Ungekuwa mwalimu ungetuulia watoto we spleenNashukuru sana kusikia hivo...hakuna kitu kinanitesaga duniani kama kumuelekeza mtu kisha asielewe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ungekuwa mwalimu ungetuulia watoto we spleenNashukuru sana kusikia hivo...hakuna kitu kinanitesaga duniani kama kumuelekeza mtu kisha asielewe
Pamoja na hizo ila katika list yako usisahau kuweka pesa kidogo kwenye hizi coins..
1. Zilliqa (0.1 per coin)
2. Enjin (2.8 usd per coin)
3. Matic Polygon (1.98 usd per coin)
Hizi ni risky lakini si vibaya ukazifikiria..
1. XECUSDT au eCASH (Hii ni risk kuinunua kwa sasa maana iko kwenye downtrend structure ila naona muda wowote inaweza geuka na kwenda juu so sivibaya ukaweza tudola kadhaa kwenye hii coin pia).
2. REEF (0.03usd per coin)
Ni ushauri tu... usisahau kuchanganya na zako.
Kuna kununu cryptocurrency ukaacha zipande lakini option nyingine una deposit kwenye kampuni utakuwa unalipwa asilimia kama faida kila siku hii ishuke ipande unapanda nayo na kuahuka nayo, anayetaka nimuelekeze kwenye kmpumi ninayo wekeza Mimi Inbox number ya WhatsApp.
Umeona saizi ilivyodrop mzee??Bitcoin imefikia 150,000,000 duh hii Nouma sasa
135,000,000 ndio muda wa kununua.Umeona saizi ilivyodrop mzee??
SCAM ALERT!!!!Kuna kununu cryptocurrency ukaacha zipande lakini option nyingine una deposit kwenye kampuni utakuwa unalipwa asilimia kama faida kila siku hii ishuke ipande unapanda nayo na kuahuka nayo, anayetaka nimuelekeze kwenye kmpumi ninayo wekeza Mimi Inbox number ya WhatsApp.
Mkuu jaribu hata kwenda youtube ucheck michango ya wadau mbalimbali duniani.Wakuu mimi nauliza kuhusu hii USDT Mining site, kama kuna aliyewahi kuitumia.. uwezekano wa ku withdraw upo? Inaitwa Trc Areas, unalipia mining machine level flani yenyewe ndio inachimba hizo usdt!
View attachment 2201461
Hizi ni kuwekeza kiasi ambacho unaona hutaathirika kama zitapotea. Yaani uwe kama umekwenda bar na kunywa bia au umefanya sherehe watu wakala. Usiwekeze fedha nyingi kwani Bitcoin ilikuwa ni zali ambalo sidhani kama kuna currecy nyingine inaweza ku-hit tena kiasi hicho. BTW mimi niko kwenye mitandao zamani sana na tangu bitcoin inaanza nilisoma habari zake nikapuuza. Ningepata akili ninunua hata 10 tu sasa hivi ningecheka.Hizi coins kila mtu anaweza kujianzishia ya kwake afu akapiga watu, mfano hii squid game crypto coin, jamaa wameanzisha coin yao watu wameweka hela wakapigwa na kitu kizito kichwani sasa wanalia.
![]()
Squid Game crypto token collapses in apparent scam
Inspired by the hugely popular Netflix series Squid Game, the tokens had rocketed in value.www.bbc.com
Shiba ikifika value ya leo ya Dogecoin, nakua milionea, inshallah, acha tuendelee kuhold
Hapa kupigwa na kitu kizito kichwani ni nje nje.Kuna kununu cryptocurrency ukaacha zipande lakini option nyingine una deposit kwenye kampuni utakuwa unalipwa asilimia kama faida kila siku hii ishuke ipande unapanda nayo na kuahuka nayo, anayetaka nimuelekeze kwenye kmpumi ninayo wekeza Mimi Inbox number ya WhatsApp.
Cryptocurrency kweli inahitaji uvumilivu. Aliye nunua coin yoyote kati ya hizi hakuna faida yoyote mpaka muda huu
Cheki YEMCryptocurrency kweli inahitaji uvumilivu. Aliye nunua coin yoyote kati ya hizi hakuna faida yoyote mpaka muda huu
YemNimewekeza zaidi ya mil 80.
Yap bado nazi mine!Bado unaendelea kuzi-mine?
Laah. Bado unaamini kwamba soko litapanda tu miaka ijayo?Nimewekeza zaidi ya mil 80.