Upepo wa Pesa
JF-Expert Member
- Aug 8, 2015
- 21,600
- 35,158
- Thread starter
-
- #41
Daaah uliiwahi mkuu! Tuendelee kupambana! Mimi plan yangu kwa sasa ni kutafuta coin zenye future nzuri niwekeze zaidi!!January nilinunua Shiba inu kwa $600 sawa na 100,000,000 shib.x sasahivi $600 sawa na $3,100 December inaweza kuwa sawa na $30,000 na 2023 au 2025 sawa na $100,000,000.
Kama unawekeza kwenye cryptocurrency angalia shiba inu, Btt.x Umb na doge coin. Utanishukuru sana ifikapo 2025
Lunatic [emoji2957][emoji2957][emoji2957]
Je wachina ni wajinga kukataa hizo coins na kuzipiga marufuku??
Hizo coins zinazalisha nini hasa mpaka thamani yake inapanda hivyo?
hapa umejibu vizur sana! watu wanaijua forex tu ambayo vijana wengi wameangukia pua wakidhani watatoboa kumbe wanapigwa na kuishia kulia lia!! hawana elimu ya cryptocurrencies..cryptocurrencies sio utapeli hata kidogo na haina chembe hizoCryptocurrency Haina utapeli kama FOREX. Kwa hiyo Kama hujui tulia hivyo hivyo.
Afu uache kuandika maherufi makubwa.
Pia kuna coin kama SHIBA INU na dogecoin. Hizi ni nzuri lakini risky yake ni kubwa ila kama unaweza si vibaya pia ukaziangalia..kuna at ock
Sitaki kuongelea bitcoin miaka 10 iliyo pita wala sitaki kuongelea the likes of etherium miaka kadhaa iliyo pita.
Kuna coin ambazo zina huge potential na mpaka sasa zina bei nafuu kweli kweli!
Mfano wa hizo coin (pamoja na bei tarehe ya leo 10/10/2021) ni kama ifwatavyo.
1. Matic Polygon (1.3 usd per coin)
2. Enjin (1.7 usd per coin)
3. Cardano (2.22usd per coin)
4. Fantom (2.22usd per coin)
5. Zilliqa (0.1 usd per coin)
Ziko nyingine nyingi lakini hizi ndio naona kidogo zina future nzuri.
Pamoja na kuwekeza kwenye fixed account au ununue hisa ni bora ukafikiria kuwekeza kwenye cryptocurrencies! Miaka mitano mpaka kumi from now unaweza jikuta uko sehemu ingine kabisa!
=========
NB1: Kuwekeza kwenye cryptocurrencies ni kama uwekezaji mwingine, kuna faida na hasara hivyo HAKIKISHA UNAFANYA TAFITI KUJIRISHA KABLA HUJAWEKEZA PESA YAKO.
NB2: Sitoi mafunzo wala huduma za cryptocurrencies na ndio maana nimesisita ufanye tafiti yako mwenyewe ili ujirishe.
Pia kuna coin kama SHIBA INU na dogecoin. Hizi ni nzuri lakini risky yake ni kubwa ila kama unaweza si vibaya pia ukaziangalia..
Kila la heri Mtanzania mwenzangu!
meme coinsPia kuna coin kama SHIBA INU na dogecoin. Hizi ni nzuri lakini risky yake ni kubwa ila kama unaweza si vibaya pia ukaziangalia..
endelea na forex yako!! kuna jamaa zangu wanajuta!! najua kuwa cryptos zinatumika katika trading lakin cryptos ni nzuri kuliko hiyo forex yako ambao vijana wanaota utajili wa siku moja!! Hakunaga formula ya utajiri wa siku mojaKama unaamni katka crypto, af huamin forex akat zote ni financial markets na zina same strategies of trading them, unashangaza ndugu, hujui kitu, kifupi tu strategies ninazotumia kutrade forex I can use them to trade any financial markets
Utofauti upo mkubwa tu usiwe too general!! Eti forex na Cryptos zina same trading strategies? Watu wanaunguza hela huko forex mtu anaweka ka milion kake kanaungua kote na kumwacha na madeni...Tafuta uzi humu jamaa analalamika jinsi forex ilivomuingiza kwenye mikopo..full madeni!! Alafu crptos zipo nyingi na watu wanakuja na projects zao e.g Pi coins, e.t.cKama unaamni katka crypto, af huamin forex akat zote ni financial markets na zina same strategies of trading them, unashangaza ndugu, hujui kitu, kifupi tu strategies ninazotumia kutrade forex I can use them to trade any financial markets
Mkuu Upepo wa Pesa vipi naomba nipate mawazo yako kuhusu hii coin ya kuitwa pïcoin vipi una idea nayo?
