Watanzania hampo kwenye vyuo bora ukanda huu. Kenya na Uganda zaongoza

Watanzania hampo kwenye vyuo bora ukanda huu. Kenya na Uganda zaongoza

Unatutokea puani lini wakati tunateleza kwa reli ya SGR kilomita 600km, hiyo ni mara tatu ya kale kasafu kenu ka 200km kamekwamia huko maporini, nyie elimu imewashinda, umaskini umetamalaki na hamjui English.....hehehe watu wa ze ze ze...huwa napata raha sana nkiwakumbushia hili.
Nyie mnajua English iyo reli imejengwa kwa mkopo kutoka China inasimamiwa na wachina kwa kila kitu,Kwa Mimi huwezi nieleza unaakili nikauelewa katika jamii yenye mazombi ukanda Huu nyie mnaongoza! !

Ni kweli SGR haijakamilika lakini usipindishe fact tunajenga zaidi ya 700km Kwa sasa na ni juzi tumeshaajiri mchina ajenge 341km zingine Kama ulipita shule mpaka sasa tunajenga zaidi ya 1000km!!

Uzuri wetu mkianza sisi hua tunamaliza,Mkisafisha sisi hua tunachafua,na mkifunika sisi hua tunafunua cc sauti sol
 
Exactly my reaction bro.

These people are stupid gone wild
meanwhile, nchi yenye elimu bora....
IMG_20210130_115502_571.JPG
 
Ukweli ni kwamba wakenya kwa kiingereza mko vizuri zaidi ya Tanzania. Hii haitokani na kuwa mna akili zaidi bali ni colonial legacy tu, sisi tokea enzi za mwalimu tulitaka lugha ya kwetu ambayo itatuunganisha pamoja. Na hapa niweke wazi, siyo kwamba Kenya ni ya kipekee hapana, kuna nchi nyingi ambazo ziliendelea kutoa kipaumbele kwa lugha ya Mkoloni kama Uganda, Ghana, etc. Na ukitaka kiingereza bora kabisa (pure English) ambacho hakijaathiriwa na lugha za asili nenda Malawi, Zimbabwe na Zambia. Pamoja na kiingereza kizuri, nchi tajwa hapo juu ndio zinaongoza kwa umaskini, ndio kusema hakuna uhusiano wa moja kwa moja kati ya lugha na maendeleo. Ukiona mtu anajisifu na lugha, jua umekutana na mfungwa anayehitaji intellectual salvation.

Kujua kingereza raha sana yaani kinakupa kujiamini balaa...mwanzoni siku najua umuhimu wa kingereza mpaka nilipokuja Tanzania na kuona kinavyowatesa huko, mnahangaika sana halafu kikiwashina mnasema ni cha mkoloni....hehehe
 
Uyo meya story yake inachekesha alafu alitoa 7bu ya kipuuzi sana kwamba mbona yeye hajavaa barakoa....Mimi ningemwambia Kama hukuona umuhimu Wa barakoa Mimi nimeona umuhimu wake...Chagua 1 nikupishe na mkutano wako au uendelee Uache kuniwaza

Halafu ndio ufutwe kazi, na ajira zenyewe zilivyo adimu, nimeona sehemu serikali yenu imegoma kuajiri kwa muda mrefu sana.
 
Nyie mnajua English iyo reli imejengwa kwa mkopo kutoka China inasimamiwa na wachina kwa kila kitu,Kwa Mimi huwezi nieleza unaakili nikauelewa katika jamii yenye mazombi ukanda Huu nyie mnaongoza! !

Ni kweli SGR haijakamilika lakini usipindishe fact tunajenga zaidi ya 700km Kwa sasa na ni juzi tumeshaajiri mchina ajenge 341km zingine Kama ulipita shule mpaka sasa tunajenga zaidi ya 1000km!!

Uzuri wetu mkianza sisi hua tunamaliza,Mkisafisha sisi hua tunachafua,na mkifunika sisi hua tunafunua cc sauti sol

SGR ilikua teknolojia mpya, ila usiwe na wasiwasi vijana wetu wanaendelea kurithi taratibu maana uwezo huo tunao, yaani hamna raha ya kuteleza kwenye SGR 600km
Hivi Harmonize kwenye wimbo wake wa kusifia CCM nilimsikia akisema mnateleza kwa SGR...hehehehe
 
Halafu ndio ufutwe kazi, na ajira zenyewe zilivyo adimu, nimeona sehemu serikali yenu imegoma kuajiri kwa muda mrefu sana.
Mayor anamfuta nani kaz?izo ni porojo mbona Mimi nmeajiriwa na John?
 
