Watanzania hampo kwenye vyuo bora ukanda huu. Kenya na Uganda zaongoza

Watanzania hampo kwenye vyuo bora ukanda huu. Kenya na Uganda zaongoza

Naona umeamua kutokelezea na akili za makada was sisiemu. Bure kabisa, eti uchumi wa Kenya haukui? Tena Kenya inaenda kuwapiga double kwenye GDP. Miradi mmetekeleza mingapi hadi ikaisha ukilinganisha na Kenya? Umesahau zile 1.5T alizotafuna jiwe? Hebu rudi Lumumba ukaimbe sisiemu mbere kwa mbere ukimsifia Jiwe kwa miradi yake mikubwa ya maendeleo kule jamhuri mpya ya Chato.
Mkibanwa huwa mnakimbilia kuinanga CCM as if CCM ndo imeleta njaa nchini kwenu, mnasema nyie mna miradi sio mna miradi sema miradi tuliyofadhiliwa usione aibu [emoji3][emoji3][emoji3][emoji117][emoji117][emoji90][emoji90][emoji90][emoji90][emoji90][emoji90][emoji90][emoji90]
 
Mnatia huruma bro, yaani kukataliwa hadi na elimu, hamskiki kabisa, mumeshindwa hata viinchi vidogo vidogo, ila sishangai maana nchi yote mpaka waliohitimu wote chali kwa kauli za rais, akisema hakuna corona hakuna UKIMWI hakuna Maralia yaani nyote mnaamini na kutetea na kusema kweli haipo. Elimu imewapiga chenga nchi yote.
Tutazidi kuwafunika kwenye kila kitu, kiuchumi, kijeshi (yeh kijeshi), kitaalam na vyote......hehehe napata raha sana.

Elimu yenu hii hapa Meya Manispaa ya Moshi awataka wajumbe waliovaa barakoa kuzivua
Dah!!!! we ni fala kabisa ,subirini chakula tuwalimie ,endeleeni kujifungia ndani kama mabwana zenu walivyo waambia.
 
Hicho kizungu nilishakisoma zamani sana wakati wewe bado unaokota punje za githeri hapo Kibera.

Ndio maana wala sibabaiki nacho!....

Huko Kenya nasikia hata machokoraa wanaongea kizungu huku wakijipa matumaini kwamba wao ni wasomi... Hahahahaha...
Makenya ya siku hizi ni mamburula wala yasikuongopee, hayajui kingereza wala kiswahili yamekazana kujua lugha za makabila yao, hata muanzisha huu uzi ndugu MAHINA pia hajui kingereza ila angalau kiswahili anakijua jua kdg [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Hicho kizungu nilishakisoma zamani sana wakati wewe bado unaokota punje za githeri hapo Kibera.

Ndio maana wala sibabaiki nacho!....

Huko Kenya nasikia hata machokoraa wanaongea kizungu huku wakijipa matumaini kwamba wao ni wasomi... Hahahahaha...

Haujasoma kingereza, waliosoma kingereza huwa na akili zaidi ya ulivyo, tafuta sehemu upate darasa la kingereza.....hehehe napenda namna English huwakamata hadi raha, kinawatesa sana lakini.
 
Dah!!!! we ni fala kabisa ,subirini chakula tuwalimie ,endeleeni kujifungia ndani kama mabwana zenu walivyo waambia.

Elimu imewagomea, kingereza kimewagomea hehehehe raha sana....
 
Haujasoma kingereza
Acha kujishongondoa na kudeka. Ona humo minyang'au inavyojifia kwa njaa... hahah....
IMG_20210130_121302_654.JPG
 
Acha kujishongondoa na kudeka. Ona humo minyang'au inavyojifia kwa njaa... hahah....View attachment 1689860

Halafu hizo English medium naskia ni dili sana huko, hata mawaziri na wakulu wote wanahudhuria kimya kimya ili kuepuka aibu ya ze ze ze....
Wewe baki hapo Buza unachelewa...hehehehe
 
Heheheheee nahisi kuogopwa humu ndani kudadadeki, atokee mkunya wa kupinga kwa facts hii [emoji116][emoji116][emoji3][emoji3][emoji117][emoji117][emoji205][emoji205][emoji90][emoji90]
Screenshot_20210129-154017.jpg
 
Makenya ya siku hizi ni mamburula wala yasikuongopee, hayajui kingereza wala kiswahili yamekazana kujua lugha za makabila yao, hata muanzisha huu uzi ndugu MAHINA pia hajui kingereza ila angalau kiswahili anakijua jua kdg [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Kiingereza wanachozungumza hawa nyang'au ni second hand (makapi ya kizungu).

Lafudhi yenyewe ngumu kama kokoto! Sijui lafudhi ya Kikuyu ile? Hahahaaaa....

Kiswahili hawajui. Kizungu hawajui.... ni tafrani.

Huwa nawasikia wanazungumza ile takataka inaitwa sijui sheng... ni kichefuchefu.

Huyu zumbukuku muokota makopo wa kibera MK254 amejifunza Kiswahili humu Jamiiforums— tena kwa mbinde mno!

Mara ya kwanza alikuja na Kiswahili kichefuchefu sana. Kwa sasa anaandika huku kashika kamusi anakopi na kupesti hahahaaa....
 
