Zeus1
JF-Expert Member
- Aug 24, 2017
- 7,152
- 9,206
Mkuu,unadeposit vipi binamce kutumia p2p tigopesa?Solana imefika 200usd+
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu,unadeposit vipi binamce kutumia p2p tigopesa?Solana imefika 200usd+
Ni rahisi tu,MPESA/TIGOPESA au banki halafu rate kama za benki tuMkuu,unadeposit vipi binamce kutumia p2p tigopesa?
Nielekeze mkuu kwa tigopesa,maana nimeadd kabisa tipesa kwente p2p as payment method,ila nimekwama kwenye deposit.Ni rahisi tu,MPESA/TIGOPESA au banki halafu rate kama za benki tu
Huna haja ya kuadds chochote,nenda kwenye trade,kisha P2P,kisha bonyeza TZS,watakuja sellers mbali mbali kisha bonyeza buy kwa seller mwenye USDT unazotoka na mwenye rate ndogo,nipe feedback pia kwa hiliYeah
Nicheki pm mkuuHuna haja ya kuadds chochote,nenda kwenye trade,kisha P2P,kisha bonyeza TZS,watakuja sellers mbali mbali kisha bonyeza buy kwa seller mwenye USDT unazotoka na mwenye rate ndogo,nipe feedback pia kwa hili
Nimeingia uliponielekeza,tz hamna mkuu,naona wengi ni Bank tuUkipataza tatizo la kununua P2P na upo verifief, google hio kabisa...maana tatizo kubwa ni kutokua verified na passport
.Ukipataza tatizo la kununua P2P na upo verifief, google hio kabisa...maana tatizo kubwa ni kutokua verified na passport
Nenda kwenye hiko kidude cha kulia juu kama pembe tatu,cha kufilter chagua TZS
Natumia skrill ikiwa na usd then na p2p kununua usdt!Mkuu,unadeposit vipi binamce kutumia p2p tigopesa?
Nashukuru sana kusikia hivo...hakuna kitu kinanitesaga duniani kama kumuelekeza mtu kisha asieleweImekubali aisee,shukrani sanaa
Pamoja na hizo ila katika list yako usisahau kuweka pesa kidogo kwenye hizi coins..Asante. Ngoja nikanunue magunia ya SHIB, Stellar (XLM) na BTT na Vechain.
Sasa hivi nimeamua kuwa aggressive kwenye cryptocurrency.
Pitia posts zote kwenye huu uzi kama hujaelewa pitia tena Kaa na daftari kila term ambayo hujawahi isikia google.........leta mrejeshoKaka naomba maelekezo; hizi coins mnanunulia kwa App ama site? [emoji45][emoji45]
Kitambulisho nimepoteza mkuu so siwezi kukipiga pichaKu verify me mbona walifanya fasta bila shida kabisa,tumia nida mkuu
Nenda nida omba namba, then omba wakuelekeze jinsi ya ku download softcopy ya kitambulisho chako.Kitambulisho nimepoteza mkuu so siwezi kukipiga picha
Upigwaji kila sehemu upo. Ndio maana tukasisitiza kabla mtu haja invest kwenye coins kwanza awe na ujuzi pili afanye reaserch ya kutosha ndio awekeze.Hizi coins kila mtu anaweza kujianzishia ya kwake afu akapiga watu, mfano hii squid game crypto coin, jamaa wameanzisha coin yao watu wameweka hela wakapigwa na kitu kizito kichwani sasa wanalia.
![]()
Squid Game crypto token collapses in apparent scam
Inspired by the hugely popular Netflix series Squid Game, the tokens had rocketed in value.www.bbc.com
Namba ninayo & soft copy pia. Naweza i-upload? If yes how?Nenda nida omba namba, then omba wakuelekeze jinsi ya ku download softcopy ya kitambulisho chako.