Watanzania hampo kwenye vyuo bora ukanda huu. Kenya na Uganda zaongoza

Watz wanaongoza kwenye chuo cha ushilawadu
 
Mkataba mkopo wa China unawatokea puani, ila unapita vidole juu ukisema wengine. Huyo wa vinyonga ni wizi tu, ni sawa na vile tunakamata Wakenya wanaoiba miti ya kuchongea vinyago huko au Tanga.
 
Hawa ni mwendelezo wa ujinga tunaopambana nao kwa sasa, kiingereza ni lugha kama ilivyo kimasai, kimakonde au kijaluo, hivyo ni ujinga uliokithiri kuamini ubora wa elimu unapimwa kwa ufasaha wa kiingereza.
Ni wapi kiingereza kimetajwa kwenye hilo bango?
 
Kwa hiyo unasemaje wewe nyang'au?! Mmeshamalizana na Al shabab? Nasikia wanakusanya Kodi katika baadhi ya maeneo huko kwenu...
 
Mkataba mkopo wa China unawatokea puani, ila unapita vidole juu ukisema wengine. Huyo wa vinyonga ni wizi tu, ni sawa na vile tunakamata Wakenya wanaoiba miti ya kuchongea vinyago huko au Tanga.

Unatutokea puani lini wakati tunateleza kwa reli ya SGR kilomita 600km, hiyo ni mara tatu ya kale kasafu kenu ka 200km kamekwamia huko maporini, nyie elimu imewashinda, umaskini umetamalaki na hamjui English.....hehehe watu wa ze ze ze...huwa napata raha sana nkiwakumbushia hili.
 
Hawa ni mwendelezo wa ujinga tunaopambana nao kwa sasa, kiingereza ni lugha kama ilivyo kimasai, kimakonde au kijaluo, hivyo ni ujinga uliokithiri kuamini ubora wa elimu unapimwa kwa ufasaha wa kiingereza.
Siku hizi tunafukuza walimu wote kutoka Kenya nadhani hana habari [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Hili nalo halina ubishi, sio kwa sampuli yao ile ya maprofesa ndomboloo, sijui kina Palamagamba. Wasomi lakini wakifungua midomo yao hata drop out wa darasa la kwanza anabaki mdomo wazi. Bila kumsahau yule mwanakemia wao na ile PhD yake ya kimagumashi.
 
Ukweli ni kwamba wakenya kwa kiingereza mko vizuri zaidi ya Tanzania. Hii haitokani na kuwa mna akili zaidi bali ni colonial legacy tu, sisi tokea enzi za mwalimu tulitaka lugha ya kwetu ambayo itatuunganisha pamoja. Na hapa niweke wazi, siyo kwamba Kenya ni ya kipekee hapana, kuna nchi nyingi ambazo ziliendelea kutoa kipaumbele kwa lugha ya Mkoloni kama Uganda, Ghana, etc. Na ukitaka kiingereza bora kabisa (pure English) ambacho hakijaathiriwa na lugha za asili nenda Malawi, Zimbabwe na Zambia. Pamoja na kiingereza kizuri, nchi tajwa hapo juu ndio zinaongoza kwa umaskini, ndio kusema hakuna uhusiano wa moja kwa moja kati ya lugha na maendeleo. Ukiona mtu anajisifu na lugha, jua umekutana na mfungwa anayehitaji intellectual salvation.
 
Wakenya kwa kujifanya wana elimu utadhani wameanza kutengeneza mabomu ya nuclear or something..

Upumbavu mtupu.
Hehehehee hawa huwa tunawanyoosha sn kwenye battle zetu huku [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Mngekuwa mna elimu bora msingeishi kibera kwa kudonyoa donyoa majalalani.

Manyang'au na elimu wapi na wapi!!!!

Ukishaokoteza vitakwimu uchwara vya kwenye google unavimba makalio wakati wote tunajua kwa hakika kwamba Kenya ni SHIT-HOLE!
 
Uyo meya story yake inachekesha alafu alitoa 7bu ya kipuuzi sana kwamba mbona yeye hajavaa barakoa....Mimi ningemwambia Kama hukuona umuhimu Wa barakoa Mimi nimeona umuhimu wake...Chagua 1 nikupishe na mkutano wako au uendelee Uache kuniwaza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…