Watanzania hampo kwenye vyuo bora ukanda huu. Kenya na Uganda zaongoza

Hahaha, huwezi pata PhD ya Kemia Kimagumashi mzee. Lazima uwe vizuri upstairs. You can do magumashi huko kwenye Law and the like , never Science.
 
Unajua hata Jf yenyewe imetengenezwa na wanafunzi wa chuo kikuu cha Nairobi ndio maana inakuja hapa kutamba na isitoshe hata wamiliki wa Jamiiforums wametokea pande za Nakuru [ale na shule ya msingi walisoma Kakamega.
 
Unajua hata Jf yenyewe imetengenezwa na wanafunzi wa chuo kikuu cha Nairobi ndio maana inakuja hapa kutamba na isitoshe hata wamiliki wa Jamiiforums wametokea pande za Nakuru [ale na shule ya msingi walisoma Kakamega.
Unasema?
 
Ukitaka ujue kwanini havitambuliki na haviwezi kusikika waangalie wachache tu waliopata PhD tulio nao kwenye uongozi tabia zao, maamuzi yao kwenye maswala ya kiuongozi na kisiasa, carreer background zao kama zina utafiti na utoaji wa ripoti za utafiti... utajua ni matunda au ni nini. ukitaka usikie matunda ya vyuo kutokana na production ya miaka ni awle watu wanacho kichangia katika dunia, nchi na maeneo mbali mbali ya sasa hivi. majengo ya vyuo hayawezi kukitambulisha chuo hata siku moja.
 
Unajua hata Jf yenyewe imetengenezwa na wanafunzi wa chuo kikuu cha Nairobi ndio maana inakuja hapa kutamba na isitoshe hata wamiliki wa Jamiiforums wametokea pande za Nakuru [ale na shule ya msingi walisoma Kakamega.
He watumiaji wengi ni raia wa kisii na moyale
 

Kwanza kingereza ni mtaji huko Bongo, yaani kuna watu wanapiga hela Tanzania kwa kujua kingereza, dah wakati kwetu huku tunakitumia hadi chekechea mpaka tumekinai.
Nilipata umuhimu wa kingereza baada ya kuja Bongo, nikakuta mamilioni ya watu wasioujua English ila wanaitegemea kwenye baadhi ya mambo, sasa hapo unachangamkia fursa.
 
Ukishabanwa sana unaleta ile Video ya Ombaomba[emoji3]

Yeah hao omba omba ni kero na donda ambalo haliponi, wazembe sana nyie watu na nitaendelea kuwaletea video zao hadi siku mtakubali kubadilika na kufanya kazi.
 
Umeme wa sasa licha ya kuwa mnazalsha mdogo sana ukilinganisha na wetu, lakini bado hamuutumii, unasalia mwingi ilhali full mgao kote kote, huwa naona nyuzi za Watz wakilalamika kukatikiwa na umeme kila siku.
So unataka kusema kunyaland umeme uwa aukatiki!?
 
So unataka kusema kunyaland umeme uwa aukatiki!?

Sio kwa namna huwa mnakatikiwa, yaani kwenu huko kila siku na kuna baadhi ya mikoa umeme kwao ni kama anasa, kuupata ni kwa mbinde. Niliishi Morogoro nikashhudia wanavyoteseka kwa umeme kukatika kutwa yote na kila siku mpaka unashindwa hivi ni nchi ya watu gani hawa.
 
wewe umesikia 1.5trn ukatoka ndani na chupi mkononi unaishadadia,unajua hiyo ni pesa inafananaje[emoji38][emoji38][emoji38].

au unadhani ni kama pesa yenu hiyo yenye nguvu ya upepo!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…