Vipi unaonaje mtazamo WAKO future yake ni promising Au vipi?
Imefanyaje?Tatizo ni BoT
Duuh utakua wewe ni milionea mkubwa bila shaka aiseeh inaonekana unazijua vizur sana hizi mambo..una dollar za kutosha au maskini tu kama mimi unayejitahidi kujitutumuaNina asilimia nying ww ni newbie kwenye hii industry.. Hujapata mwanga wa kutosha endelea kukomaa..hoja zako zinaonyesha ww bdo juchachukua serious action kuelewa game..trust me strategies ni zilezile..suala la kupoteza pesa ni kawaida kama hujui unachokifanya, unaweza ukapoteza mil 10, akat wenzako wanatengeza hela kwa dola 10 tu...soma,soma, soma, acha kusikiliza story za vijiweni na kwenye kahawa.
huyu nadhani ni mkongwe kuliko wewe👇Nina asilimia nying ww ni newbie kwenye hii industry.. Hujapata mwanga wa kutosha endelea kukomaa..hoja zako zinaonyesha ww bdo juchachukua serious action kuelewa game..trust me strategies ni zilezile..suala la kupoteza pesa ni kawaida kama hujui unachokifanya, unaweza ukapoteza mil 10, akat wenzako wanatengeza hela kwa dola 10 tu...soma,soma, soma, acha kusikiliza story za vijiweni na kwenye kahawa.
Mkuu hizi coin unapata faida pindi thamani inapopanda ...Hizo coin zinajihusisha na shughuli gani ya uzalishaji mpaka nyie mpate hela??
Yaani inakuwaje uweke million alafu baada ya muda upate faida ya million nyingine labda? Naomba mnijulishe nifanye maamuzi
shukrani, Admitted, hopefully I will go through it!Ww endelea kusikiliza walioshindwa!leta na waliofanikiwa..acha kupoteza mda kijana soma,soma,soma..
The candlestick training bible by monehisa (homa) kitabu hiki kitakupa powerful strategies zitakazo kusaidia kutrade any financial markets..acha kusikiliza watu..View attachment 1972076
Umeeleza vizuri.Mkuu hizi coin unapata faida pindi thamani inapopanda ...
Mfano Bitcoin 1 mwaka 2010 ilikuwa sawa na $230, lakini Sasa hivi Bitcoin moja ni sawa na $57,000 kwa hiyo Basi Kama uliweza kununu Bitcoin enzi hizo ukahold kwa Sasa wewe ni millionea mzuri tu ,huo ni mfano .....
Kuna coin zina project nzuri tu ,yaani hizo coin Kama Shiba Inu,Tron ,Solana,umi ,....na coin nyingine mbalimbali zinategemewa kuja kupanda Bei ,kufika mwaka 2030 mtu aliyenunua hizo coin atakuwa mbali Sana ,kwani Bei yake ya Sasa haitakuwa sawa na ya mwaka 2030 kabisa ...
Mfano
kwa Sasa 1shiba inu=$0.0000345. Huu ni mwaka 2021
Kufika 2030 ,kutokana na project ya shiba inu ,inaweza kuwa 1 Shiba = $1.3
Aise mtu aliyenunua shiba 3000 akauza 2030 kwa hio Bei hapo juu hampo nae Tena meza moja ,...
Note usifikili 2030 ni mbali ,.........
Coin zinapanda vipi ...demand and supply of coin ndio inasababisha coin kupanda na kushuka ....
Coin inaweza kupanda mwezi huu ,mwezi ujao ikashuka ,ikapanda tana ,ila baada ya miaka 7 hio coin lazima itakuwa mbali kutokana na project za mafounder na developers wa hio coin ..,
Hivyo Basi coin zenye project kila mwaka lazima dhamani itapanda ,hii haijarishi watu wanafanya exchange kidogo au kwa wingi ....
Ukitaka kufanya hii biashara ,Soma kwanza ,kuwa na uelewa ,usikurupuke kutanguliza hela ,Soma ,elewa ,changanua Mambo ,usiwe na tamaa ,hii biashara haiitaji tamaa ni project ya muda mrefu ,yaani unajiaandalia kuwa millionea miaka 10 ijayo ,hapa ndipo watu wanafeli Kwan wanataka vitu vya fasta ........
Note ,kutrade crypto currency ndio unaweza kupoteza pesa lakin kuhold coin. Hautakuja kupoteza hela ,ni sawa na kununua mahindi kuweka ndani huku unasubili Bei ipande uuze ( ndio maana ya kuhold coin ),narudia Tena mtu ambaya ana trade crypto ndio mwenye possibility kubwa ya kupoteza kiasi kikubwa cha pesa ......