Watanzania hatujachelewa; tuwekeze kwenye Cryptocurrencies!

Watanzania hatujachelewa; tuwekeze kwenye Cryptocurrencies!

Mkuu Upepo wa Pesa vipi naomba nipate mawazo yako kuhusu hii coin ya kuitwa pïcoin vipi una idea nayo?

Vipi unaonaje mtazamo WAKO future yake ni promising Au vipi?
Mkuu pia nami namine hii coin,baada ya kupitia "whitepaper"...ingia link hapo chini uanze kumine,kabla hawafika kwenye minenet maana mining rate inaweza kuwa zero.
I am sending you 1π! Pi is a new digital currency developed by Stanford PhDs, with over 23 million members worldwide. To claim your Pi, follow this link Pi Network and use my username (spleen2021) as your invitation code.
 
Watanzania tupo waoga, lakini Mimi naomba nikushirikishe uje uwekeze ninako wekeza Mimi , nimehangaika Sana Hadi kupata kampuni ambayo ni legit so ukitaka maelezo inbox uache namba yako ya WhatsApp Ili ujifunze kitu, risk inabaki kwa kampuni wewe unalipwa 10,% ya deposit yako. Unaweza ukawekeza kutumia sarafu nyingi tu Bitcoin na Ethereum ipo karibu niwekwekeza na nimelipwa kiwango Cha chini ni $50 tu.
 
B.O.T tatizo lake nini hapo?,mkuu?
Kulikuapo na kampuni moja pale posta linajiusisha na hayo mambo BOT waliwapiga marufuku.
Vilevile hapa bongo hakuna bidhaa au huduma ambayo inruhusiwa kuuzwa kwa mfumo huo.
 
Kulikuapo na kampuni moja pale posta linajiusisha na hayo mambo BOT waliwapiga marufuku.
Vilevile hapa bongo hakuna bidhaa au huduma ambayo inruhusiwa kuuzwa kwa mfumo huo.
Itakuja kuruhusiwa kipindi BTC yupo usd 500,000
XEC usd 1...suala la muda tu
 
Itakuja kuruhusiwa kipindi BTC yupo usd 500,000
XEC usd 1...suala la muda tu
Goverment kukosa exposure kwenye technology inaturudisha nyuma sana. wakati ethereum 1 ilipokua TZS 80,000/= nilitaka kununua za 1.5M, kwa bahati mbaya nilishindwa kuvalidate my Identity kwa sababu
TZ hatupo kwenye recognized list.
Leo hii ethereum 1 ni around USD 4000+ imeniuma sana
 
Goverment kukosa exposure kwenye technology inaturudisha nyuma sana. wakati ethereum 1 ilipokua TZS 80,000/= nilitaka kununua za 1.5M, kwa bahati mbaya nilishindwa kuvalidate my Identity kwa sababu
TZ hatupo kwenye recognized list.
Leo hii ethereum 1 ni around USD 4000+ imeniuma sana
Daah pole sana,mi Doge kipindi akiwa $0.004...nilitaka ninunu za $100...leo Doge yupo $0.28...imemove zaidi ya mara 70
 
Duuh mkuu haya madini acha niyasave...

Nakupa majina ya coin ya ziana Saitama na Safemoon. Mwakani utanishukuru sana.

Angalizo kabla hujanunua fanya research yako mwenyewe na unapo nunua jiaminishe kuwa upo tayari kununua.


Lunatic [emoji2957][emoji2957][emoji2957]
 
Mkuu mfano wa coins gani hizo,zina futures nzuri?

Top 5
Bitcoin
Ethereum
Bitcoin cash
Lite coin
Ethereum classic


Tukija kwenye NFT’s nenda na:-
Doge coin
Shiba inu
Saitama
Safemoon


Lunatic [emoji2957][emoji2957][emoji2957]
 
Watanzania tupo waoga, lakini Mimi naomba nikushirikishe uje uwekeze ninako wekeza Mimi , nimehangaika Sana Hadi kupata kampuni ambayo ni legit so ukitaka maelezo inbox uache namba yako ya WhatsApp Ili ujifunze kitu, risk inabaki kwa kampuni wewe unalipwa 10,% ya deposit yako. Unaweza ukawekeza kutumia sarafu nyingi tu Bitcoin na Ethereum ipo karibu niwekwekeza na nimelipwa kiwango Cha chini ni $50 tu.

Kama sio tapeli basi utatapeli kwa hao unao wawekezea coin zako. Never trust nigga with your chicken because nigga love chicken.


Lunatic [emoji2957][emoji2957][emoji2957]
 
Hivi hizi coins zinavyochipua kama uyoga, zikiwa nyingi si zitakosa thamani?
Tulianzaga na bitcoin lakini siku hizi zipo tele.
 
Mtu angenunua MATIC tarehe uliyopost...leo angekua na faida ya zaidi ya 90%
Acha tu man! Hizi coin tatu hizi..

1. Matic Polygon

2. Enjin na

3. Zilliqa

Yani hizi daaah!! Kitaeleweka tu, lets HODL mpaka kieleweke!
 
Mkuu mfano wa coins gani hizo,zina futures nzuri?
Kwa mtazamo wangu...

1. Matic Polygon

2. Enjin

3. Zilliqa

4. DAG Coin (hii sijaifwatilia sana ila inaonyesha ina potential).

Lastly, kuna hii inatwa eCASH (XECUSDT) iko kwenye very low point for now, kama unajua kufanya technical analysis fanya kwenye daily timeframe na h4 utaona kuna ka future kazuri kamejificha kwenye hii coin... japo ni risk kuinunua kwa sasa ila ukiweka hata tudola kadhaa badae inaweza kuwa na ROI nzuri sana...

NB: Mimi sio financial advisor so make sure umefanya research yako kabla hujawekeza your hard earned cash!
 
Mkuu tupeane maujanja ya "projects" zitakazolipa hapo mbele...hao wadau tutakuja kuwauzia Shibacoin moja usd 1.2 2031 huko
Technically au practically SHIBA kufika 1usd ni ngumu ukiangalia tokenomics na supply ya coin zake, ila inaweza panda japo kufika 1usd it will be a miracle (though it might be possible theoretically).
 
Nimeona Floki Inu mpya juzi imepanda kama 130% na jana mpaka mwisho natazama ilipanda 30%. Hii ni vipi wakuu

Ila mimi sijanunua crypto yoyote hadi sasa
 
Goverment kukosa exposure kwenye technology inaturudisha nyuma sana. wakati ethereum 1 ilipokua TZS 80,000/= nilitaka kununua za 1.5M, kwa bahati mbaya nilishindwa kuvalidate my Identity kwa sababu
TZ hatupo kwenye recognized list.
Leo hii ethereum 1 ni around USD 4000+ imeniuma sana
Thats the price we pay for being Tanzanians, na sio hilo tu, paypal mpaka leo hatuwezi tumia na kuna fursa kibao zinahitaji paypal zinatupita kiutani utani tu!

One day tutabadilika.
 
Back
Top Bottom