Watu8 Platinum Member Joined Feb 19, 2010 Posts 73,773 Reaction score 102,126 Jan 18, 2022 #61 Kama ni kula lazima tule wote bob...
FRANCIS DA DON JF-Expert Member Joined Sep 4, 2013 Posts 38,920 Reaction score 44,970 Jan 18, 2022 #62 Mishenyi said: Sasa kama wewe tabia zako ni mwizi kwanini umsulubu mwizi mwenzio!!? Click to expand... Si ndio nasema, mwizi hata mtaani kwenu muonee wivu tu, usimpige, nakuunga mkono, tuko pamoja kabisa, sibishi kitu.
Mishenyi said: Sasa kama wewe tabia zako ni mwizi kwanini umsulubu mwizi mwenzio!!? Click to expand... Si ndio nasema, mwizi hata mtaani kwenu muonee wivu tu, usimpige, nakuunga mkono, tuko pamoja kabisa, sibishi kitu.
M Mr. Sound JF-Expert Member Joined Sep 15, 2020 Posts 2,227 Reaction score 4,773 Jan 18, 2022 #63 The Sunk Cost Fallacy said: Watu kama Nyerere wako wangapi kwenye jamii? Click to expand... hoja ni uwepo wa watu waadilifu na sio idadi yao.
The Sunk Cost Fallacy said: Watu kama Nyerere wako wangapi kwenye jamii? Click to expand... hoja ni uwepo wa watu waadilifu na sio idadi yao.
Rockefeller JF-Expert Member Joined Nov 21, 2016 Posts 1,209 Reaction score 2,243 Jan 18, 2022 #64 Alafu ukiwa Yesu kama Nyerere wanakuita boya!
Makanyaga JF-Expert Member Joined Sep 28, 2007 Posts 11,129 Reaction score 7,321 Jan 18, 2022 #65 Kalunya said: Ili ni kweli kabisa. Hili ni tatizo kabisa. Mtza kwa pesa za upigaji afai kabisa. Unakamatwa na rushwa unatoa rushwa kesi inatupwa. Ni nadra kukuta akufatiliaye eti umekwapua nae ukamp mgao wake akaendelea kukufatilia. Click to expand... Naona kama umechangia nje ya mada, au?
Kalunya said: Ili ni kweli kabisa. Hili ni tatizo kabisa. Mtza kwa pesa za upigaji afai kabisa. Unakamatwa na rushwa unatoa rushwa kesi inatupwa. Ni nadra kukuta akufatiliaye eti umekwapua nae ukamp mgao wake akaendelea kukufatilia. Click to expand... Naona kama umechangia nje ya mada, au?