Watanzania hatujachelewa; tuwekeze kwenye Cryptocurrencies!

Watanzania hatujachelewa; tuwekeze kwenye Cryptocurrencies!

Pamoja na hizo ila katika list yako usisahau kuweka pesa kidogo kwenye hizi coins..

1. Zilliqa (0.1 per coin)

2. Enjin (2.8 usd per coin)

3. Matic Polygon (1.98 usd per coin)

Hizi ni risky lakini si vibaya ukazifikiria..

1. XECUSDT au eCASH (Hii ni risk kuinunua kwa sasa maana iko kwenye downtrend structure ila naona muda wowote inaweza geuka na kwenda juu so sivibaya ukaweza tudola kadhaa kwenye hii coin pia).

2. REEF (0.03usd per coin)

Ni ushauri tu... usisahau kuchanganya na zako.

Kuna kununu cryptocurrency ukaacha zipande lakini option nyingine una deposit kwenye kampuni utakuwa unalipwa asilimia kama faida kila siku hii ishuke ipande unapanda nayo na kuahuka nayo, anayetaka nimuelekeze kwenye kmpumi ninayo wekeza Mimi Inbox number ya WhatsApp.

Hivi izi ni nzuri kwa long term investment au kama unafanya coin trading ya kila siku
 
Habari wapendwa hivi ukitaka ku sell crpto to cash yaani fiat money kwa apa tanzania mbona sioni option ya tsh .. au tumia currency ipo ili uipate ela cash..
 
Kuna kununu cryptocurrency ukaacha zipande lakini option nyingine una deposit kwenye kampuni utakuwa unalipwa asilimia kama faida kila siku hii ishuke ipande unapanda nayo na kuahuka nayo, anayetaka nimuelekeze kwenye kmpumi ninayo wekeza Mimi Inbox number ya WhatsApp.
SCAM ALERT!!!!
 
Wakuu mimi nauliza kuhusu hii USDT Mining site, kama kuna aliyewahi kuitumia.. uwezekano wa ku withdraw upo? Inaitwa Trc Areas, unalipia mining machine level flani yenyewe ndio inachimba hizo usdt!

Screenshot_20220426-165436.png
 
Wakuu mimi nauliza kuhusu hii USDT Mining site, kama kuna aliyewahi kuitumia.. uwezekano wa ku withdraw upo? Inaitwa Trc Areas, unalipia mining machine level flani yenyewe ndio inachimba hizo usdt!

View attachment 2201461
Mkuu jaribu hata kwenda youtube ucheck michango ya wadau mbalimbali duniani.
 
Hizi coins kila mtu anaweza kujianzishia ya kwake afu akapiga watu, mfano hii squid game crypto coin, jamaa wameanzisha coin yao watu wameweka hela wakapigwa na kitu kizito kichwani sasa wanalia.

Hizi ni kuwekeza kiasi ambacho unaona hutaathirika kama zitapotea. Yaani uwe kama umekwenda bar na kunywa bia au umefanya sherehe watu wakala. Usiwekeze fedha nyingi kwani Bitcoin ilikuwa ni zali ambalo sidhani kama kuna currecy nyingine inaweza ku-hit tena kiasi hicho. BTW mimi niko kwenye mitandao zamani sana na tangu bitcoin inaanza nilisoma habari zake nikapuuza. Ningepata akili ninunua hata 10 tu sasa hivi ningecheka.
 
Kuna kununu cryptocurrency ukaacha zipande lakini option nyingine una deposit kwenye kampuni utakuwa unalipwa asilimia kama faida kila siku hii ishuke ipande unapanda nayo na kuahuka nayo, anayetaka nimuelekeze kwenye kmpumi ninayo wekeza Mimi Inbox number ya WhatsApp.
Hapa kupigwa na kitu kizito kichwani ni nje nje.
 
Bado unaendelea kuzi-mine?
Yap bado nazi mine!
* Pi nina coins 4,348 (ni miaka 3 sasa)
*Bee coin 3,740
*Timestope 6,100
*HBCU 6,400

Kwenye hizi mambo inahitaji uvumilivu sababu ni projects za watu zinaenda kwa hatua. Na zote hizo nimesha pass KYC. nakua nafanya kama game kila siku na mine.

Lets hope for the best hakuna kitu rahisi..zikiwa successful kwenye market itakua vizuri zaidi
 
Back
Top Bottom