Watanzania hatujachelewa; tuwekeze kwenye Cryptocurrencies!

Watanzania hatujachelewa; tuwekeze kwenye Cryptocurrencies!

Inakuwaje hizo coins zinapanda thamani hivo? Hakuna udaku kweli kwenye hayo mambo? Hizo coins zinazalisha nini hasa mpaka thamani yake inapanda hivyo?

Je wachina ni wajinga kukataa hizo coins na kuzipiga marufuku??

Nakupa ukweli hapa Doge coin na Shiba inu Tweets ya Elon Musk au Michael Cuban na Snoop dog tu wanaipeleka juu. Kwahio hizo coin mpaka sasa Tweeter za hao niliotaja ndio wanazipazisha. Kwahio kwenye wendaazimu nawe unaweza kuwa mwendazimu na kwenye hela nawe utakuwa na hela.



Lunatic [emoji2957][emoji2957][emoji2957]
 
Cjui kwann, mimi nilitoa uzi wa kupeana coin ambazo n potential tuwekeze chakushangaza ukaja unganisha na uzi miaka tele ya nyuma tena wala haviendani... Ila ipo cku tutaongea lugha moja kuhusu cryptocurrency acha watu wabeze tu
Mkuu nipe muongozo wa coin za kununua.
 
January nilinunua Shiba inu kwa $600 sawa na 100,000,000 shib.x sasahivi $600 sawa na $3,100 December inaweza kuwa sawa na $30,000 na 2023 au 2025 sawa na $100,000,000.
Kama unawekeza kwenye cryptocurrency angalia shiba inu, Btt.x Umb na doge coin. Utanishukuru sana ifikapo 2025



Lunatic [emoji2957][emoji2957][emoji2957]
Usd 300 unapata coin ngap sasa mkuu..
 
I see de fly of bitcoin, $57,000/=per one coin

Ila mawazo yangu yananiambia hakuna future nzuri kwa bitcoin ila now ipo ktk its high peak in order to drop deeper
 
I see de fly of bitcoin, $57,000/=per one coin

Ila mawazo yangu yananiambia hakuna future nzuri kwa bitcoin ila now ipo ktk its high peak in order to drop deeper
Mawazo yako mkuu
 
January nilinunua Shiba inu kwa $600 sawa na 100,000,000 shib.x sasahivi $600 sawa na $3,100 December inaweza kuwa sawa na $30,000 na 2023 au 2025 sawa na $100,000,000.
Kama unawekeza kwenye cryptocurrency angalia shiba inu, Btt.x Umb na doge coin. Utanishukuru sana ifikapo 2025



Lunatic [emoji2957][emoji2957][emoji2957]
Namm nataka ninunue Shiba Inu ila sijui nijiunge na wallet ipi na jinsi ya kuweka pesa ili ninunue hizo coin msaada tafadhali
 
Sitaki kuongelea bitcoin miaka 10 iliyo pita wala sitaki kuongelea the likes of etherium miaka kadhaa iliyo pita.

Kuna coin ambazo zina huge potential na mpaka sasa zina bei nafuu kweli kweli!

Mfano wa hizo coin (pamoja na bei tarehe ya leo 10/10/2021) ni kama ifwatavyo.

1. Matic Polygon (1.3 usd per coin)

2. Enjin (1.7 usd per coin)

3. Cardano (2.22usd per coin)

4. Fantom (2.22usd per coin)

5. Zilliqa (0.1 usd per coin)

Ziko nyingine nyingi lakini hizi ndio naona kidogo zina future nzuri.

Pamoja na kuwekeza kwenye fixed account au ununue hisa ni bora ukafikiria kuwekeza kwenye cryptocurrencies! Miaka mitano mpaka kumi from now unaweza jikuta uko sehemu ingine kabisa!

=========

NB1: Kuwekeza kwenye cryptocurrencies ni kama uwekezaji mwingine, kuna faida na hasara hivyo HAKIKISHA UNAFANYA TAFITI KUJIRISHA KABLA HUJAWEKEZA PESA YAKO.

NB2: Sitoi mafunzo wala huduma za cryptocurrencies na ndio maana nimesisita ufanye tafiti yako mwenyewe ili ujirishe.

Kila la heri Mtanzania mwenzangu!
Mkuu nakufatilia sana nyuzi zako,unajitahidi sana kuwasanua wabongo kuhusu haya mambo,wabongo wanapenda umbeya kuliko elimu
Leo hii kijana wa chuo,anapenda sana anasa,wakati ana uwezo wa kununua hata Tron 100,akaziweka tu kwa miaka 10
 
Namm nataka ninunue Shiba Inu ila sijui nijiunge na wallet ipi na jinsi ya kuweka pesa ili ninunue hizo coin msaada tafadhali
Karibu mkuu hapa ndio tunako nunuaga usd kisha tunazi convert kwenda shibainu au coin yeyoye utakayo. Bonyeza link hii hapo kuji register👇

 
Karibu mkuu hapa ndio tunako nunuaga usd kisha tunazi convert kwenda shibainu au coin yeyoye utakayo. Bonyeza link hii hapo kwenye browser yako kuji register👇


Screenshot_20211016-203234_Binance.jpg
 
Back
Top Bottom