SGR ilikua teknolojia mpya, ila usiwe na wasiwasi vijana wetu wanaendelea kurithi taratibu maana uwezo huo tunao, yaani hamna raha ya kuteleza kwenye SGR 600km
Hivi Harmonize kwenye wimbo wake wa kusifia CCM nilimsikia akisema mnateleza kwa SGR...hehehehe
Sisi kama kawaida hua tubadouble tena ya umeme Hamna kitu mtatuambia nyie
 
Sisi kama kawaida hua tubadouble tena ya umeme Hamna kitu mtatuambia nyie

Umeme wa sasa licha ya kuwa mnazalsha mdogo sana ukilinganisha na wetu, lakini bado hamuutumii, unasalia mwingi ilhali full mgao kote kote, huwa naona nyuzi za Watz wakilalamika kukatikiwa na umeme kila siku.
 
Povu la watz buana! [emoji38] Hadi dakika hii sijaona mtz yeyote akijaribu kwa uzalendo kuthibitisha kwamba Tz ina elimu bora zaidi ya Kenya. Hata kwa zile domo domo zao tu za kawaida. Maanake mleta mada ametumia ripoti ambayo ina msingi wa utafiti wa kisayansi. Point made MK254, hata wakifukia vichwa vyao mchangani. Tayari uzi wenyewe huu unaonesha wazi makali ya madhara ya elimu duni. 😎
 
Umeme wa sasa licha ya kuwa mnazalsha mdogo sana ukilinganisha na wetu, lakini bado hamuutumii, unasalia mwingi ilhali full mgao kote kote, huwa naona nyuzi za Watz wakilalamika kukatikiwa na umeme kila siku.
Izo megawatts zilizolala zitatumiwa na treni

Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app
 
Povu la watz buana! [emoji1] Hadi dakika hii sijaona mtz yeyote akijaribu kwa uzalendo kuthibitisha kwamba Tz ina elimu Bora zaidi ya Kenya. Hata kwa zile domo domo zao tu za kawaida. Maanake mleta mada ametumia ripoti ambayo ina msingi wa utafiti wa kisayansi. Point made MK254 hata wakifukia vichwa vyao mchangani. Tayari uzi wenyewe huu unaonesha wazi makali ya madhara ya elimu duni. 😎
Nyie wenye elimu tamu mko kwenye recession,Njaa kali,ukabila,Rushwa iliokithiri,Tabaka la masikini linazidi kuimarika (izo zote ni akili fupi huwezi kua na akili ukawa mburula kama mkenya)

Unaweza ukabisha na hilo kama wewe kweli Jeuri

Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app
 
Nyie wenye elimu tamu mko kwenye recession,Njaa kali,ukabila,Rushwa iliokithiri,Tabaka la masikini linazidi kuimarika (izo zote ni akili fupi huwezi kua na akili ukawa mburula kama mkenya)

Unaweza ukabisha na hilo kama wewe kweli Jeuri

Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app
Acha mafeelings jombaa, thibitisha kwamba mna elimu bora zaidi ya Kenya. Ukitumia angalau akili zako za darasa la saba, sio hizi akili za vijiweni. (20Marks)
 
Acha mafeelings jombaa, thibitisha kwamba mna elimu bora zaidi ya Kenya. Ukitumia angalau akili zako za darasa la saba, sio akili za vijiweni. (20Marks)
Hujamwambia poa! 😂 😂 Eti kutumia akiki zake za darasa la saba!! 😂
 
Wenzako wapo wanaomboleza huu msiba so usitegemee kuwaona humu kwenye haka kauzi kasikokuwa na mashiko [emoji116][emoji116][emoji3][emoji3][emoji117][emoji117][emoji205][emoji205][emoji90][emoji90]

View attachment 1689239
Hii ndio inaitwa lack of education, illetracy plus primitivity.Watanzania mpende kusoma kidogo angalau kabla ya kuropoka,,kubishana na wajinga ni kazi mno kweIi
 
Kwa haraka haraka nimepitia hiyo website katika top 100
1- Kenya -vyuo 5
2- Tanzania -vyuo 3
3- Uganda -vyuo 2
4- Rwanda- chuo 1

vyuo vya Tanzania vilivyoingia ni
1- Jalalani
2- Sokoine
3- Muhimbili

hizi kelele zote sijui zinatoka
 
Back
Top Bottom