tuusan
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 17,972
- 20,221
1.Uchumi wetu unaendelea kukua wenu umesinyaaAcha mafeelings jombaa, thibitisha kwamba mna elimu bora zaidi ya Kenya. Ukitumia angalau akili zako za darasa la saba, sio hizi akili za vijiweni. (20Marks)
2.Tumeweza kuthubiti Rushwa kwa asilimia kubwa Nyie bado Rushwa ni kama kawa
3.Tumejaribu na tumeweza kutekeleza miradi mikubwa bila ya kutegemea mikopo ya nje! !
Haya mambo anafanyuika kwa kutumia Elimu bro sio nguvu
Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app