Kiingereza wanachozingumza hawa nyang'au ni second hand (makapi ya kizungu).

Lafudhi yenyewe ngumu kama kokoto! Sijui lafudhi ya Kikuyu ile? Hahahaaaa....

Kiswahili hawajui. Kizungu hawajui.... ni tafrani.

Huwa nawasikia wanazungumza ile takataka inaitwa sijui sheng... ni kichefuchefu.

Huyu zumbukuku muokota makopo wa kibera MK254 amejifunza Kiswahili humu Jamiiforums.

Mara ya kwanza alikuja na Kiswahili kichefuchefu sana. Kwa sasa anaandika huku kashika kamusi hahahaaa....
Sheng ndo nn kwn mana huwa nawaskia hawa kenge wakiongea kuhusu sheng kwn ndo nn?
 
Kiingereza wanachozungumza hawa nyang'au ni second hand (makapi ya kizungu).

Lafudhi yenyewe ngumu kama kokoto! Sijui lafudhi ya Kikuyu ile? Hahahaaaa....

Kiswahili hawajui. Kizungu hawajui.... ni tafrani.

Huwa nawasikia wanazungumza ile takataka inaitwa sijui sheng... ni kichefuchefu.

Huyu zumbukuku muokota makopo wa kibera MK254 amejifunza Kiswahili humu Jamiiforums— tena kwa mbinde mno!

Mara ya kwanza alikuja na Kiswahili kichefuchefu sana. Kwa sasa anaandika huku kashika kamusi anakopi na kupesti hahahaaa....

Sema huwa pana aibu fulani lizee lote umekaa unafundishwa kingereza cha msingi, labda ndio maana unapata aibu ya kujiunga, lakini jikaze tu, siku utakijua yaani utajiamini na utapunguza hizi hasira hukuhangaisha kila siku.
 
Hivi unajua unaongea na nani,kwa taarifa yako tuu elimu niliyo nayo ni "official statistics" kwa ngazi ya masters ,ambayo wakenya na waganda uja kusomea Tanzania ,kwa sababu kwenu hakuna ,pia kwa elimu yangu hii naweza fanya kazi NBS yeyote africa.

Nimewaambia muache hasira mkajifunze kingereza.... nenda kasome ndio uje ujibizane na Wakenya.
 
SGR ilikua teknolojia mpya, ila usiwe na wasiwasi vijana wetu wanaendelea kurithi taratibu maana uwezo huo tunao, yaani hamna raha ya kuteleza kwenye SGR 600km
Hivi Harmonize kwenye wimbo wake wa kusifia CCM nilimsikia akisema mnateleza kwa SGR...hehehehe
🤣🤣🤣You on a killing spree..... watch out or else bensouda will come for you
 
Nimewaambia muache hasira mkajifunze kingereza.... nenda kasome ndio uje ujibizane na Wakenya.
Icho kiingereza tunakipiga we nyang'au sema hatupendi shobo.kazi tunazofanya Lugha hii kawaida Sana ndo yamazungumzo.wewe piga kelele urudi kambini slums za kibera.
 
Icho kiingereza tunakipiga we nyang'au sema hatupendi shobo.kazi tunazofanya Lugha hii kawaida Sana ndo yamazungumzo.wewe piga kelele urudi kambini slums za kibera.

Chenyewe kilishawakataa...kimewapiga chenga tangu kitambo... kutema yai kuna raha yake asikuambie mtu.
 
Chenyewe kilishawakataa...kimewapiga chenga tangu kitambo... kutema yai kuna raha yake asikuambie mtu.
Niko kalemii-Congo apa nafurahia lingara ya hawa wenyeji ,wanapiga pia kiswahili japo sio kwa lafudhi nzuri.ila wanapenda Sana hii Lugha ,sijutii sababu kiingereza nakitumia kwa kazi na issue ndogondogo mambo mengine Swahili Kama kawa.sasa wewe icho kiingereza unachojua kina kupa pesa ngapi per month?Au ndo inakufanya uwe royal family basi
 
Chenyewe kilishawakataa...kimewapiga chenga tangu kitambo... kutema yai kuna raha yake asikuambie mtu.
Hahahaaa hili jamaa huwa ni jinga sana, huwa linanichekesha sn sometimes [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Sasa bora mngekua hata na moja ya hizo, mkose elimu ila muwe tajiri, au mkose utajiri ila muelimike....mumenyimwa vyote...
Utajiri mnao kwenye raslimali ila kwa kukosa elimu mnaliwa kupita maelezo, tangu niskie mnazalisha gesi huko Mtwara ni kitambo, ila inapita mazima mazima na kwenda kunufaisha wenye elimu mabeberu.
Kwenu huko shamba la bibi niliona mnanyofolewa hadi vinyonga, yaani wenye elimu wanajichukulia kila kitu.... tatizo lenu wazembe wa kusoma, mkataba ukiandikwa kurasa 1,000 na wenye kingereza chenye misamiati, mnaomba wapi pakutia saini tu basi.
Ukishabanwa sana unaleta ile Video ya Ombaomba[emoji3]
 
Back
Top Bottom