi University and Jomo Kenyatta University of Science and Agriculture (JKUAT) are position four and five in the country respectively. In the continent, they are ranked number 50 and 51 respectively.

Technical University of Kenya (TUK) was position 147 in Africa and sixth in Kenya. Maseno University follows closely at position seven in the country and 157 in the country. Strathmore took position eight in the country being the only private university in the top 200.

Masinde Muliro University of Science and Technology ranked number 218 in Africa and ninth in Kenya as University of Embu 229 in Africa summing up the top 10 list in Kenya

Kwa hiyo unasemaje wewe nyang'au?! Mmeshamalizana na Al shabab? Nasikia wanakusanya Kodi katika baadhi ya maeneo huko kwenu...
 
Mkataba mkopo wa China unawatokea puani, ila unapita vidole juu ukisema wengine. Huyo wa vinyonga ni wizi tu, ni sawa na vile tunakamata Wakenya wanaoiba miti ya kuchongea vinyago huko au Tanga.

Unatutokea puani lini wakati tunateleza kwa reli ya SGR kilomita 600km, hiyo ni mara tatu ya kale kasafu kenu ka 200km kamekwamia huko maporini, nyie elimu imewashinda, umaskini umetamalaki na hamjui English.....hehehe watu wa ze ze ze...huwa napata raha sana nkiwakumbushia hili.
 
Hawa ni mwendelezo wa ujinga tunaopambana nao kwa sasa, kiingereza ni lugha kama ilivyo kimasai, kimakonde au kijaluo, hivyo ni ujinga uliokithiri kuamini ubora wa elimu unapimwa kwa ufasaha wa kiingereza.
Siku hizi tunafukuza walimu wote kutoka Kenya nadhani hana habari [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Hili nalo halina ubishi, sio kwa sampuli yao ile ya maprofesa ndomboloo, sijui kina Palamagamba. Wasomi lakini wakifungua midomo yao hata drop out wa darasa la kwanza anabaki mdomo wazi. Bila kumsahau yule mwanakemia wao na ile PhD yake ya kimagumashi.
 
Unatutokea puani lini wakati tunateleza kwa reli ya SGR kilomita 600km, hiyo ni mara tatu ya kale kasafu kenu ka 200km kamekwamia huko maporini, nyie elimu imewashinda, umaskini umetamalaki na hamjui English.....hehehe watu wa ze ze ze...huwa napata raha sana nkiwakumbushia hili.
Ukweli ni kwamba wakenya kwa kiingereza mko vizuri zaidi ya Tanzania. Hii haitokani na kuwa mna akili zaidi bali ni colonial legacy tu, sisi tokea enzi za mwalimu tulitaka lugha ya kwetu ambayo itatuunganisha pamoja. Na hapa niweke wazi, siyo kwamba Kenya ni ya kipekee hapana, kuna nchi nyingi ambazo ziliendelea kutoa kipaumbele kwa lugha ya Mkoloni kama Uganda, Ghana, etc. Na ukitaka kiingereza bora kabisa (pure English) ambacho hakijaathiriwa na lugha za asili nenda Malawi, Zimbabwe na Zambia. Pamoja na kiingereza kizuri, nchi tajwa hapo juu ndio zinaongoza kwa umaskini, ndio kusema hakuna uhusiano wa moja kwa moja kati ya lugha na maendeleo. Ukiona mtu anajisifu na lugha, jua umekutana na mfungwa anayehitaji intellectual salvation.
 
Wakenya kwa kujifanya wana elimu utadhani wameanza kutengeneza mabomu ya nuclear or something..

Upumbavu mtupu.
Hehehehee hawa huwa tunawanyoosha sn kwenye battle zetu huku [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Mngekuwa mna elimu bora msingeishi kibera kwa kudonyoa donyoa majalalani.

Manyang'au na elimu wapi na wapi!!!!

Ukishaokoteza vitakwimu uchwara vya kwenye google unavimba makalio wakati wote tunajua kwa hakika kwamba Kenya ni SHIT-HOLE!
 
Mnatia huruma bro, yaani kukataliwa hadi na elimu, hamskiki kabisa, mumeshindwa hata viinchi vidogo vidogo, ila sishangai maana nchi yote mpaka waliohitimu wote chali kwa kauli za rais, akisema hakuna corona hakuna UKIMWI hakuna Maralia yaani nyote mnaamini na kutetea na kusema kweli haipo. Elimu imewapiga chenga nchi yote.
Tutazidi kuwafunika kwenye kila kitu, kiuchumi, kijeshi (yeh kijeshi), kitaalam na vyote......hehehe napata raha sana.

Elimu yenu hii hapa Meya Manispaa ya Moshi awataka wajumbe waliovaa barakoa kuzivua
Uyo meya story yake inachekesha alafu alitoa 7bu ya kipuuzi sana kwamba mbona yeye hajavaa barakoa....Mimi ningemwambia Kama hukuona umuhimu Wa barakoa Mimi nimeona umuhimu wake...Chagua 1 nikupishe na mkutano wako au uendelee Uache kuniwaza
 
Back
Top Bottom